Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Ninayo business plan ya kilimo cha water melon!.. Ila iko planed zaidi kwa infrastructure za Dodoma cjui kama itakufaa!..
Hapa JF kuna maelezo ya kutosha kuhusu hili zaonatangulisha shkurani zangu kwnu.
cku hadi cku zimekua zikipita nikiwaza nn chakufanya ili kufikia malengo.
Mimeamua kufanya mamuzi ya kilimo cha .matikiti maji.lkn kabla ya kufikia kulima nahitaji kujua vitu vingi.me niko arusha cna shamba km nitapata shaba la kukodi co mbaya.
1)mkoa gn yanakubali vizuri?
2)mbegu bora
3)na mtaji wake kwa shamba la ekari 3 ? pamoja na mabawa ya kuliwa wadudu?
msada wenu jf
Nick son mining mail. Com nauomba mchanganuo huo kaka samahanNina mchanganuo wa kilimo cha tikiti kwa anayehitaji pm me ur email.bureeee
Mkuu ingawa sijawahi kulima tikiti lakini najua tikiti lina shina moja tu hata kama limesambaa kiasi gani, kwa hiyo umagiliaji wa namna hii sijui kama utakuwa na tija. nivizuri kumwagilia shina tu.Nikimwagilia matikiti kutumia sprinkle inawezekana kupata matunda makubwa na bora?
Mkuu nimepata shamba ifakara huko heka 10 ziko karibu na chanzo cha maji, je ntaitaji mbegu mchanganyiko au moja tu na nikiasi gani itanitosha. na soko zuri nasikia ni mmaeneo ya shinyanga na mwanza je hizi taarifa za masoko ni kweliAksante kwa swal lako, mbegu hizo zitaota vizuri kwani tunatoa mbegu kutoka huko na tunakuja kuzizalsha Tz halafu zinaenda kuuzwa huko tena, lakini hakikisha unaziotesha kitalun kwanza kabla ya kuzpeleka shamba kwan zaweza zisiote vzr.
Tumia samadi kuziotesha na zipe joto la kutosha kwa kufunikia kitalu, maji yasiwe meng maana zaweza kuoza, na baada ya siku saba mpaka 14 miche itakuwa tayar kwenda shamban.
Aksante.
Uku Mwanhuzi(Meatu) bei ni Tsh 2000 hadi 3000Bei ya sasa kwa matikiti ni 1500 hadi 1000,..soko linazid kua baya kutokana na wingi was matikiti
MKUU NAOMBA UNISAIDIE MAELEZO KIDOGO KUHUSU KUPUNGUZA SHINA. KUNA UTAALAMU WOWOTE AMBAO UTASAIDIE KUTOATHIRI UKUAJI WA MMEA AU UNAKATA TU KISHA MMEA UNAENDELEA BILA SHIDA.NASHAURI TU JAMANI,
Badala ya kulima heka tano jaribu kulima heka moja tu ila fanya yafuatayo.
Badala ya kuruka mita mbili otesha mtikiti kila baada ya nusu mita.
kwa heka moja utapata mashimo 19,800.
mtikiti ukitoa tunda moja tu ukate kwa mbele ili usiendelee kuzaa.
kwa hiyo tunda moja kwa mche mmoja utanenepa vizuri badala ya kuuza 500= uauza 2,000.
Tufanye ukaua 1,000= utapata 19,800,000 badala ya 2m.
Mkuu nitumie email manningjulius@rocketmail.comAnayetaka mchanganuo na maelezo ya kilimo cha tikiti ni pm email nakutumia
Nimepita maeneo ya Ushirombo - Bukombe na Katoro - Geita DC matikiti yanauzwa mpaka Tsh 5,000/ kwa moja kubwa bei ya rejareja.Bei ya sasa kwa matikiti ni 1500 hadi 1000,..soko linazid kua baya kutokana na wingi was matikiti