Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

Karibu sana.
Nina uzoefu kidogo Wa hii kitu. Sio kusomea nimefanya mwenyewe. Leo tuongelee mbegu.

Nakushauri nunua mbegu dukani zina Faida zaidi ya kuchukua za waitikaji au kula Papai na kuchukua mbegu

Ukinunua ziweke ktk maji kwa siku tano lakini badili Maji kila siku. Baada ya siku hizo zifunge ktk kitambaa kwa siku tatu.

Ukimaliza weka kwenye viriba ndio utapata matokeo mazuri. Nilinunua red royale f1, muuzaji hakunipa maelekezo hayo haikuota hats moja!

Uzoefu wangu unaonyesha kuwa Miche inayouzwa kwenye vitalu vingi haina u ora lakini kubwa utapata madume 20- 30 katika miti 100. Hii ni hasara kubwa.
Nunua mbegu kwenye maduka ya pembejeo zinauzwa kuanzia she 5000 had 16000.
Karibu na jipange kufanya kazi sio kutumia simu kufanya Kilimo.
asante sana johnmashilatu, bado naendelea kupata ushauri maana sina uzoefu na ili ila nashikuru naanza kupata picha
 
JAAMAA ZANGU HII KWELI NI FURSA,


HEBU PIGA MAHESABU.

SHAMBA KWA EKARI MOJA INAAINGIA MICHE ELFU MOJA NA MIA MBILI(1200).

HAPA NAZUNGUMZIA PAPAI.

HEBU AMUA KUUZA MAPAPAI YAKO KWA JUMLA SHAMBANI MWAKO KWA BEI YA TSH.500.
UKICHUKUA KILA MTI UMESHUMA PAPAI MOJA.

KWAHIYO UTAKUWA NA PAPAI 1200 ZIDISHA MARA MIA TANO AMBAYO NI BEI YA JUMLA SHAMBANI.

UKIPATA JIBU JIULIZE JE HII NI FURUSA AU TUNAPIGA BLA BLA.
NINAZO MBEGU CHOTARA ZA PAPAI,KWA MIEZI MITATU TU INATOA MAUA,NA KUANZIA MIEZI SABA UNAANZA MAVUNO.

KWA MAHITAJI YAKO YA MBEGU ZA PAPAI WASILIANA NAMI KWA NAMBA ZIFUATAZO.

0719529300.

0784999995.

0763208043.

0654768400.


IMG]https://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/b410130194d7d206099939dbeb66ec32.jpg[/IMG]
 
JAAMAA ZANGU HII KWELI NI FURSA,


HEBU PIGA MAHESABU.

SHAMBA KWA EKARI MOJA INAAINGIA MICHE ELFU MOJA NA MIA MBILI(1200).

HAPA NAZUNGUMZIA PAPAI.

HEBU AMUA KUUZA MAPAPAI YAKO KWA JUMLA SHAMBANI MWAKO KWA BEI YA TSH.500.
UKICHUKUA KILA MTI UMESHUMA PAPAI MOJA.

KWAHIYO UTAKUWA NA PAPAI 1200 ZIDISHA MARA MIA TANO AMBAYO NI BEI YA JUMLA SHAMBANI.

UKIPATA JIBU JIULIZE JE HII NI FURUSA AU TUNAPIGA BLA BLA.
NINAZO MBEGU CHOTARA ZA PAPAI,KWA MIEZI MITATU TU INATOA MAUA,NA KUANZIA MIEZI SABA UNAANZA MAVUNO.

KWA MAHITAJI YAKO YA MBEGU ZA PAPAI WASILIANA NAMI KWA NAMBA ZIFUATAZO.

0719529300.

0784999995.

0763208043.

0654768400.





561e3fef8b492442403dce25eddbf9f2.jpg
 
Mkuu Bongo kila kitu ni fursa tatizo soko. Onesha kwanza soko lilipo vinginevyo utawalimia ndege chole na kukaribisha uozo wa matunda shambani!
 
JAAMAA ZANGU HII KWELI NI FURSA,


HEBU PIGA MAHESABU.

SHAMBA KWA EKARI MOJA INAAINGIA MICHE ELFU MOJA NA MIA MBILI(1200).

HAPA NAZUNGUMZIA PAPAI.

HEBU AMUA KUUZA MAPAPAI YAKO KWA JUMLA SHAMBANI MWAKO KWA BEI YA TSH.500.
UKICHUKUA KILA MTI UMESHUMA PAPAI MOJA.

KWAHIYO UTAKUWA NA PAPAI 1200 ZIDISHA MARA MIA TANO AMBAYO NI BEI YA JUMLA SHAMBANI.

UKIPATA JIBU JIULIZE JE HII NI FURUSA AU TUNAPIGA BLA BLA.
NINAZO MBEGU CHOTARA ZA PAPAI,KWA MIEZI MITATU TU INATOA MAUA,NA KUANZIA MIEZI SABA UNAANZA MAVUNO.

KWA MAHITAJI YAKO YA MBEGU ZA PAPAI WASILIANA NAMI KWA NAMBA ZIFUATAZO.

0719529300.

0784999995.

0763208043.

0654768400.
b323b4b49eef0a702bcacbc167bd475b.jpg



3bedc79177ea73be4b09f407977aeb61.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

We jamaa una majibu ya kuudhi sana.. Kuna uzi fulani umeniquote nimeshindwa mpaka kukujibu
..,hahahahaha...we sikuwezi,mwenzangu una nyota ya Kiba;MFALME!
...kile kitu cha Yesu nimekuja kukistukia kishatembea replies kama 500;ngoja niende nacho asteaste!
.pamoja!
 
Sio chini ya matunda 250 ikiwa yatatunzwa vizuri.
Maji ni ya lazima na dawa kwa mbaali.
Huu ni Uongo uliopitiliza, hakuna Mche unaozaa mapapai 250 kwa mwaka, usidanganye watu na hesabu zako za mezani ili wanunue mbegu kwako.
We kama unauza begu basi sema tu unauza mbegu, lakini sio kudanganya.
Pia waambie kua papai ni one of the most perishable fruits duniani
 
Ingekuwa kipindi cha JK ningeunga mkono hoja, ila kipindi hiki huyu jamaa kashaharibu kabisa uchumi wa ndani hamna masoko ya matunda kabisa na hana juhudi zozote za kutafuta soko nje.
 
Huu ni Uongo uliopitiliza, hakuna Mche unaozaa mapapai 250 kwa mwaka, usidanganye watu na hesabu zako za ezani ili wanunue mbegu kwako.
We kama unauza begu basi sema tu unauza mbegu, lakini sio kudanganya.
Pia waambie kua papai ni one of the most perishable fruits duniani
Mkuu mi sio muuza mbegu ndg ila kwa hiyo estimation ipo mule mule. Ninayo mipapai hapa kwangu kama mashina 10 hivi yanazaa hakuna mfano ndo maana nikatoa tathmini hiyo kulingana na lumbesa ya matunda inayosheheni kwenye kila shina.
Sorry if i offended you.
 
Samahani mkuu, kilimo cha papai kinafaa mikoa ipi hasa
 
Back
Top Bottom