LGE2024 Kilimanjaro: Wasiojulikana waiba madaftari ya kujiandikishia, wengine wachoma moto Ofisi ya Mtendaji

LGE2024 Kilimanjaro: Wasiojulikana waiba madaftari ya kujiandikishia, wengine wachoma moto Ofisi ya Mtendaji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Malaya wa kisiasa kazini.Wewe jamaa ukipata nafasi ya kuwa kwenye nafasi serikalini Kwa uchawa wako uhakikishe unaaiba haswa baada ya muda utawa na LAANA WEWE NA NDUGU ZAKO WOTE .
hiyo ni completely useless and nonsense gentleman :pedroP:
 
Dah! Afande Mafwele, hii haijakaa sawa hata kidogo. Mimi ni mzee tu nisiye jiweza! Sasa hizo nguvu za kuchana hilo daftari nazitoa wapi? 😩

Atakuwa ni Lucas Mwashambwa huyo na mwenzake Tlaatlaah ndiyo wamechana.
mzee unasumbuliwa na pepo baya sana la kusingizia wasiohusika, hatari zaidi hilo pepo lina kigugumizi..

njoo ufanyiwe maombi, njoo uombewea tafadhali kabla hali haijawa mbaya zaidi :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom