Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
nasikia enzi hizo walichukua mbegu za michikichi na kupeleka huko indonesia leo hii wanatuuzia mafuta ya maweseKwa kweli wenzetu wamechukua mbegu kutoka tropical countries kwa miaka mingi sana hata wanyama wetu na wadudu, ila sisi tumelala sana
Inabidi tunahakikisha tunarudi na mbegu kutoka nje au tunaagiza
Wao mpaka mende wanabeba