Kilimanjaro: Waliohusishwa na utekaji wa watu na kujitambulisha kama Usalama wa Taifa watiwa mbaroni

Hivi mbona hii habari haipo kwenye media yeyote?
Sio kwamba n mtego kwa watumiaji wa JF?
 
hawa jamaa walinipita Mabungo wakaficha pikipiki seh flani nkaaanza kupata Machale
 
Nchi ina mambo yakijinga sana.Linchi lenyewe bado maskini ila watu badala yakuwaza kutatua changamoto zilizopo tunakalia ujinga usio na maana.uku nikukosa akili matokeo yake wanajipa kazi zakijinga.
 
Dr Charles Kimei ameshaanza kuonesha sura yake halisi. Haridhiki na utajirisho aliouvuna na hata kuzawadiwa na CRDB? Ubunge ataupata au kuukosa kwa haki, sio kunyakua kwa nguvu. Unadhani hao vibaka wanagharamiwa na Nani?
Sponsor: Dr Charles Kimei

Facilitator/coordinator: Ole Sabaya.
 
Hawa wakiminywa vizuri watataja mauaji yote waliyofanya na ccm haitaweza kujitenga nayo/nao...!!!!
Kabisa mkuu hawata kwepa kama wanahisi kuna siku wata kuja kulikwepa hili watakuwa mazezeta
 
Sinema na mme buy,JF sio home of great thinkers anymore!yaani kila siku kuna malalamiko ila wa Mbatia ndio wakamatwe?ha ha
 
Utopolo mwingine bhana! Nani kakudanganya kuwa Polisi wanaweza kuwakamata 'watu wa CCM'?!
 
We ni mwongo, mzushi na mpuuzi. Haya umeyapata wapi? Hakuna statement yoyote si kwa mamlaka za usalama wala NCCR-Mageuzi kutaja uongo wako huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…