Kilimo cha maembe ya kisasa

Kilimo cha maembe ya kisasa

Kilimo bana huwa nakiheshimu na huwa nakiogopa sana kuna kipindi ilikuja trend ya kilimo cha vitunguu bas bana

Tuna shamba la mzee hekar 12 mm nikachukua etari 4 nikalima vitunguu kwa mahesabu yangu skutaka magunia mengi nilisema tu nikipata gunia 30/40 za vitunguu zinatosha na kia gunia nikiuza shiling laki 1 bas nimetobao
Nikachukua vijana nikawaweka camp kila wiki naende watembelea napeleka chakula na pembejeo mwisho wa sku kilichokuja nitokea mh mmmmmh
Kwa ushauri wangu ni bora ufugaji kulko kilimo
Shida ya kilimo ni bei hushuka na kupanda mda wwte na mara nying bei ushuka
Ufugaji sku zote bei hupanda ni
Mara chache sana kukuta bei ya mbuzi ng’ombe au kondoo imeshuka
Pole sana lakini shida yenu watu hamfanyi utafiti wa mda gani nilime zao hili au lile. Kwa bongo kanuni ni Moja tu Lima kitu kipindi bei ikiwa ndogo usilime kipindi zao flani Lina bei kubwa kwanini? Nikupe mfano kipindi unalima kitunguu nafaham kabisa kuipata mbegu tu ilikuwa mtihani kwani ilikuwa haipoi ikifika dukani imeisha swali, wapi inaenda ni shambani kwani mbegu hailiwi. Sasa kwanini upande msimu ambao bei ni ndogo, mfano msimu huu baada ya watu wengi kulima kitunguu na kuwakata kwenye bei basi asilimia 80 hukata tamaa kutokana na kupata hasara au kutofika matarajio hivyo ukilima sasa ndio soko litakuwa zuri
 
Pole sana lakini shida yenu watu hamfanyi utafiti wa mda gani nilime zao hili au lile. Kwa bongo kanuni ni Moja tu Lima kitu kipindi bei ikiwa ndogo usilime kipindi zao flani Lina bei kubwa kwanini? Nikupe mfano kipindi unalima kitunguu nafaham kabisa kuipata mbegu tu ilikuwa mtihani kwani ilikuwa haipoi ikifika dukani imeisha swali, wapi inaenda ni shambani kwani mbegu hailiwi. Sasa kwanini upande msimu ambao bei ni ndogo, mfano msimu huu baada ya watu wengi kulima kitunguu na kuwakata kwenye bei basi asilimia 80 hukata tamaa kutokana na kupata hasara au kutofika matarajio hivyo ukilima sasa ndio soko litakuwa zuri
Na the best Kilimo ni Permanent Crops....yanazaa kila mwaka utakunata tu na soko zuri kipindi fulani...TULIME embe ndugu zangu
 
Hivi hakuna njia ya kitaalam yakufanya maembe yaive katka msimu tofaut na huu wa kawaida ili mtu apge pesa kivyake vyake
Zipo unafanya induction ya enzyme kwa kupulizia hivyo miti inaanza kuzaa na unafanya intensive irrigation,fertilization ili mambo yawe mazuri
 
Unapoteza muda ndugu, ungetuuliza tuliozaliwa na kukulia Tabora kabla ya kuingia gharama zote hizi ikitarajia mapato hewa hewa (ya kwenye makaratasi).

Msimu wa maembe huko Tabora huwa yanagawiwa bure, yaani inafika muda Kenta zima linuzwa elfu 30. Ili unielewe vizuri uliza watu wa Iringa, msimu wa nyanya baei inakuwaje. Na kwanini kilimo cha nyanya hakiwatoi.

Pia waulize watu wa huko Mbeya na Njombe kwanini kilimo cha parachichi hakiwatoi?

Wakati wewe ukihangaika kupanda miembe, Kuna maeneo huko Tabora wamezaliwa na kukuta msitu wa miembe.
Ili ufanikiwe katika jambo lolote unatakiwa ulifanye tofauti
 
Mkuu umeweka makadrio ya juu mno! Mti mmoja wa hizi embe unaita za kisasa huwezi kupata maembe 500 kwa umri huo wa miaka 6, Umezaa sana ni kati ya 200 na 300. Mimi ninao una miaka 11 leo lakini sijawahi kupata maembe zaidi ya 300 kwa msimu. Hivyo hesabu zako aifanye ziwe za chini sema maembe 200 x 450 = maembe 90,000 kwa msimu x TZS 200 = 18,000,000 kwa msimu!
Sasa si bora aliseme tumbaku kwa heka 10 anakuwa amezidi
 
Tango wengine wanaita tanga ni moja ya embe zinazohitajika zaidi viwandani
embe tango ni zile embe za tabora(wengine huziita boribo za tabora), embe tanga ni hizi embe zinatoka tanga(kule tanga wanaziita viringi(kwa umbo lake la mviringo))
 
Katika hekaheka za kujiandaa kustaafu miaka 7 baadae nimeamua nipande miche kama 500 yaani ekari 10 za maembe kisasa.

Shamba lipo Tabora kwa sasa naendelea kuchimba mashimo. Nitapanda bila mbolea ya samadi ila taweka NPK baada ya miezi 3 ikiwa imeshika.

Mpango wangu miche 450 ipone ili nipate wastani wa embe 500 kila mti mwaka wa 6 na hii itanipa embe 225,000 na kama tauza kwa Tzs 400 nipate 90m.Hapo nitaamua kustaafu kazi nikiwa na miaka 55.
Mkuu Bara Bara ya 5, unaendeleaje...umefanikiwa kuanza?

Nakushauri pia ujiunge na chama cha wakulima wa embe AMAGRO-Association of Mango Growers.

Kule utapata network ya kujuana na wakulima wenzio kama mimi na pia kupata utaalamu wa kilimo cha maembe kutoka kwa wakulima wazoefu.

Karibu sana kundini-mtafute katibu wa chama Mzee Mkopi @ 0715-312 036(nami nilipata habari zake humu JF zamani kidogo).

Kila la kheri-ni safari yenye matumaini ingawa kuna changamoto nyingi ndani yake!
 
Mkuu Bara Bara ya 5, unaendeleaje...umefanikiwa kuanza?

Nakushauri pia ujiunge na chama cha wakulima wa embe AMAGRO-Association of Mango Growers.

Kule utapata network ya kujuana na wakulima wenzio kama mimi na pia kupata utaalamu wa kilimo cha maembe kutoka kwa wakulima wazoefu.

Karibu sana kundini-mtafute katibu wa chama Mzee Mkopi @ 0715-312 036(nami nilipata habari zake humu JF zamani kidogo).

Kila la kheri-ni safari yenye matumaini ingawa kuna changamoto nyingi ndani yake!
Asante sana Mkuu...Nimeshapanda miche 450 kwa spacing ya 10x10m. Mzee Mkopi nimeongea nae na kanipa madini mazuri sana na AMAGRO nitajiunga very soon. Niko mbioni kuongeza miche mingine 300 ya Keit ili msimu huu niwe nayo 750.Nashukuru niliyopanda Nov.24 imeshakamata na nataraji nitoe nylon na kuondoa matawi chini yake
 
Unajua nashangaa watu wanacha kupanda mikaribea wakati Haina gharama yoyote ya uendeshaji
 
Kilimo bana huwa nakiheshimu na huwa nakiogopa sana kuna kipindi ilikuja trend ya kilimo cha vitunguu bas bana

Tuna shamba la mzee hekar 12 mm nikachukua etari 4 nikalima vitunguu kwa mahesabu yangu skutaka magunia mengi nilisema tu nikipata gunia 30/40 za vitunguu zinatosha na kia gunia nikiuza shiling laki 1 bas nimetobao
Nikachukua vijana nikawaweka camp kila wiki naende watembelea napeleka chakula na pembejeo mwisho wa sku kilichokuja nitokea mh mmmmmh
Kwa ushauri wangu ni bora ufugaji kulko kilimo
Shida ya kilimo ni bei hushuka na kupanda mda wwte na mara nying bei ushuka
Ufugaji sku zote bei hupanda ni
Mara chache sana kukuta bei ya mbuzi ng’ombe au kondoo imeshuka
Juzi tu nimeng'oa Miche ya nyanya nusu heka😄 nimenunua 🐓 hata week hajafikisha ameanza kutaga
 
Nimetoka shamba wiki hii,..nashukuru miche yangu 500 inaendelea vizuri ingawa kama 50 hivi imekufa. Nimeiwekea mbolea ya samadi na kuipalilia.
Wasi wasi wangu ni kama itavuka kiangazi hiki maana nimepanda kwenye ardhi ya kidongo ingawa imeshika na
inatoa majani mapya. Kama tafanikiwa kuivusha na kiangazi hiki,basi mwezi wa 11 mwaka 2025 taongeza mingine 500 ili niwe na 1000.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Nimetoka shamba wiki hii,..nashukuru miche yangu 500 inaendelea vizuri ingawa kama 50 hivi imekufa. Nimeiwekea mbolea ya samadi na kuipalilia.
Wasi wasi wangu ni kama itavuka kiangazi hiki maana nimepanda kwenye ardhi ya kidongo ingawa imeshika na
inatoa majani mapya. Kama tafanikiwa kuivusha na kiangazi hiki,basi mwezi wa 11 mwaka 2025 taongeza mingine 500 ili niwe na 1000.
Mkuu ingia gharama ya kumwagilia, mwaka huu mvua chache hata njombe ya mvua. Tafuta makopo ya maji kila mche makopo 4. Jaza maji toboa tundu yadondoke walau wiki moja. Tumia boda kubeba maji.
Huo mradi ushaenda kilichobaki ni kuboresha.
Tafuta mbolea ya HAKIKA ita bust haraka inauzwa 45elf kwa mfuko . Ina composite 25% hivyo ni kama samadi ilioboreshwa.
Uja piga picha miche? Tunafuatlia kwa karibu, waliokukatisha tamaa wataaibika soon.
Watoto wako hawata andamana kudai serikeli iwa ajili, umeisha waandalia ajira ya kudumu.Hayo mambo watanzania tunatakiwa kuyafanya,big up.
 
Nimetoka shamba wiki hii,..nashukuru miche yangu 500 inaendelea vizuri ingawa kama 50 hivi imekufa. Nimeiwekea mbolea ya samadi na kuipalilia.
Wasi wasi wangu ni kama itavuka kiangazi hiki maana nimepanda kwenye ardhi ya kidongo ingawa imeshika na
inatoa majani mapya. Kama tafanikiwa kuivusha na kiangazi hiki,basi mwezi wa 11 mwaka 2025 taongeza mingine 500 ili niwe na 1000.
Hii mvua na mimi kuna miti imeteketea.
Mkuu ingia gharama ya kumwagilia, mwaka huu mvua chache hata njombe ya mvua. Tafuta makopo ya maji kila mche makopo 4. Jaza maji toboa tundu yadondoke walau wiki moja. Tumia boda kubeba maji.
Huo mradi ushaenda kilichobaki ni kuboresha.
Tafuta mbolea ya HAKIKA ita bust haraka inauzwa 45elf kwa mfuko . Ina composite 25% hivyo ni kama samadi ilioboreshwa.
Uja piga picha miche? Tunafuatlia kwa karibu, waliokukatisha tamaa wataaibika soon.
Watoto wako hawata andamana kudai serikeli iwa ajili, umeisha waandalia ajira ya kudumu.Hayo mambo watanzania tunatakiwa kuyafanya,big up.
Hili wazo la makopo nalibeba. Maana nimetoka site leo tumeliongelea na hapa jukwaani napo nimelikuta
 
Mkuu ingia gharama ya kumwagilia, mwaka huu mvua chache hata njombe ya mvua. Tafuta makopo ya maji kila mche makopo 4. Jaza maji toboa tundu yadondoke walau wiki moja. Tumia boda kubeba maji.
Huo mradi ushaenda kilichobaki ni kuboresha.
Tafuta mbolea ya HAKIKA ita bust haraka inauzwa 45elf kwa mfuko . Ina composite 25% hivyo ni kama samadi ilioboreshwa.
Uja piga picha miche? Tunafuatlia kwa karibu, waliokukatisha tamaa wataaibika soon.
Watoto wako hawata andamana kudai serikeli iwa ajili, umeisha waandalia ajira ya kudumu.Hayo mambo watanzania tunatakiwa kuyafanya,big up.
Asante sana Mkuu...hayo makopo yana ujazo upi??lita 1 au 0.5.??Vp na hiyo mbolea kwa Dar nitaipata wapi?
 
Nafikiri zoezi hili tulianza mwezi wa 8 maana kwa mujibu wa TMA mvua zitakata Mei.
 
Back
Top Bottom