Sikulima mwenyewe tupo kikundiDuhh Tani 5 halafu unasema kuwa hapo ndio ulilima kwa changamoto! !!
Mkuu si mihela hiyo? ...
Uko mkoa gani mkuu ? Jaribu kwenda katika masoko makuu ya mkoa ambao upo kisha watafute madalali Bila Shaka wataweza kutatua Tija yako
Sikulima mwenyewe tupo kikundi
nafikiri kuna wakati unakurupuka kukomenti bila kusoma uzi. hivi juaoona kasema amelima Gairo ?Duhh Tani 5 halafu unasema kuwa hapo ndio ulilima kwa changamoto! !!
Mkuu si mihela hiyo? ...
Uko mkoa gani mkuu ? Jaribu kwenda katika masoko makuu ya mkoa ambao upo kisha watafute madalali Bila Shaka wataweza kutatua Tija yako
Jifunze kuwa na nidhamu. .Mwenye uzi ametulia tuli ''wewe una jibu kama vile una washwa washwa. ..mwenye uzi amekuzidi hekima --Ameona kuwa hayo ni mapungufu ya kawaida kwa binaadamu. .we are not perfect. .don't you know?nafikiri kuna wakati unakurupuka kukomenti bila kusoma uzi. hivi juaoona kasema amelima Gairo ?
Hayo maharage ya njano....ni yale manene-mafupi au membamba-marefu?Habari za saa wakuu wangu?
Bila kupoteza muda niende katika jambo husika kwenu wahenga na wasamaria mnisaidie maarifa...
Wakuu kama mhitimu bila kupoteza muda ktk kutafuta na kusubiri kupata ajira mwaka huu nilifanya maamuzi ya kuwekeza fedha yangu ya akiba ktk kilimo cha maharage huko Gairo Morogoro, namshukuru Mungu pamoja na changamoto za ukosefu wa mvua nimefanikiwa kupata mavuno yakuridhisha kiasi chake, nililima maharage ya njano na soya... Ktk hali ya ugeni ktk sekta hii na changamoto katika kumuuguza mama ambae kwa mapenzi ya Mungu aliona mama apumzike sikufanikiwa kufanya tafiti za kutosha juu ya soko la maharage
Sasa nimevuna na ninao mzigo kubwa wastani wa tani 5 na bado sijamaliza kuvuna ni maharage ya soya na njano, kwa yeyote mwenye kujua soko lake kwa wafanyabiashara ama taasisi yoyote tafadhali niunganishe nao, natanguliza shukrani za dhati
1 kg ni 1400 bei yaweza kupungua kulingana na ukubwa wa mzigo pia tutaweza fanya kazi endelevu hata baada ya msimu kupita, gharama za usafiri kwa asilimia kubwa zitakuwa kwangu, karibu pm mkuu
Yote bei ni moja 1400kgBei ya Kaharagwe Yote ni sawa?
Au njano ina bei yake na soya ya kawaida ina bei yake?
Kweli una kiherehere ww cha kuvamiaaa post boraa umeambiwaaa ukweli mJifunze kuwa na nidhamu. .Mwenye uzi ametulia tuli ''wewe una jibu kama vile una washwa washwa. ..mwenye uzi amekuzidi hekima --Ameona kuwa hayo ni mapungufu ya kawaida kwa binaadamu. .we are not perfect. .don't you know?
Hahaha yaani umenifuata mpaka huku 'Acha ujinga basi mambembe 'utakuwa lini?Kweli una kiherehere ww cha kuvamiaaa post boraa umeambiwaaa ukweli m
Google is your BEST FRIEND.Ndugu zangu wanajamvi nimepata eneo ekari 2 nataka kulima Maharage shida ni makisio ya. mbegu kiasi gani ninunue? Je ni hatua zipi (spacing) zinashauriwa kitaalamu?
mbozi ndio wakulima wakubwa wa maharage hayo,tafuta eneo huko au hata mbaliziHabari ya leo ndugu wakulima,naomba kujuzwa kuhusu kilimo hichi hasa kwa mikoa ya iringa na mbeya
-upatikanaji wa mashamba na gharama za kukodi kwa ekari
-gharama zake mpaka kuvuna
-msimu wa kilimo icho kwa mkoa husika
Asanteni.
Mkuu, binafsi nataka kutinga kwenye hiki kilimo, japo sijapata taarifa zaidi kuhusu njombe. Nataka kulima Arusha, labda kama kuna wadau wanajua zaidi kuhusu hii mishe kwa pande za njombe tunaomba msaada watujuze tujifunze zaidiHabari zenu wakuu nilikua naomba kuuliza kwa wadau mliopo ndani ya mkoa wa njombe kuhusu kilimo cha maharage ya njano....
Je...
Maharage hayo yanastawi vizuri huko njombe.!?
Vipi soko lake!?
Gharama za kuuza maharage ya njano kwa gunia lenye debe sita...?
Gharama za uendeshaji!?
Gharama za kukodi shamba!? Na ni eneo gani linafaa kwa kilimo hicho!?
Natanguliza shukran za dhati.