Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,239
- 3,933
Mpuuze huyo hana analolijua, Mimi namuombea msamaha kwa niaba yake.
Sijakukatalia hata mstari mmoja wa mashairi yako ,nimekuomba weka picha ya papai zako 1000 na pia nimekusifu kwa kuweza kutumia simu yako ku view shamba lako....sibishani na wewe maana sijahitaji hata Mia yako