Kilimo cha Alizeti (Sunflower): Masoko, Mbinu na Ushauri toka kwa wadau

Wakuu naamini mko poa naomba kama kuna mtaalamu unajua kilimo cha vanilla anipige shule nataka nijaribu kuna mahali nimepata soko
 
5*20=100*28-36000=280-360000
Zao hili halina bela msililime kama ni hivi
 
5*20=100*28-36000=280-360000
Zao hili halina bela msililime kama ni hivi
Umeangalia hizo data ni za mwaka gani kiongozi??


Dumu la Lita 20 mafuta ya alizeti Dodoma bei ni elfu 48 wakati huu wa mavuno. Huko mbeleni tegemea bei kupanda marudufu mpaka elfu 60 kuendelea.


Jamaa uliyem quote ni wa 2010, this is 2017
 
Wakuu kama kichwa cha habari apo juu.
Naomba kujulishwa ama kuelekezwa jinsi ya kulima kwa ufanisi na ubora zao la alizeti na kupata mavuno makubwa. Na ningeomba nijue soko lake pia. Tuanze kwa mfano wa shamba la ekari mbili. Karibuni wajuzi
 
Wakuu kama kichwa cha habari apo juu.
Naomba kujulishwa ama kuelekezwa jinsi ya kulima kwa ufanisi na ubora zao la alizeti na kupata mavuno makubwa. Na ningeomba nijue soko lake pia. Tuanze kwa mfano wa shamba la ekari mbili. Karibuni wajuzi
Kama uko kagera,shinyanga,singida dodoma tuwasiliane nikwambie soko lilipo
 
Sasa t
1. Tafuta shamba
2. Lima
3. Mavuno hifadhi ghalani i.e usieze kwa walanguzi
4. Nunua mashine ya kukamua alizeti
5. Kamua alizeti zako
5. Uza mafuta nje ya nchi.
6. Pata faida

Mashine za kukamulia alizet huuzwa shilingi ngapi kama unajua naomba niambie.
 
kiboka ya Alizeti mvua.....na yenyewe inasubiri mazao yakishapendeza inashuka ya kufa mtu walah
 
Naomba msaada kwa wataalam waliokwisha kulima na zao la Alizeti wanapambana vipi na ndege, maana naona watamaliza juhudi zote nilizoweka mwaka huu.

Wako wengi na wanashambulia mazao kweli kweli.
 
Naomba msaada kwa wataalam waliokwisha kulima na zao la Alizeti.

wanapambana vipi na ndege maana naona watamaliza juhudi zote nilizoweka mwaka huu maana wako wengi na wanashambulia mazao kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…