Kilimanjaro: Waliohusishwa na utekaji wa watu na kujitambulisha kama Usalama wa Taifa watiwa mbaroni

Kilimanjaro: Waliohusishwa na utekaji wa watu na kujitambulisha kama Usalama wa Taifa watiwa mbaroni

"Kitengo cha Maadili na Usalama Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba" halafu wanateka watu!?

Hiyo ndo CCM mpya, yaani imejaa woga, uzandiki, unafiki, chuki, uongo, na kila aina ya ukatili.

Na hii imetokana na silika na hulka aliyonayo kinara wao wa chama yaani Meko.
Kuna jambo kubwa sana linatokea Hii si kawaida hata kidogo....muda utasema
 
Kama na huyo Sabaya anafanya hivyo ni rahisi kumubana kwa kutumia ushahidi wa nyuma, Nina ndugu zangu usalama wa Taifa huwa hawajitangazi kabisa tena nimewahi kuishi kwenye nyumba zao za ofisi lakini hata majirani tulikuwa tunawabishia Sasa hao usalama wa kufoji ndo wanajitapa ili kufanya unyanganyi.
 
Miongoni mwa mateso hayo ni kuingiziwa mti sehemu ya haja kubwa, kuminywa korodani kwa koleo, kujaribu kuwang’oa meno kwa koleo, mmoja kukatwa sikio na wote kuteswa kwa kupigwa na shoti ya umeme.
Hii ni Bongo ya sasa au ni South Africa ya enzi ya Apartheid?
 
Yeye anapewa hela za usajili anaenda kumsainisha Joseph selasini?
Yeremia Maganja?

Hawapati mbunge hata moja hawa Nccr mageuzi pia Cuf
Lakini mkuu yeye hana makosa sana. Magufuli alipiga mahesabu yake vibaya. Alidhani upinzani hakuna. Alikuwa anaandaa upinzani fake wa akina Mbatia na Lipumba ili ashinde na kutawala kilaini. Hakujua kabisa kabisa kama anachukiwa na wananchi wengi kiasi hiki. Umeona mpaka nyumbani kwake Chato Lissu amepata umati mkubwa? Kanda yote ya Ziwa hawampendi. Hii itafanya hata uchakachuaji uwe mgumu wakati wa kuhesabu kura na pia anahofia wakichakachua watu wanaweza kukinukisha.
 
Watu watatu waliokuwa wakimfuatilia mgombea ubunge jimbo la Vunjo kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, Ndg. James Mbatia wakiwa na gari aina ya Toyota Prado namba DFP 788 wamekamatwa na Jeshi la Polisi mjini Moshi jana saa 10 alasiri eneo la KDC baada ya Polisi kufukuzana na gari hilo na kufanikiwa kulidhibiti (block).

Mmoja wao alifanikiwa kukimbia baada ya kuona wamedhibitiwa lakini wawili walidhibitiwa na Jeshi la P

Watu hao waliokuwa wakijitambulisha maeneo mengi kuwa wao ni Usalama wa Taifa na wakati mwingine wakidai wao Askari wa Jeshi la Polisi hatimaye baada ya kukamatwa na kuhojiwa imedaiwa ni watu kutoka kitengo cha ‘Maadili na Usalama’ ndani ya CCM kutoka ofisi ndogo ya CCM Lumumba.

Baada ya kupekuliwa, watu hao walikutwa na nambari za magari tofauti tofauti na silaha mbalimbali zikiwamo koleo zinazodaiwa kutumika kuwatesa makada wa upinzani waliotekwa Vunjo na Moshi Vijijini na kuzua taharuki mkoani Kilimanjaro.

Wanaendelea kushikiliwa Central Police mjini Moshi.

View attachment 1599427
Hawa ndio walioweza kukamatwa

View attachment 1599428
Hizi ni nambari za magari zilizokutwa ndani ya gari lao

Mbatia akiongelea vitendo hivi [emoji1484]

View attachment 1599436


Ilivyotokea: Mnamo majira ya saa 10 za jioni kulitoka kurupushani katika ya msafara wa James Mbatia pamoja na watu waliokuwa na gari hilo hali iliyozua taharuki kubwa. Nguvu ya ziada iliongezwa na Jeshi la Polisi kituo kidogo cha Himo na kuanza kulifukuza gari hilo ili kuli-block jambo ambalo pia halikufua dafu kwani almanusura gari hilo liligonge gari la OCS wa Kituo cha Polisi Himo.

Polisi walilazimika kuongeza nguvu zaidi ya magari kutoka Kituo Kikuu cha Polisi Moshi - Kilimanjaro ndipo walipofanikiwa kulizuia gari hilo kwa kuziba barabara zote na kuwakamata watuhumiwa wawili kati ya watatu ambapo mmoja alifanikiwa kutoroka kwa kuruka Dirishani. Baada ya purukushani hizo zilizodumu kwa zaidi ya saa 2 ndipo gari hilo lilikutwa na Mapanga, Marungu, Sime, Mikuki, Jambia na plate number nne za magari tofauti.

Watuhumiwa wamejitetea kwamba wao ni usalama wa Taifa hata hivyo Idara hiyo imewakana haiwafahamu.

=====

Baadhi ya matukio wanayohusishwa nayo:

Septemba 9, 2020:

Watu wasiojulikana wakiwa na gari aina ya Toyota Prado lenye namba za DFP wanadaiwa kuwateka nyara makada wawili wa NCCR-Mageuzi jimbo la Vunjo kisha kuwatesa na mmoja kukatwa sikio lake la kulia.

Taarifa za uhakika zimewataja makada hao kuwa ni Yolanda Lyimo ambaye ni mgombea udiwani viti maalum na Deogratius Mosha ambaye ni kampeni Meneja wa mgombea udiwani kata ya Kilema kati, Gibras Riwa.

Vyanzo vya habari vinadai kuwa tukio hilo lilitokea juzi kati ya saa 12:00 na 1:00 usiku katika kijiji cha Mkyashi huko kata ya Kilema ambapo watu wasiojulikana, wakiwa na bunduki waliwateka makada hao.

Inadaiwa kuwa watu hao waliokuwa na gari aina ya Prado, walijitambulisha kwa makada hao waliokuwa na mazungumzo yao binfasi na watu wengine watatu, kwamba wao ni maofisa wa Jeshi la Polisi.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, waliwachukua Yolanda na Deogratius na kuwaamuru wapakie kwenye gari kuwa wanakwenda kufanya nao mahojiano, lakini badala yake walilazwa kwenye gari hiyo.

Baadae katika eneo ambao hawakulitambua, watu hao walianza kuwatesa kwa kuwapiga ambapo Deogratius alikatwa sikio lake la kulia na baadae kutelekezwa kwenye pori lenye miba katika msitu Ghona.

Hata hivyo, waliweza kujikongoja umbali wa kati ya kilometa 3 hadi 4 hadi kijiji cha Ghona ambapo wananchi waliweza kuwapa msaada ikiwamo kupiga simu polisi Himo, ambao walifika na kuwachukua.

Yolanda kwa sasa ni mgombea udiwani viti maalum na katika mchakato wa uchaguzi mkuu 2020, alishiriki kura za maoni CCM kuwania Udiwani kata ya Kilema Kati lakini hakuteuliwa ndipo akajiunga na NCCR-Mageuzi.

Pia ni Diwani aliyemaliza muda wake katika kata hiyo hiyo lakini kupitia chama cha Tanzania Labour Party (TLP) wakati Deogratius yeye ni kampeni Meneja wa mgombea udiwani kata ya Kilema Kati

>>>>>

Tarehe 6 Oktoba 2020:

Vitendo vya kiharamia vya kuteka makada wa vyama, kuwatesa na hata kuwaua vimeanza kutikisa nchi baada ya makada wawili wa CHADEMA Wilaya ya Hai, kutekwa na kufanyiwa mateso makubwa.

Miongoni mwa mateso hayo ni kuingiziwa mti sehemu ya haja kubwa, kuminywa korodani kwa koleo, kujaribu kuwang’oa meno kwa koleo, mmoja kukatwa sikio na wote kuteswa kwa kupigwa na shoti ya umeme.

Makada hao walitekwa kata ya Narumu juzi na watu waliokuwa na magari ya kiraia matatu wakidaiwa kuwa na bunduki mbili na bastola moja, na baada ya mateso hayo, waliwatupa maeneo tofauti wilayani Arumeru.

>>>>>

Matukio wanayohusishwa watu ni mengi, tusubiri kuona mwisho wao utakuwaje
Amri toka juu ita waachia. Hamna kesi hapo.. Ccm iko hoi... Tumemsikia hata Baba la baba anasema vyama vyenye rangi nyekundu ni vyama vya vita.. Huyo mi rais wa nchi anae jua maana ya ya bendera..
 
Safi sana police wetu. Wachunguzwe waeleze kila kitu na wengine wanaohusika wakamatwe woteee
Hao wahalifu ni wakutoka kanda pendwa wametumwa kutesa watu wa Kilimanjaro
 
Hapo kwa mbatia wamebugi stepu. Ingekuwa amefanyiwa kiongozi wa chadema wasingekamatwa na wangeendelea kupewa jina zuri la wasiojulikana
 
TISS ukikamatwa lazima wakukane. Hata Sabaya walimkana kipindi kile akiwa Arusha.

Swali kwenu TISS kwanini mmemgeuka Mbatia? Huyu mtu aliwasaidia kumchafua Mbowe na CHADEMA ila sasa mmekosa shukrani.

Kuteka na kuua watanzania wenzenu ndio kazi mnayoiweza TISS. Shame on you!
 
Watu watatu waliokuwa wakimfuatilia mgombea ubunge jimbo la Vunjo kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, Ndg. James Mbatia wakiwa na gari aina ya Toyota Prado namba DFP 788 wamekamatwa na Jeshi la Polisi mjini Moshi jana saa 10 alasiri eneo la KDC baada ya Polisi kufukuzana na gari hilo na kufanikiwa kulidhibiti (block).

Mmoja wao alifanikiwa kukimbia baada ya kuona wamedhibitiwa lakini wawili walidhibitiwa na Jeshi la P

Watu hao waliokuwa wakijitambulisha maeneo mengi kuwa wao ni Usalama wa Taifa na wakati mwingine wakidai wao Askari wa Jeshi la Polisi hatimaye baada ya kukamatwa na kuhojiwa imedaiwa ni watu kutoka kitengo cha ‘Maadili na Usalama’ ndani ya CCM kutoka ofisi ndogo ya CCM Lumumba.

Baada ya kupekuliwa, watu hao walikutwa na nambari za magari tofauti tofauti na silaha mbalimbali zikiwamo koleo zinazodaiwa kutumika kuwatesa makada wa upinzani waliotekwa Vunjo na Moshi Vijijini na kuzua taharuki mkoani Kilimanjaro.

Wanaendelea kushikiliwa Central Police mjini Moshi.

View attachment 1599427
Hawa ndio walioweza kukamatwa

View attachment 1599428
Hizi ni nambari za magari zilizokutwa ndani ya gari lao

Mbatia akiongelea vitendo hivi 👇🏾

View attachment 1599436


Ilivyotokea: Mnamo majira ya saa 10 za jioni kulitoka kurupushani katika ya msafara wa James Mbatia pamoja na watu waliokuwa na gari hilo hali iliyozua taharuki kubwa. Nguvu ya ziada iliongezwa na Jeshi la Polisi kituo kidogo cha Himo na kuanza kulifukuza gari hilo ili kuli-block jambo ambalo pia halikufua dafu kwani almanusura gari hilo liligonge gari la OCS wa Kituo cha Polisi Himo.

Polisi walilazimika kuongeza nguvu zaidi ya magari kutoka Kituo Kikuu cha Polisi Moshi - Kilimanjaro ndipo walipofanikiwa kulizuia gari hilo kwa kuziba barabara zote na kuwakamata watuhumiwa wawili kati ya watatu ambapo mmoja alifanikiwa kutoroka kwa kuruka Dirishani. Baada ya purukushani hizo zilizodumu kwa zaidi ya saa 2 ndipo gari hilo lilikutwa na Mapanga, Marungu, Sime, Mikuki, Jambia na plate number nne za magari tofauti.

Watuhumiwa wamejitetea kwamba wao ni usalama wa Taifa hata hivyo Idara hiyo imewakana haiwafahamu.

=====

Baadhi ya matukio wanayohusishwa nayo:

Septemba 9, 2020:

Watu wasiojulikana wakiwa na gari aina ya Toyota Prado lenye namba za DFP wanadaiwa kuwateka nyara makada wawili wa NCCR-Mageuzi jimbo la Vunjo kisha kuwatesa na mmoja kukatwa sikio lake la kulia.

Taarifa za uhakika zimewataja makada hao kuwa ni Yolanda Lyimo ambaye ni mgombea udiwani viti maalum na Deogratius Mosha ambaye ni kampeni Meneja wa mgombea udiwani kata ya Kilema kati, Gibras Riwa.

Vyanzo vya habari vinadai kuwa tukio hilo lilitokea juzi kati ya saa 12:00 na 1:00 usiku katika kijiji cha Mkyashi huko kata ya Kilema ambapo watu wasiojulikana, wakiwa na bunduki waliwateka makada hao.

Inadaiwa kuwa watu hao waliokuwa na gari aina ya Prado, walijitambulisha kwa makada hao waliokuwa na mazungumzo yao binfasi na watu wengine watatu, kwamba wao ni maofisa wa Jeshi la Polisi.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, waliwachukua Yolanda na Deogratius na kuwaamuru wapakie kwenye gari kuwa wanakwenda kufanya nao mahojiano, lakini badala yake walilazwa kwenye gari hiyo.

Baadae katika eneo ambao hawakulitambua, watu hao walianza kuwatesa kwa kuwapiga ambapo Deogratius alikatwa sikio lake la kulia na baadae kutelekezwa kwenye pori lenye miba katika msitu Ghona.

Hata hivyo, waliweza kujikongoja umbali wa kati ya kilometa 3 hadi 4 hadi kijiji cha Ghona ambapo wananchi waliweza kuwapa msaada ikiwamo kupiga simu polisi Himo, ambao walifika na kuwachukua.

Yolanda kwa sasa ni mgombea udiwani viti maalum na katika mchakato wa uchaguzi mkuu 2020, alishiriki kura za maoni CCM kuwania Udiwani kata ya Kilema Kati lakini hakuteuliwa ndipo akajiunga na NCCR-Mageuzi.

Pia ni Diwani aliyemaliza muda wake katika kata hiyo hiyo lakini kupitia chama cha Tanzania Labour Party (TLP) wakati Deogratius yeye ni kampeni Meneja wa mgombea udiwani kata ya Kilema Kati

>>>>>

Tarehe 6 Oktoba 2020:

Vitendo vya kiharamia vya kuteka makada wa vyama, kuwatesa na hata kuwaua vimeanza kutikisa nchi baada ya makada wawili wa CHADEMA Wilaya ya Hai, kutekwa na kufanyiwa mateso makubwa.

Miongoni mwa mateso hayo ni kuingiziwa mti sehemu ya haja kubwa, kuminywa korodani kwa koleo, kujaribu kuwang’oa meno kwa koleo, mmoja kukatwa sikio na wote kuteswa kwa kupigwa na shoti ya umeme.

Makada hao walitekwa kata ya Narumu juzi na watu waliokuwa na magari ya kiraia matatu wakidaiwa kuwa na bunduki mbili na bastola moja, na baada ya mateso hayo, waliwatupa maeneo tofauti wilayani Arumeru.

>>>>>

Matukio wanayohusishwa watu ni mengi, tusubiri kuona mwisho wao utakuwaje
Diversion Move. Badly calculated propaganda.
 
Wao
Hapo kwa mbatia wamebugi stepu. Ingekuwa amefanyiwa kiongozi wa chadema wasingekamatwa na wangeendelea kupewa jina zuri la wasiojulikana
Waongo wanazuga na hakuna watakachofanywa. Huyo mbatia ametumika tena.
 
Ni kweli kumekua na utaratibu wa kila office ya CCM za kila mtaa kuandaa costa zinazotosheleza wanachama wake kuwapeleka kwenye shughuli za kichama na kuwarudisha majumbani
Wamejipanga kweli kweli
Duh basi Kawe wana hela kwani wamejipanga hasa mwaka huu
kuna sehemu leo Ukerewe na Chato watu wamejikusanya kwa kutumia usafiri wa miguu na mitumbwi bila mabango wala jezi, tena wametandika khanga zao na vitenge mwanakondoo apite
1602677662709.png
 
TISS ukikamatwa lazima wakukane. Hata Sabaya walimkana kipindi kile akiwa Arusha.

Swali kwenu TISS kwanini mmemgeuka Mbatia? Huyu mtu aliwasaidia kumchafua Mbowe na CHADEMA ila sasa mmekosa shukrani.

Kuteka na kuua watanzania wenzenu ndio kazi mnayoiweza TISS. Shame on you!
Hapo hamna kitu hiyo ni zuga tu ya polisi na Mbatia wamehusika wote.
 
Safi sana police wetu. Wachunguzwe waeleze kila kitu na wengine wanaohusika wakamatwe woteee
Mama D usiwaamini hao watu kipindi hiki. Wanatuzuga tu na maigizo yao. Uhalifu hakisi umefanyika juzi nyumbani kwa Rais Chato penye ulinzi mkali na hakuna kilichofanyika. Usiku wa kuamkia tar 13 kulikuwa na vitendo uvamizi kwa mgombea wa chadema na uharibifu wa mali ikiwemo nyumba. Matukio hayo yalitosha kwa jeshi la polisi kuhakikisha ulinzi wa ziada kwenye hilo eneo. Cha ajaaba mchana uliofata msafara wa mgombea urais umepigwa mawe na mapigano kutoka vikundi vinavyoonekana kupangwa na polisi wakiwa hapo hapo bila kuchukua hatua yoyote.

NB: mbatia anatumika kwenye maigizo.
 
Hii habari imefikaje kwenye public domain? Maana yake bila chembe ya shaka chama cha mapinduzi kina vikundi vya kigaidi, kutesa na kuua watu

Imekuwaje habari hii haijazuiwa kutoka?
Kuna jambo gani limepangwa?

Sina imani na polisi lakini hili linanifanya niwaze mara mbili

Huyu Mungu huyu, mnayofanya gizani sasa yanaonekana nuruni

Bado kitambo kidogo tu sasa tutaanza kuheshimiana
 
Back
Top Bottom