Kilimi kuwa kirefu na tiba yake

Kilimi kuwa kirefu na tiba yake

Ms mol

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2017
Posts
1,960
Reaction score
2,345
Habarini madaktari.

mtoto wangu wa miaka 8 amepata tatizo la chronic tonsils ( nilisikia madaktari wakisema kuwa hizo tezi zimekuwa septic. ameandikiwa sindano kwa siku 7 sindano hiyo inaitwa ceftriaxone injection kwa siku 7. ila bibi yake leo ameniambia huyo mtoto hatopona kwakuwa ana kilimi kirefu inatakiwa kukatwa na akishakatwa hizi shida nitazisahau.

madaktari naombeni nasaha zenu maana sasa nachanganyikiwa mtoto yupo half dose ila dalili za kupona ndio hazipo kabisaaa!!!
Kinachoniwazisha ni je kilimi huwa kinakatwa hospital?? maana nimeelekezwa kwa wazee wajadi na nafsi yangu haitaki kabisa kwenda huko.

Sky Eclat Mzizi Mkavu[USER=6716]Riwa na madaktari wote naombeni ushauri wenu..
 
Hospital hawaamini mabo ya kilimi (kimeo) hapo tafuta wale watu wa mitaani wanaokata kimeo siku 2 tu anapona ukimcheelweshea wanasema kinanyonya damu anaweza akawa wa njano
 
Hospital hawaamini mabo ya kilimi (kimeo) hapo tafuta wale watu wa mitaani wanaokata kimeo siku 2 tu anapona ukimcheelweshea wanasema kinanyonya damu anaweza akawa wa njano
mhhh Asante mkuu japo mimi natamani kujua ni kwa nini hospital hawaamini na mimi niamini.. nataka nijue ni kitu gani kinasababisha huu ugonjwa??
 
Kama upo Dar nenda pale Charambe magengeni mida ya asubuhi kuna mtaalam wa kukata kilimi. Mimi mtoto wangu alijua anakohoa sana akila chakula anatapika ila alipokata tu hajawahi kusumbuliwa tena.
 
Habarini madaktari.
mtoto wangu wa miaka 8 amepata tatizo la chronic tonsils ( nilisikia madaktari wakisema kuwa hizo tezi zimekuwa septic. ameandikiwa sindano kwa siku 7 sindano hiyo inaitwa ceftriaxone injection kwa siku 7. ila bibi yake leo ameniambia huyo mtoto hatopona kwakuwa ana kilimi kirefu inatakiwa kukatwa na akishakatwa hizi shida nitazisahau.

madaktari naombeni nasaha zenu maana sasa nachanganyikiwa mtoto yupo half dose ila dalili za kupona ndio hazipo kabisaaa!!!
Kinachoniwazisha ni je kilimi huwa kinakatwa hospital?? maana nimeelekezwa kwa wazee wajadi na nafsi yangu haitaki kabisa kwenda huko.
Sky Eclat Mzizi Mkavu[USER=6716]Riwa na madaktari wote naombeni ushauri wenu..
Procedure ya kukata kilimi mtaani haina harufu yoyote ya ushirikina incase unahofu,ni wembe wako tu,though iko cruel kidogo maana hakuna ganzi(nimewahi katwa) baada ya kukatwa unasukutua maji ya chumvi ili damu isiendelee kutoka then unatakiwa kula vitu vya moto moto hata kwa kulazimisha ili kidonda kipone haraka.
 
Acha mambo ya ajabu, ulishawahi kusikia mzungu anakatwa kilimi?. Tonsillitis kuna dawa za kutibu na mimi nilikuwa nayo kwa miezi kadhaa nilijaribu dawa kadhaa mwishoe nikapona. Unapopata bacteria sehemu ya koo tonsil zinavimba pia kilimi, kwahiyo ni kawaida kilimi kuwa kikubwa akipona kitarudi. Kama zimearibika sana wanaweza kuzitoa ni minor surgery inachukua dakika 20 tu. Lakini sio daktari yoyote tafuta specialist yaani ENT.
 
Acha mambo ya ajabu, ulishawahi kusikia mzungu anakatwa kilimi?. Tonsillitis kuna dawa za kutibu na mimi nilikuwa nayo kwa miezi kadhaa nilijaribu dawa kadhaa mwishoe nikapona. Unapopata bacteria sehemu ya koo tonsil zinavimba pia kilimi, kwahiyo ni kawaida kilimi kuwa kikubwa akipona kitarudi. Kama zimearibika sana wanaweza kuzitoa ni minor surgery inachukua dakika 20 tu. Lakini sio daktari yoyote tafuta specialist yaani ENT.
mkuu hiki mimi ndicho nilichokitaka.. amemaliza dose ya sindano jana kwa sasa bado hajapona ila nimeshauriwa nisubiri wiki moja tena ndio niende hospital. mie sijawahi kuona mtu amekatwa kilimi nimeambiwa na majirani zangu kuwa kilimi ndio kimeleta shida. ila mie najua ni tonsils zinamuuma.
 
Kimeo na tonsils wapi na wapi.....?!

Hapo mnazungumzia viungo viwili tofauti vinavyodeal na mambo tofauti. Its better ukawaconsult huko hospital kwanza wakakupa namna ya kukabiriana na hali hiyo kulikoni ukampeleke mtoto mtaani huko na usijue kitu gani anasumbuliwa nacho.
 
mkuu hiki mimi ndicho nilichokitaka.. amemaliza dose ya sindano jana kwa sasa bado hajapona ila nimeshauriwa nisubiri wiki moja tena ndio niende hospital. mie sijawahi kuona mtu amekatwa kilimi nimeambiwa na majirani zangu kuwa kilimi ndio kimeleta shida. ila mie najua ni tonsils zinamuuma.

Mpeleke hospital wanaweza kujaribu pia dawa za kumeza kama penicillin, amoxicillin e.t.c.
 
Mtu mwenye kilimi hukohoa sana, hukonda sana gani kilimi kinamaliza mwili atauweje utakonda sana

Kilimi kikiwa kirefu huwa kinatunga kikipasuka mtu anapoteza uhai

Si kila doctor anaweza kukata kilimi, tunaweza kukatwa hospital ukawa ndio mwisho wa maisha yako

Si kila tatizo hospital ndio suruhisho lake tuache hiyo kasumba,

Mitaani wapo watu maarufu wakiofanya hiyo kazi ya kukata kilimi bila tatizo

Ushauri ukiwa na kilimi tafuta wataamu wa mtaani ukatwe usikimbilie hospital
 
Habarini madaktari.

mtoto wangu wa miaka 8 amepata tatizo la chronic tonsils ( nilisikia madaktari wakisema kuwa hizo tezi zimekuwa septic. ameandikiwa sindano kwa siku 7 sindano hiyo inaitwa ceftriaxone injection kwa siku 7. ila bibi yake leo ameniambia huyo mtoto hatopona kwakuwa ana kilimi kirefu inatakiwa kukatwa na akishakatwa hizi shida nitazisahau.

madaktari naombeni nasaha zenu maana sasa nachanganyikiwa mtoto yupo half dose ila dalili za kupona ndio hazipo kabisaaa!!!
Kinachoniwazisha ni je kilimi huwa kinakatwa hospital?? maana nimeelekezwa kwa wazee wajadi na nafsi yangu haitaki kabisa kwenda huko.

Sky Eclat Mzizi Mkavu[USER=6716]Riwa na madaktari wote naombeni ushauri wenu..
Pole njoo hospital
Usiende kukataa mtaani
Mtoto atakuja pata madhara makubwa
 
nilikata hii kitu nikiwa naanza form one asee kupona ilichukua about two weeks asee inauma nkikumbuka ule mkasi kooni asee siwezi sahau maana nilisumbuliwa sana na kifua ila baada ya kukata nikawa swa hadi leo
 
Procedure ya kukata kilimi mtaani haina harufu yoyote ya ushirikina incase unahofu,ni wembe wako tu,though iko cruel kidogo maana hakuna ganzi(nimewahi katwa) baada ya kukatwa unasukutua maji ya chumvi ili damu isiendelee kutoka then unatakiwa kula vitu vya moto moto hata kwa kulazimisha ili kidonda kipone haraka.
Mimi pia nakumbuka nilikatwa, ila hospitali wanapinga sana ukataji sijui kwa nini. Mwanangu iliwahi msumbua, hospitali walikataa kabisa kumkata. Nikaamua kuacha alikuja akaona mwenyewe baada ya muda ila aliteseka maana hata kutapika alikuwa anatapika, kilikuwa kinampalia.
 
Habarini madaktari.

mtoto wangu wa miaka 8 amepata tatizo la chronic tonsils ( nilisikia madaktari wakisema kuwa hizo tezi zimekuwa septic. ameandikiwa sindano kwa siku 7 sindano hiyo inaitwa ceftriaxone injection kwa siku 7. ila bibi yake leo ameniambia huyo mtoto hatopona kwakuwa ana kilimi kirefu inatakiwa kukatwa na akishakatwa hizi shida nitazisahau.

madaktari naombeni nasaha zenu maana sasa nachanganyikiwa mtoto yupo half dose ila dalili za kupona ndio hazipo kabisaaa!!!
Kinachoniwazisha ni je kilimi huwa kinakatwa hospital?? maana nimeelekezwa kwa wazee wajadi na nafsi yangu haitaki kabisa kwenda huko.

Sky Eclat Mzizi Mkavu[USER=6716]Riwa na madaktari wote naombeni ushauri wenu..
Hakuna uhusiano kati ya kilimi na tonsillitis.

Shida kubwa mpaka umempeleka hospital alikuwa na dalili zipi?
 
Back
Top Bottom