kush moker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2016
- 579
- 367
Upo maeneo gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We umelima za kwako nyingi wapi na umekosa soko? Na kwa kutumia simu yako umewezaje ku view shambani langu lote ?Kwanza ukiangalia shamba lake inaonekana ana miche ya kubip tu.
Hivyo vimapapai ulivyo vuna vinaonesha miti uliyo nayo hata 10 haizidi.We umelima za kwako nyingi wapi na umekosa soko? Na kwa kutumia simu yako umewezaje ku view shambani langu lote ?
Sijakukatalia hata mstari mmoja wa mashairi yako ,nimekuomba weka picha ya papai zako 1000 na pia nimekusifu kwa kuweza kutumia simu yako ku view shamba lako. Sibishani na wewe maana sijahitaji hata Mia yako.Hivyo vimapapai ulivyo vuna vinaonesha miti uliyo nayo hata 10 haizidi.
shamba lenyewe kwanza chafu
Hapa tumemaliza, kuna wadau wamekuuliza soko liko wapi umeeishia mitini badala ya kujibu.Sijakukatalia hata mstari mmoja wa mashairi yako ,nimekuomba weka picha ya papai zako 1000 na pia nimekusifu kwa kuweza kutumia simu yako ku view shamba lako. Sibishani na wewe maana sijahitaji hata Mia yako
Jina lako na comment yako havilingani hata kidogoHivyo vimapapai ulivyo vuna vinaonesha miti uliyo nayo hata 10 haizidi.
shamba lenyewe kwanza chafu
Nimeanzisha Uzi mwenyewe niingie mitini? ,naanza na wewe mwenye papai nyingi nipe contact zako nikuunganishe na wanunuziHapa tumemaliza, kuna wadau wamekuuliza soko liko wapi umeeishia mitini badala ya kujibu
Papai za kisasa zinatakiwa ziivie kwenye mti Hadi 70% Ni nzuri kwa biashara tofauti na za kienyeji ambazo zikishaiva haziwezi kutunzwa kwa siku tatu unakuta zimesharojeka ...wanazijulia Wala hazina taabu mkuu Ni tamu Sana na zinatunzika vizuri sanaHayo mapapai ya dawa ni magumu kama biskuti tofauti na yale ya asili. Huwa natumia papai kulainisha choo ila hayo ya dawa a.k.a ya kisasa ni ngumu na si matamu.
Najua hizo Ni kelele tu kwa kuwa unalelewa kwa mama hata kiwanja tu Cha usawa wa pool table huna na hutarajii ,acha tupambane mkuu siku ukikua utaachaHapa tumemaliza, kuna wadau wamekuuliza soko liko wapi umeeishia mitini badala ya kujibu
siwezi kubishana na wewe. ila tambua mimi sio saizi yako tukija kny suala la kilimo. silimi mapapi kijana.Najua hizo Ni kelele tu kwa kuwa unalelewa kwa mama hata kiwanja tu Cha usawa wa pool table huna na hutarajii ,acha tupambane mkuu siku ukikua utaacha
Upo mkoa up kamandaYaani ni vurugu huku navuna kule naotesha mingine inatoa maua ...papai Ni zao la biashara na Ni tunda kwa familia . kilimo chake no stressView attachment 1077174View attachment 1077175View attachment 1077176View attachment 1077177View attachment 1077178View attachment 1077179View attachment 1077180
Huna kiwanja hata Cha urithi maana hata uliotakiwa uwarithi Wana akili poyoyo Kama za kwako,zaidi ya simu uliyopewa zawadi huna unachomilikisiwezi kubishana na wewe. ila tambua mimi sio saizi yako tukija kny suala la kilimo. silimi mapapi kijana.