Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Kwanini uliamua kuikata mikorosho?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mimi sio mtu wa kule na Mikorosho siifahamu biashara yake pis serikali inaingilia sana. Tulijaza migomba eka zote, ikawa shamba la bibi ndio nikaikata migomba yote ndio nikaweka mhogo nilivuna mwaka juzi sikulima tena ingawa kuna jamaa aliomba kukodisha eka 2
 
Mimi sio mtu wa kule na Mikorosho siifahamu biashara yake pis serikali inaingilia sana. Tulijaza migomba eka zote, ikawa shamba la bibi ndio nikaikata migomba yote ndio nikaweka mhogo nilivuna mwaka juzi sikulima tena ingawa kuna jamaa aliomba kukodisha eka 2
Mihogo uliuza kwa njia gani anavuna na kupeleka kuuza mwenyewe au?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Mihogo uliuza kwa njia gani anavuna na kupeleka kuuza mwenyewe au?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mihogo ndio nilikuwa natafuta picha za kazi nimezikosa nadhani zilipotea kwenye simu yangu iliyoharibika.

Kama kuna kipindi ulisikia serikali imepata soko la Muhogo China basi kwa fursa hiyo nililima mihogo kama eka 6 na nusu. Mchina alitangaza bei nzuri sana kwa mhogo mbichi yaani alitangaza Tshs. 1,060/= kwa kilo moja.

Kwa hiyo nilijituma nikawekeza. Sasa baada ya miezi saba Mchina alianza kununua mhogo alianzia Handeni Tanga. Tatizo la mchina alikuwa ananunua mhogo mbichi halafu anaupeleka kwenye sait yake huko huko shamba kule alikuwa na mashine za kuuchakata. Yaani mashine ile muhogo unakatwa silesi silesi za cm 10. Halafu ukishakatwa wanaanika juani. Unakauka baada ya siku 2 wanaweka kwenye viroba vya kilo 50.

Kwa hiyo sisi wa Kisarawe huko vijijini tukawa tumekosa mashine ya kuch akata mhogo na msimu wa mvua ulikuwa unakaribia.

Kwa kweli Mchina nae alipata hasara sababu mhogo alionanika ulinyeshewa. Nasikia milioni 15 zilipotea.

Kilichotokea sasa akashusha bei toka 1,060/= kwa kilo mpaka Tshs. 600/= kwa kilo.

Hata hivyo hiyo bei ilikuwa bado nzuri sababu shina moja la mhogo mimi lachini ilikuwa 13 kwa shina na juu kilo 18 mpaka machache kg 20 kwa shina. Sasa kama miche iko 4000 kwa eka bado bi hela ndefu.

Tuliomba msaada kwa viongozi serikalini kupata mashine ya kuchakata ndipo Mh
Jokate Dc aliongea na wanunuzi ma agent wa mchina wako kule mwenge. Wakakubali kutuazimisha mashine za kuchakata bure na pale wilayani wakaniazimisha bure jenereta kwa muda wote mpaka nimalize mhogo wangu.

Picha ya hiyo mashine nitakuwekea hapo chini.


Kwa kifupi nilifanikiwa kuvuna eka 2 tu sababu mvua ilianza. Mzigo wa mhogo waliufuata wenyewe kule mule shamba kwa gharama zao, na pia walinipa mifuko ya kg 50 bure nijaze mhogo.

Walini lipa kupitia account ya bank bila utata wowote.

Kilichonifanya nisilime tena ni mchina kubadilisha bei anavyataka yeye.

Bei alipunguza tena.

Kwa hiyo soko langu alikuwa mchina kwa mbegu ya Kiroba nasikia wao walikuwa wanafuata starch au wanga kwenye hiyo mihogo. Soko la buguruni sina uzoefu nalo.
 
Mihogo ndio nilikuwa natafuta picha za kazi nimezikosa nadhani zilipotea kwenye simu yangu iliyoharibika.

Kama kuna kipindi ulisikia serikali imepata soko la Muhogo China basi kwa fursa hiyo nililima mihogo kama eka 6 na nusu. Mchina alitangaza bei nzuri sana kwa mhogo mbichi yaani alitangaza Tshs. 1,060/= kwa kilo moja.

Kwa hiyo nilijituma nikawekeza. Sasa baada ya miezi saba Mchina alianza kununua mhogo alianzia Handeni Tanga. Tatizo la mchina alikuwa ananunua mhogo mbichi halafu anaupeleka kwenye sait yake huko huko shamba kule alikuwa na mashine za kuuchakata. Yaani mashine ile muhogo unakatwa silesi silesi za cm 10. Halafu ukishakatwa wanaanika juani. Unakauka baada ya siku 2 wanaweka kwenye viroba vya kilo 50.

Kwa hiyo sisi wa Kisarawe huko vijijini tukawa tumekosa mashine ya kuch akata mhogo na msimu wa mvua ulikuwa unakaribia.

Kwa kweli Mchina nae alipata hasara sababu mhogo alionanika ulinyeshewa. Nasikia milioni 15 zilipotea.

Kilichotokea sasa akashusha bei toka 1,060/= kwa kilo mpaka Tshs. 600/= kwa kilo.

Hata hivyo hiyo bei ilikuwa bado nzuri sababu shina moja la mhogo mimi lachini ilikuwa 13 kwa shina na juu kilo 18 mpaka machache kg 20 kwa shina. Sasa kama miche iko 4000 kwa eka bado bi hela ndefu.

Tuliomba msaada kwa viongozi serikalini kupata mashine ya kuchakata ndipo Mh
Jokate Dc aliongea na wanunuzi ma agent wa mchina wako kule mwenge. Wakakubali kutuazimisha mashine za kuchakata bure na pale wilayani wakaniazimisha bure jenereta kwa muda wote mpaka nimalize mhogo wangu.

Picha ya hiyo mashine nitakuwekea hapo chini.


Kwa kifupi nilifanikiwa kuvuna eka 2 tu sababu mvua ilianza. Mzigo wa mhogo waliufuata wenyewe kule mule shamba kwa gharama zao, na pia walinipa mifuko ya kg 50 bure nijaze mhogo.

Walini lipa kupitia account ya bank bila utata wowote.

Kilichonifanya nisilime tena ni mchina kubadilisha bei anavyataka yeye.

Bei alipunguza tena.

Kwa hiyo soko langu alikuwa mchina kwa mbegu ya Kiroba nasikia wao walikuwa wanafuata starch au wanga kwenye hiyo mihogo. Soko la buguruni sina uzoefu nalo.
Heka bei gani?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Mihogo ndio nilikuwa natafuta picha za kazi nimezikosa nadhani zilipotea kwenye simu yangu iliyoharibika.

Kama kuna kipindi ulisikia serikali imepata soko la Muhogo China basi kwa fursa hiyo nililima mihogo kama eka 6 na nusu. Mchina alitangaza bei nzuri sana kwa mhogo mbichi yaani alitangaza Tshs. 1,060/= kwa kilo moja.

Kwa hiyo nilijituma nikawekeza. Sasa baada ya miezi saba Mchina alianza kununua mhogo alianzia Handeni Tanga. Tatizo la mchina alikuwa ananunua mhogo mbichi halafu anaupeleka kwenye sait yake huko huko shamba kule alikuwa na mashine za kuuchakata. Yaani mashine ile muhogo unakatwa silesi silesi za cm 10. Halafu ukishakatwa wanaanika juani. Unakauka baada ya siku 2 wanaweka kwenye viroba vya kilo 50.

Kwa hiyo sisi wa Kisarawe huko vijijini tukawa tumekosa mashine ya kuch akata mhogo na msimu wa mvua ulikuwa unakaribia.

Kwa kweli Mchina nae alipata hasara sababu mhogo alionanika ulinyeshewa. Nasikia milioni 15 zilipotea.

Kilichotokea sasa akashusha bei toka 1,060/= kwa kilo mpaka Tshs. 600/= kwa kilo.

Hata hivyo hiyo bei ilikuwa bado nzuri sababu shina moja la mhogo mimi lachini ilikuwa 13 kwa shina na juu kilo 18 mpaka machache kg 20 kwa shina. Sasa kama miche iko 4000 kwa eka bado bi hela ndefu.

Tuliomba msaada kwa viongozi serikalini kupata mashine ya kuchakata ndipo Mh
Jokate Dc aliongea na wanunuzi ma agent wa mchina wako kule mwenge. Wakakubali kutuazimisha mashine za kuchakata bure na pale wilayani wakaniazimisha bure jenereta kwa muda wote mpaka nimalize mhogo wangu.

Picha ya hiyo mashine nitakuwekea hapo chini.


Kwa kifupi nilifanikiwa kuvuna eka 2 tu sababu mvua ilianza. Mzigo wa mhogo waliufuata wenyewe kule mule shamba kwa gharama zao, na pia walinipa mifuko ya kg 50 bure nijaze mhogo.

Walini lipa kupitia account ya bank bila utata wowote.

Kilichonifanya nisilime tena ni mchina kubadilisha bei anavyataka yeye.

Bei alipunguza tena.

Kwa hiyo soko langu alikuwa mchina kwa mbegu ya Kiroba nasikia wao walikuwa wanafuata starch au wanga kwenye hiyo mihogo. Soko la buguruni sina uzoefu nalo.
Ni kwel boss sas soko la China ma wakal wame kuwa hadimu kidog ila bado tunauzia sokoni Je ww bado information zao unawez tusaidie ?
 
Jamani na mimi nahitaji shamba pori liwe bungu, au jaribu au mlanzi na je heka ni bei gAni?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Yapo tena ardhi yake ina rutuba ya kutosha na MASHAMBA yangu yapo ya kweny bonde maji miaka yote na milimani ww tu na machine yako kilimo chochote kina stahimiri ardhi
nicheck--+255625400299
 
Yapo tena ardhi yake ina rutuba ya kutosha na MASHAMBA yangu yapo ya kweny bonde maji miaka yote na milimani ww tu na machine yako kilimo chochote kina stahimiri ardhi
nicheck--+255625400299
Mashamba yako maeneo gani, hekari bei gani
 
Mihogo ndio nilikuwa natafuta picha za kazi nimezikosa nadhani zilipotea kwenye simu yangu iliyoharibika.

Kama kuna kipindi ulisikia serikali imepata soko la Muhogo China basi kwa fursa hiyo nililima mihogo kama eka 6 na nusu. Mchina alitangaza bei nzuri sana kwa mhogo mbichi yaani alitangaza Tshs. 1,060/= kwa kilo moja.

Kwa hiyo nilijituma nikawekeza. Sasa baada ya miezi saba Mchina alianza kununua mhogo alianzia Handeni Tanga. Tatizo la mchina alikuwa ananunua mhogo mbichi halafu anaupeleka kwenye sait yake huko huko shamba kule alikuwa na mashine za kuuchakata. Yaani mashine ile muhogo unakatwa silesi silesi za cm 10. Halafu ukishakatwa wanaanika juani. Unakauka baada ya siku 2 wanaweka kwenye viroba vya kilo 50.

Kwa hiyo sisi wa Kisarawe huko vijijini tukawa tumekosa mashine ya kuch akata mhogo na msimu wa mvua ulikuwa unakaribia.

Kwa kweli Mchina nae alipata hasara sababu mhogo alionanika ulinyeshewa. Nasikia milioni 15 zilipotea.

Kilichotokea sasa akashusha bei toka 1,060/= kwa kilo mpaka Tshs. 600/= kwa kilo.

Hata hivyo hiyo bei ilikuwa bado nzuri sababu shina moja la mhogo mimi lachini ilikuwa 13 kwa shina na juu kilo 18 mpaka machache kg 20 kwa shina. Sasa kama miche iko 4000 kwa eka bado bi hela ndefu.

Tuliomba msaada kwa viongozi serikalini kupata mashine ya kuchakata ndipo Mh
Jokate Dc aliongea na wanunuzi ma agent wa mchina wako kule mwenge. Wakakubali kutuazimisha mashine za kuchakata bure na pale wilayani wakaniazimisha bure jenereta kwa muda wote mpaka nimalize mhogo wangu.

Picha ya hiyo mashine nitakuwekea hapo chini.


Kwa kifupi nilifanikiwa kuvuna eka 2 tu sababu mvua ilianza. Mzigo wa mhogo waliufuata wenyewe kule mule shamba kwa gharama zao, na pia walinipa mifuko ya kg 50 bure nijaze mhogo.

Walini lipa kupitia account ya bank bila utata wowote.

Kilichonifanya nisilime tena ni mchina kubadilisha bei anavyataka yeye.

Bei alipunguza tena.

Kwa hiyo soko langu alikuwa mchina kwa mbegu ya Kiroba nasikia wao walikuwa wanafuata starch au wanga kwenye hiyo mihogo. Soko la buguruni sina uzoefu nalo.
Kwahiyo umeacha kabisa kulima mhogo na je vp kuhusu taarifa za soko la mihogo mimi nina mashine ya kuchakata mhogo yaani zinakuwa mfumo wa chips
IMG20230511161453.jpg
 
Back
Top Bottom