HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Kocha mwenyewe mbwembwe kibao ufundi sifuri, anulizwa kiswahili anajibu kiingereza anajifanya ufundi wa mpira upo kwenye maneno kumbe hata kina Mbwiga wanajua kupiga porojo kuliko yeye.
Hapa katumia udhaifu wa TFF kutojua wafanye nini timu yetu ifanye vizur, amewapigia story za mpira wakadhani naye huyu ni kocha. Ndio maana kuna watu walikuwa wanamtaka mwanamichezo mwenzao aiongoze TFF na sio hawa wazee wa majaribio.
Hapa katumia udhaifu wa TFF kutojua wafanye nini timu yetu ifanye vizur, amewapigia story za mpira wakadhani naye huyu ni kocha. Ndio maana kuna watu walikuwa wanamtaka mwanamichezo mwenzao aiongoze TFF na sio hawa wazee wa majaribio.