Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,616
- Thread starter
- #21
najua wamerusha mech zote, lkn this one is great...finale ina utamu wake hasa pale mnaposhinda....kama leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa esa na kombe vinabaki hapahapa bongo. this is great...najua sasa tumepanda kiwango kwenye orodha ya fifa
weeeeeeeeeeeeeee..fifa wanahesabu hata mech za kirafiki sembuse hii? siamini kabisa unachokisema....hizi mechi FIFA hawazihesabu
Hongera Tanzania
Hongera Kikwete, tunaona matunda ya kazi yako nzuri ya kuhamasisha soka la Tanzani.
Hongera Kilimanjaro Stars.
sasa huu ushindi pongezi tumpe maximo au huyu ocha mpya?nadhani misingi yote aliiweka maximo au nyie mnaonaje?
tena alipoenda jk ndio ushindi umekuwa mgumu mno....aheri asingeenda uwanjani. na leo tungeshindw\ mbele yake tungeomba wabunge wapeleke hoja binafsi ya kumzuia asiwe anaingia kuangalia mech maana kila anapoenda tunaishiwa kufungwa isipokuwa leo tu..
Aliyebeba kombe ndio anapewa heshima
Max hana lolote wala chochote labda kuwakandamiza dada zetu!
ki-vipi?Hoja dhaifu.