Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Mkuu ondoa shaka soko umepata yako sehemu gani? Ni pm number yako kuna mtu anayenunua siwezi weka namba yake hapa bila idhini yake.
 
naomba matikiti mawili ...niko bagamoyo
Karibu mkuu ila utaonja kipande na mengine utanunua.

Mkuu ondoa shaka soko umepata yako sehemu gani? Ni pm number yako kuna mtu anayenunua siwezi weka namba yake hapa bila idhini yake.
Yapo kimara Suka mkuu namaanisha nimeshayavuna na kuyasogeza mjini. Nitashukuru sana kama nitampata mnunuzi.
 
Ndugu yangu Jojejo kama yamekomaa ni kuyatoa shambani mapema au kuongeza ratiba ya kumwagia maji kuufanya udongo uwe na ubaridi pia epuka kufanya kazi shambani wakati wa jua kali itakayokufanya uyaguse.

Ukiyagusa wakati wa jua kali yataendelea kupasuka
 
Wakati wa masika tengeneza miundo mbinu ya shamba iwe inatoa maji shamba yasituame kwenye swala la madawa karibu uulize ntashirikishana na wana jamvi nikijuacho
 
Ni pm number yako mkuu Livanga au weka namba yako kwenye uzi Biashara ifanyike mapema
 
Uko pande za wapi.Tafuta kampuni ya AKO wanatoa huduma ya catering karibu migodi yote ya barrick na GGM Geita na Shanta Mining utapata tender au mtu yeyote anae supply kwao.wako pia breweries zote ,coca cola ,tanga and mbeya cement utapata bei nzuri.
 
Hello wana JF
Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wale wote waliokuwa wanawapa watu moyo wa kufanya kilimo kwani hatimaye nami nimelima Tikiti na sasa nimevuna. Ingawa mavuno hayakwenda vizuri kutokana na mvua.
Sasa natafuta soko la matikiti yapatayo 900 yenye uzito wa kuanzia kilo 3 mpaka 7. Tafadhali naomba msaada wa kujua wapi naweza kupata soko kabla hayajaniharibika.

View attachment 202277

pole sana! ungekuwa Mwanza huwo mzigo hata sokoni usingefika ungenunuliwa ukuhuko shambani.
 
pole sana! ungekuwa Mwanza huwo mzigo hata sokoni usingefika ungenunuliwa ukuhuko shambani.

Nikipata uhakika wa mnunuzi naweza safirisha mzigo coz mzigo ni trailer phase two itakuwa na zaidi ya matunda 2000
 
Mjasiriamali mwenzangu Livanga.
Umekosea kidogo !
Ulitakiwa useme unayo matikiti au shamba la matikiti.

Halafu uelezee sehemu lilipo, bei ya jumla, ukubwa wa matikiti, kiasi kilichopo na mawasiliano yako.
Baada ya hapo ungeona utitiri wa wateja.

Vinginevyo hapo umekaribisha madalali watakaokukatisha tamaa ili wanufaike wao
 
Last edited by a moderator:
mkuu sema uko wapi halafu tukuunganishe
Mbona nilishasema Niko Dar mkuu.

Mjasiriamali mwenzangu Livanga.
Umekosea kidogo !
Ulitakiwa useme unayo matikiti au shamba la matikiti.
Halafu uelezee sehemu lilipo, bei ya jumla, ukubwa wa matikiti, kiasi kilichopo na mawasiliano yako.
Baada ya hapo ungeona utitiri wa wateja.
Vinginevyo hapo umekaribisha madalali watakaokukatisha tamaa ili wanufaike wao

Mkuu mbona nimeeleza ukubwa kwa kg ni kuanzia kg3 mpaka kg7 matikiti yapo suka kimara kwa sasa yapo 900 hapa.
Katikati ya mwezi wa kumi na mbili yatakuwepo mengine kwa wingi.

So kama mtu ataka kuweka order anaweza weka kabisa au kama u ataka kuona shamba wasiliana nami kwa namba niyokwishatoa.

Mode of business ni tunauza either kwa kg or per each. Biashara ya kukadiria shamba haipo. So Hata kama dalali unataka kuja uwe unajua hilo kabisa.
 
Last edited by a moderator:
umeyalimia wapi? Sogea tandale huku bei dogo ni kuanzia 1000 mpaka 4000 kwa ukubwa nami nilikua nataka unipe ujuzi na changamoto ulizo kumbana nazo
 
Haya matunda yanaota katika hali ya hewa ya mtondo gani? Je yanakubali sehemu za joto au sehemu za baridi?
 
Back
Top Bottom