Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

Mwaka huu nimepata gunia 6 ya zao hili na wakati navuna toka shambani nimepewa kila gunia 140,000/

Yaelekea ina bei sana kule Nchi Kenya na hata kwingineko!
Ngoja wadau waje!

Mkuu Karibuu tuungane mkono dawa za kilimo
0742645349
Nipo Dsm
 
Jaman kwa wake mlioko mbeya km kuna aliepanda maharage November vp maendeleo au Bado mvua ni changamoto
 
Hivi kisima bado upo! Hapa utaua mtu aiseee hufai kabisa
 
Km utunzaji nimzuri wa mashamba nahutegemei mvua instead unamwagilia mwenyewe hapo utaweza vuna sana. ..shida tuliowengi tunategemea mvua nahua hazinamuda maalum
 
Hii ndo habari njema wakuu!

Mimi nalima harage ya njano. Nalima kwa surface irrigation (furrow method)

Njia hii utaimudu kwa ufasaha kulingana na muonekano wa shamba lako. (natoa huduma hii kwa mhitaji).
Huwa nalima kwa mahesabu make mi ni mwanahesabu tangu kuzaliwa kwangu;

Hiki ndicho nifanyacho:
1) Ekari1 huwa naigawa kwa mistari5 iliyo sawa;
Kawaida 1acre=>4000sqm. Kwahiyo basi
4000/(8m*2m)*10kg*2000Tsh@kg= Tsh5,000,000

Katika hesabu hii:
4000sqm ni eneo lote la ekari kwa square mita.
8m ni urefu wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita.
2m ni upana wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita
10kg ni uhakika wa mavuno ya kila kijaruba.
2000Tsh ni kiasi cha bei ya maharage ya njano kwa kila kilo.
Tsh 5,000,000/= ni mapato ya jumla katika kila ekari.

Ufuatao ni mchanganuo wa gharama ya hiki kilimo kwa ekari moja kulingana na eneo la kilimo kinapofanyika na msimu husika hasa kipindi cha jua kali.

1) Natumia 6ltr@acre
2) kawaida namwagilia mara 10 mpaka kuvuna maharage kulingana na hali ya hewa.(6ltr*10=2500*6*10=>150,000/-)
3) natumia mbolea ya CAN Kg50@are=>Tsh90000
4) Tsh 200,000 kulima na kuchora muelekeo wa utiririkaji wa maji.
5) Booster 2ltr@6000=>12,000
6) Fungicide=>40,000
7) Insecticide=>48,000
8) Mbolea supergro tsh 250,000.
9) Palizi nafanya mwenyewe
10) Navuna na kupokea mkwanja nikiwa shamba. Siku hiyo lazima nichinje jogoo kwajili ya mteja!

Karibuni sana shamba. Ukiamua kuchagua upande huu utakuwa njia sahihi.

Usimtegemee mwajiri wako maana anakutumia kwa ujira finyu na ukizeeka hatakuhitaji kamwe.

Janjaruka mwanangu usiwe poyoyo!!
Kaka umenikuna Sana.Mungu akutie nguvu.Nataka niingie kwenye kilimo maana muajiri anatumia muda wangu Sana alafu mshahara nyanya.
 
Habari ndugu, tafadhali naomba kuuliza kama kuna mtu amewahi kubadili mbolea ya urea kuwa ya maji, na akaitumia kama foliar katika maharage. Naomba anielekeze jinsi ya kutengeneza na mwitikio wa maharage ulikuwaje baada ya matumizi ya hiyo foliar.
 
Habari ndugu, tafadhali naomba kuuliza kama kuna mtu amewahi kubadili mbolea ya urea kuwa ya maji, na akaitumia kama foliar katika maharage. Naomba anielekeze jinsi ya kutengeneza na mwitikio wa maharage ulikuwaje baada ya matumizi ya hiyo foliar.
kwa chemical reaction, urea + water = carbon dioxide and amonia (mkojo)

NH2CONH2+H2O→2NH3+CO2 , mkojo (amonia) hua inaunguza vitu, wazee wa kemia watatueleza vzr ila nafikiri haitakua mbolea nzuri sana​

 
kwa chemical reaction, urea + water = carbon dioxide and amonia (mkojo)

NH2CONH2+H2O→2NH3+CO2 , mkojo (amonia) hua inaunguza vitu, wazee wa kemia watatueleza vzr ila nafikiri haitakua mbolea nzuri sana​

shukrani mkuu
 
Kisima umetoa idea kubwa sana nimeielewa ngependa kama ntapata mawasiliano yako
 
Kaka mkuu Habar ninazo dawa za kilimo mmi ntaa uza kwa bei ya jumla tuu
Snow thunder snow tiger round up za kutosha
nk
Naomba tuwa siliane 0742645349
natafuta mashine ndogo za kupalilia mahindi nitazioataje
 
Natafuta maharage kama tani 20. Mwenye taarifa za upatikanaji anicheki 0755 225511
 
Kilimo kinalipa sana,ukikiotea,kinakutoa.
nijipange.
 
Hii ndo habari njema wakuu!

Mimi nalima harage ya njano. Nalima kwa surface irrigation (furrow method)

Njia hii utaimudu kwa ufasaha kulingana na muonekano wa shamba lako. (natoa huduma hii kwa mhitaji).
Huwa nalima kwa mahesabu make mi ni mwanahesabu tangu kuzaliwa kwangu;

Hiki ndicho nifanyacho:
1) Ekari1 huwa naigawa kwa mistari5 iliyo sawa;
Kawaida 1acre=>4000sqm. Kwahiyo basi
4000/(8m*2m)*10kg*2000Tsh@kg= Tsh5,000,000

Katika hesabu hii:
4000sqm ni eneo lote la ekari kwa square mita.
8m ni urefu wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita.
2m ni upana wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita
10kg ni uhakika wa mavuno ya kila kijaruba.
2000Tsh ni kiasi cha bei ya maharage ya njano kwa kila kilo.
Tsh 5,000,000/= ni mapato ya jumla katika kila ekari.

Ufuatao ni mchanganuo wa gharama ya hiki kilimo kwa ekari moja kulingana na eneo la kilimo kinapofanyika na msimu husika hasa kipindi cha jua kali.

1) Natumia 6ltr@acre
2) kawaida namwagilia mara 10 mpaka kuvuna maharage kulingana na hali ya hewa.(6ltr*10=2500*6*10=>150,000/-)
3) natumia mbolea ya CAN Kg50@are=>Tsh90000
4) Tsh 200,000 kulima na kuchora muelekeo wa utiririkaji wa maji.
5) Booster 2ltr@6000=>12,000
6) Fungicide=>40,000
7) Insecticide=>48,000
8) Mbolea supergro tsh 250,000.
9) Palizi nafanya mwenyewe
10) Navuna na kupokea mkwanja nikiwa shamba. Siku hiyo lazima nichinje jogoo kwajili ya mteja!

Karibuni sana shamba. Ukiamua kuchagua upande huu utakuwa njia sahihi.

Usimtegemee mwajiri wako maana anakutumia kwa ujira finyu na ukizeeka hatakuhitaji kamwe.

Janjaruka mwanangu usiwe poyoyo!!
Mkuu naomba contact zako
 
Hii ndo habari njema wakuu!

Mimi nalima harage ya njano. Nalima kwa surface irrigation (furrow method)

Njia hii utaimudu kwa ufasaha kulingana na muonekano wa shamba lako. (natoa huduma hii kwa mhitaji).
Huwa nalima kwa mahesabu make mi ni mwanahesabu tangu kuzaliwa kwangu;

Hiki ndicho nifanyacho:
1) Ekari1 huwa naigawa kwa mistari5 iliyo sawa;
Kawaida 1acre=>4000sqm. Kwahiyo basi
4000/(8m*2m)*10kg*2000Tsh@kg= Tsh5,000,000

Katika hesabu hii:
4000sqm ni eneo lote la ekari kwa square mita.
8m ni urefu wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita.
2m ni upana wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita
10kg ni uhakika wa mavuno ya kila kijaruba.
2000Tsh ni kiasi cha bei ya maharage ya njano kwa kila kilo.
Tsh 5,000,000/= ni mapato ya jumla katika kila ekari.

Ufuatao ni mchanganuo wa gharama ya hiki kilimo kwa ekari moja kulingana na eneo la kilimo kinapofanyika na msimu husika hasa kipindi cha jua kali.

1) Natumia 6ltr@acre
2) kawaida namwagilia mara 10 mpaka kuvuna maharage kulingana na hali ya hewa.(6ltr*10=2500*6*10=>150,000/-)
3) natumia mbolea ya CAN Kg50@are=>Tsh90000
4) Tsh 200,000 kulima na kuchora muelekeo wa utiririkaji wa maji.
5) Booster 2ltr@6000=>12,000
6) Fungicide=>40,000
7) Insecticide=>48,000
8) Mbolea supergro tsh 250,000.
9) Palizi nafanya mwenyewe
10) Navuna na kupokea mkwanja nikiwa shamba. Siku hiyo lazima nichinje jogoo kwajili ya mteja!

Karibuni sana shamba. Ukiamua kuchagua upande huu utakuwa njia sahihi.

Usimtegemee mwajiri wako maana anakutumia kwa ujira finyu na ukizeeka hatakuhitaji kamwe.

Janjaruka mwanangu usiwe poyoyo!!
Angalia PM yako mkuu Kisima.
 
Back
Top Bottom