Naweza kukukodisha eka moja kwa Tsh 60,000/ unanilipa kabla, shamba lipo Pwani ya Mkuranga,maji yapo mengi sana,banda la kuishi kijana lipo. Unaweza pata eka hata 15 zilizo kando ya maji ya kudumu.
Mkuu malila naomba uni PM namba yako na mimi nahitaji kukodi eneo kwa ajili ya kulima matikiti.