Kilimanjaro: Zaidi ya Shule kumi za msingi za Serikali wilayani Hai ni chakavu, zinatakiwa kubomolewa na kujengwa upya

Kilimanjaro: Zaidi ya Shule kumi za msingi za Serikali wilayani Hai ni chakavu, zinatakiwa kubomolewa na kujengwa upya

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Shule nyingi za msingi za serikali zilizopo wilayani hai mkoani Kilimanjaro majengo yake ni machakavu na hayafai kwa wanafunzi kusomea.

Nyingi za shule hizo ni zile zilizojengwa kipindi cha ukoloni na baada ya uhuru lakini hadi sasa majengo yake yako vile vile ni machakavu na hakuna ukarabati wowote uliofanyika.

Pia baadhi ya madarasa kukosa milango, pamoja na nyufa

Moja kati ya shule hizo ambazo majengo yake ni machakavu , ni shule ya msingi Narumu, shule ya msingi Orori na Mulama shule ya msingi.
Screenshot_20220803-115826.png
 
Me naona hiyo kama ipo bora zaidi ya shule nyingi ambazo watoto wanasomea chini ya miembe wanakaa chini ardhini,

Safari bado ni ndefu ila tutafika tu!!
 
Shule nyingi za msingi za serikali zilizopo wilayani hai mkoani Kilimanjaro majengo yake ni machakavu na hayafai kwa wanafunzi kusomea.

Nyingi za shule hizo ni zile zilizojengwa kipindi cha ukoloni na baada ya uhuru lakini hadi sasa majengo yake yako vile vile ni machakavu na hakuna ukarabati wowote uliofanyika.

Moja kati ya shule hizo ambazo majengo yake ni machakavu , ni shule ya msingi Narumu, shule ya msingi Orori na Mulama shule ya msingi.
View attachment 2312802
Mwaka huu wanajenga shule hizo Wala usiwaze 👇
 

Attachments

  • 20220801_081121.jpg
    20220801_081121.jpg
    58.1 KB · Views: 8
  • 20220801_081022.jpg
    20220801_081022.jpg
    89.1 KB · Views: 10
Mwaka huu wanajenga shule hizo Wala usiwaze 👇
Hiyo ni kutokana na bajeti ambayo hata nusu yeke hua haitekelezwi!! Kwahivyo afadhali ukae kimya kwani hızı Serikali za ccm ni mchoko mwanzo mwisho!!! Samia hana tofauti na waliomtangulia!
 
Hiyo ni kutokana na bajeti ambayo hata nusu yeke hua haitekelezwi!! Kwahivyo afadhali ukae kimya kwani hızı Serikali za ccm ni mchoko mwanzo mwisho!!! Samia hana tofauti na waliomtangulia!
Ulitaka jibu au ulitaka nini hasa? Umeambiwa wanaanza na madarasa hayo sasa kama hutaki Baki hivyo hivyo
 
Ulitaka jibu au ulitaka nini hasa? Umeambiwa wanaanza na madarasa hayo sasa kama hutaki Baki hivyo hivyo
Nilitaka ukae kimya na sio kuleta siasa kwenye mambo serious!! Bajeti ya mwaka jana wametekeleza mangapi kwenye wizard ya Elimu kuhusu madarasa walioahidi? Wewe uko hapo kama "PRAISE" team kulinda ugali wako lakini ujue siku moja mtaumbuka; kwani watawala wenzenu wa Sri Lanka walimkosea Mungu nini?
 
Nilitaka ukae kimya na sio kuleta siasa kwenye mambo serious!! Bajeti ya mwaka jana wametekeleza mangapi kwenye wizard ya Elimu kuhusu madarasa walioahidi? Wewe uko hapo kama "PRAISE" team kulinda ugali wako lakini ujue siku moja mtaumbuka; kwani watawala wenzenu wa Sri Lanka walimkosea Mungu nini?
🚮🚮
 
Back
Top Bottom