Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

We umelima za kwako nyingi wapi na umekosa soko? Na kwa kutumia simu yako umewezaje ku view shambani langu lote ?
Hivyo vimapapai ulivyo vuna vinaonesha miti uliyo nayo hata 10 haizidi.
shamba lenyewe kwanza chafu
 
Sijakukatalia hata mstari mmoja wa mashairi yako ,nimekuomba weka picha ya papai zako 1000 na pia nimekusifu kwa kuweza kutumia simu yako ku view shamba lako. Sibishani na wewe maana sijahitaji hata Mia yako
Hapa tumemaliza, kuna wadau wamekuuliza soko liko wapi umeeishia mitini badala ya kujibu.
 
Hapa tumemaliza, kuna wadau wamekuuliza soko liko wapi umeeishia mitini badala ya kujibu
Nimeanzisha Uzi mwenyewe niingie mitini? ,naanza na wewe mwenye papai nyingi nipe contact zako nikuunganishe na wanunuzi
 
Kutokana na mvua zinanyesha Sana sio sehemu zote za shamba nimepalilia na nimeacha nyasi baadhi ya sehem makusudi najua hizi mvua hazikatizi mwezi wa tano na baadae nitazitumia kuwekea chini ya mapapai kwa ajili ya kutunzia unyevu.dar mvua zinanyesha Sana hasa kuanzia mbezi kuelekea mail moja.

IMG_20190417_172302_8.jpeg
IMG_20190417_171528_3.jpeg
IMG_20190411_144032_2.jpeg
 
Hayo mapapai ya dawa ni magumu kama biskuti tofauti na yale ya asili. Huwa natumia papai kulainisha choo ila hayo ya dawa a.k.a ya kisasa ni ngumu na si matamu.
 
Hayo mapapai ya dawa ni magumu kama biskuti tofauti na yale ya asili. Huwa natumia papai kulainisha choo ila hayo ya dawa a.k.a ya kisasa ni ngumu na si matamu.
Papai za kisasa zinatakiwa ziivie kwenye mti Hadi 70% Ni nzuri kwa biashara tofauti na za kienyeji ambazo zikishaiva haziwezi kutunzwa kwa siku tatu unakuta zimesharojeka ...wanazijulia Wala hazina taabu mkuu Ni tamu Sana na zinatunzika vizuri sana
 
Najua hizo Ni kelele tu kwa kuwa unalelewa kwa mama hata kiwanja tu Cha usawa wa pool table huna na hutarajii ,acha tupambane mkuu siku ukikua utaacha
siwezi kubishana na wewe. ila tambua mimi sio saizi yako tukija kny suala la kilimo. silimi mapapi kijana.
 
kilimo cha tanzania stress tupu....usipoliwa kwenye mbegu...watakupiga kwenye madawa au mbolea...viunzi vyote ukiviluka salama...utalima kisha utapangiwa bei na watu wa mjini...
 
Back
Top Bottom