Kilimanjaro: Wawili wakamatwa wakidaiwa kuzushia ugonjwa viongozi wa Serikali

Kilimanjaro: Wawili wakamatwa wakidaiwa kuzushia ugonjwa viongozi wa Serikali

Nilikuwa nahitaji ilivyo sheria kama kuna uvumi na baadhi wakakamatwa kutokana na tuhuma kuwa wamezua jambo ambalo sio la kweli,ila baada ya muda kupita ule uvumi ni jambo la kweli lisilokuwa na shaka ndani yake.
Nini hukumu ya wale waliokamatwa ?
Yaani Tundu lissu, Mnyika, salum mwalim, Gwarugwa plus Faru John utegemee kupata taarifa reliable kweliiiiiiiiiiiiiiiiii du chadema majanga matupu. Hongera Halima &co kwa kujitambua, hata hivyo mmepoteza muda wenu sana huko
 
Nilikuwa nahitaji ilivyo sheria kama kuna uvumi na baadhi wakakamatwa kutokana na tuhuma kuwa wamezua jambo ambalo sio la kweli,ila baada ya muda kupita ule uvumi ni jambo la kweli lisilokuwa na shaka ndani yake.
Nini hukumu ya wale waliokamatwa ?
Wataulizwa habari wamezipata wapi.
 
Naskia amezinduka na anaendelea vizuri🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
.Nadhani hata wenye kesi nae zitafutiliwa mbali.

.Wazee wa escrow watapa uhuru wao.

.Mdude out.

.Walio ukimbizini watarudi kuungana tena na familia zao.

.Wawekezaji wataongezeka andaeni vyeti vyenu tu ajira zitakuwa nyingi.

. Mishahara itapanda.

. Wasiojulikana likizo ya milele.
 
Back
Top Bottom