Kilimanjaro: Wawili wakamatwa wakidaiwa kuzushia ugonjwa viongozi wa Serikali

Kilimanjaro: Wawili wakamatwa wakidaiwa kuzushia ugonjwa viongozi wa Serikali

Wanasababisha taharuki miongoni mwa jamii...
 
Duuuuh sasa mahakamani wakitaka JIWE ajitokeze je? Kama mimi ni wakili wa washitakiwa nitaiomba mahakamani watoprove kwamba haumwi kwa kumuona kanisani wiki ijayo.
 
Kitendo cha wao kutokuonekana hadharani kinapelekea wananchi tunakamatwa pale tunapohoji walipo.

Wakijitokeza tu hatutahoji tena, na Polisi hawatatukamata pia.
Ukihoji walipo Wala hakuna Mtu atakukamata, Ila ukianza kutoa tangazo kuwa fulani anaumwa hapo fasta tu unatulizwa. Msiwe na viherehere
 
Kuuliza kiongozi alipo sio kosa, kosa ni kutoa taarifa za uzushi

Wewe umejuaje kama ni uzushi? Kama haumwi yuko wapi sasa? Kama yupo likizo si andae kipindi TBC wamrushe live akitoa salamu halafu tuone gazeti la leo mezani.
 
Duuuuh sasa mahakamani wakitaka JIWE ajitokeze je? Kama mimi ni wakili wa washitakiwa nitaiomba mahakamani watoprove kwamba haumwi kwa kumuona kanisani wiki ijayo.
Hakuna kitu Kama hicho, huu ujinga ndio mlijaza yule dogo wa DIT ngonyani nae eti akasema Kama mwamunyange hajapewa sumu aje hapa. Kilichofata nadhani unakumbuka.
Ujinga wa mitandaoni uishie huku, Ila Kuna wajinga wanaenda nao Hadi kwenye real life pole melchior, naona unaenda kupata alichopata ngonyani
 
Wewe umejuaje kama ni uzushi? Kama haumwi yuko wapi sasa? Kama yupo likizo si andae kipindi TBC wamrushe live akitoa salamu halafu tuone gazeti la leo mezani.
Kutokujua na kutangaza usichokijua ndio uzushi na umbea sasa. Uliza ukishafahamishwa ndio utangaze
 
Kuuliza kiongozi alipo sio kosa, kosa ni kutoa taarifa za uzushi
Sasa kama hao watu wanao muulizia kiongozi wao wanatoa taarifa za uzushi, nongwa iko wapi kwa huyo Kiongozi kujitokeza hadharani kama alivyo wazoesha wapiga kura wake?

Kujitokeza kwake hadharani si na kuondoa hii sintofahamu, si kungeondoa kabisa huo mkanganyiko mama D ?
 
Sasa kama hao watu wanao muulizia kiongozi wao wanatoa taarifa za uzushi, nongwa iko wapi kwa huyo Kiongozi kujitokeza hadharani kama alivyo wazoesha wapiga kura wake?

Kujitokeza kwake hadharani si na kuondoa hii sintofahamu, si kungeondoa kabisa huo mkanganyiko mama D ?
Hamkumsikia waziri mkuu?
 
Ukihoji walipo Wala hakuna Mtu atakukamata, Ila ukianza kutoa tangazo kuwa fulani anaumwa hapo fasta tu unatulizwa. Msiwe na viherehere
Kwani kuumwa ni jambo lisilo stahili kwa kiongozi? Kama anaumwa si aweke tu wazi!! Mbona JK aliweka wazi baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume enzi za utawala wake!!
 
Kitendo cha wao kutokuonekana hadharani kinapelekea wananchi tunakamatwa pale tunapohoji walipo.

Wakijitokeza tu hatutahoji tena, na Polisi hawatatukamata pia.
kuulizia sio tatizo, tatzo kutoa taarifa kuwa anaumwa.. wwe una uhakika gani kama ni mgonjwa
 
Waziri mkuu?? yeye ndio anasema ukweli? mangapi ya uongo wanatuambia majukwaani?
Inahitaji uwe na moyo wa kipekee kumuamini mtu aliyesema wakati ule 'wameajiri walimu 5000 wiki mbili zilizopita', huku akijua anasema uongo.
 
Back
Top Bottom