Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemtoa challenge hapa Kama una papai Ni pm number yako nikupe mteja ni mtu mmoja tu amenipm number yake.hayo maandishi wanaandika walioshidwa Kama wewe ambao hawana hata kiwanja,papai ni tofauti Sana na tikiti ,chamoto za papai Ni tofauti na tikiti,nyanya,vitunguu,mahindi nk.Motivational SPEAKERSView attachment 1077465
Pongezi kwako mkuu! Weka hizo connection za masoko hapa kila mmoja afaidikeAcha kulalamika kwenye keyboard mkuu ,mi nalima papai huu mwaka wa tatu sijawahi kudodewa na papai .Kama unazo nikupe connection
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Duh wabongo bhana[emoji848][emoji848][emoji848]Hivyo vimapapai ulivyo vuna vinaonesha miti uliyo nayo hata 10 haizidi.
shamba lenyewe kwanza chafu
hapo hapoTatizo soko,tuwaachie walime kina Jk
Na wa mjini unakuta kitu cha kuuza 3000 wao wananunua kwako 1000 had 1500. Wenyewe izo tabu zote hawajapitia ila wanataka faida zaid ya mkulima. Dawa ni kuadd value au kujiuzia mwenyewe.kilimo cha tanzania stress tupu....usipoliwa kwenye mbegu...watakupiga kwenye madawa au mbolea...viunzi vyote ukiviluka salama...utalima kisha utapangiwa bei na watu wa mjini...
Ukiipata nishtie mkuu nimepanda hapa home aisee hawa hawa wadudu sijui wametokea wapi ukungu kama woteeDawa ya ukingu jamani
Ukitaka ukabe faida yote Ni kiasi Cha wewe kwenda kutega na mzigo wako sokoni na ukauza hiyo 3000 ,kwa kuwa Nina shughuli nyingi nawauzia 1500 na wao wanuza 3000 sioni hasara yeyote kwangu ,hata simu unayotumia watu wamekula faida kabla haijakufikiaNa wa mjini unakuta kitu cha kuuza 3000 wao wananunua kwako 1000 had 1500. Wenyewe izo tabu zote hawajapitia ila wanataka faida zaid ya mkulima. Dawa ni kuadd value au kujiuzia mwenyewe.
Mkuu samahani kwa kuchelewa kujibu ila hao wadudu Wana dawa nyingi,mkojo wa sungura,mwarobaini ukitwanga kwenye kinu Kisha unaweka maji kidogo unanyunyuzia ,sabuni ya unga yeyoye unachanganya Kama ya kufulia Kisha unanyunyuzia,Kuna dawa inaitwa duduall kichupa kidogo wanauza sh 5000 unaweka 5ml kwenye Lita 20 za majiMkuu nimeotesha ya kwangu machache ya majaribio nyumbani nina mpango wakuotesha mengi Ila kuna huu ugonjwa ume yavamia sijuwi nitumie dawa gani !
View attachment 1077910
Shukran mkuu nita jaribu kuweka j2 maana nimesha nyunyuzia sum kama mbili lakin bado!Mkuu samahani kwa kuchelewa kujibu ila hao wadudu Wana dawa nyingi,mkojo wa sungura,mwarobaini ukitwanga kwenye kinu Kisha unaweka maji kidogo unanyunyuzia ,sabuni ya unga yeyoye unachanganya Kama ya kufulia Kisha unanyunyuzia,Kuna dawa inaitwa duduall kichupa kidogo wanauza sh 5000 unaweka 5ml kwenye Lita 20 za maji