CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Asparugus ni aina ya mboga iko kama vijitivijiti ila ni mboga ambayo ni very delicious na ni moja ya mboga very Expensive sana.
Kwa Tanzania mara nyingi huwa wana iagiza either South Africa au Dubai, Kwebye Super Ma let zetu huwa inapatikana kwa nadra sana mara mpjamoja na mara nyingi sana haipatikani au haipo.
Hii mboga kwa sisi wabongo ambao hatujatembea sio rahisi kabisa kuijua, Ila kwa walio tembea huko mbele watakuwa walisha kutana nayo.
Kwa Wazungu, Wahindi, wachina na kadhalika wanaijua vyema hii Mboga. Arusha kuna nyakati hiwa inapatikana Supermarket ile ya Shoppers na kilo huwa ni Tsh 20,000 na kuendelea.
Unaweza lima hii Mboga kama una shamba lako sio la kukodi, Shamba lako binafisi na liwe na maji ya kumwagilia. Hii mboga unaweza vuna kwa miaka 25, inavunwa vijiti vyake na inaendelea kuchipua.
Kama uko Dar au Arusha jaribu kufanya utafiti nenda kwenye Super Market kubwa kabisa kabisa waambie una Asparagus unauza usikie majibu yake. Nenda Super market kubwa achana na zile za mitaani za kibongo Bongo.
Kwa Tanzania mara nyingi huwa wana iagiza either South Africa au Dubai, Kwebye Super Ma let zetu huwa inapatikana kwa nadra sana mara mpjamoja na mara nyingi sana haipatikani au haipo.
Hii mboga kwa sisi wabongo ambao hatujatembea sio rahisi kabisa kuijua, Ila kwa walio tembea huko mbele watakuwa walisha kutana nayo.
Kwa Wazungu, Wahindi, wachina na kadhalika wanaijua vyema hii Mboga. Arusha kuna nyakati hiwa inapatikana Supermarket ile ya Shoppers na kilo huwa ni Tsh 20,000 na kuendelea.
Unaweza lima hii Mboga kama una shamba lako sio la kukodi, Shamba lako binafisi na liwe na maji ya kumwagilia. Hii mboga unaweza vuna kwa miaka 25, inavunwa vijiti vyake na inaendelea kuchipua.
Kama uko Dar au Arusha jaribu kufanya utafiti nenda kwenye Super Market kubwa kabisa kabisa waambie una Asparagus unauza usikie majibu yake. Nenda Super market kubwa achana na zile za mitaani za kibongo Bongo.