Kilimanjaro: Wanawake wakimbia makazi yao kukwepa wabakaji

Hilo kundi la TELEZA kuna wakati lilisikika kuendesha oparesheni zake Kigoma.

Watakuwa wamefungua tawi lao Kilimanjaro!
Arusha pia niilisikia kama mwanzoni mwa mwaka huu.
Sema huku watu walikuwa wanasema ni mtu mmoja eti anateleza anapita ndani hata kama mlango umefungwa anakubaka then anaondoka.
Mimi nilijua ni story za kusadikika kumbe kuna ka ukweli sema tu labda watu waliongezea chumvi.
 
yani jibaba linakwenda mtoni kuwinda wanawake wa kubaka
 
Kilimanjaro zamani ilikuwa ni walevi wa mbege tuu ila kwa sasa imekuwa kambi ya mavijana majinga majinga yanayovuta mibange na kunjwa gongo na kufanya uhalifu wa hovyo. Hasa maeneo ya vijijini wilaya zote Kilimanjaro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…