Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Nimeanza kilimo cha Mihogo kwa ajiri ya matumizi ya chakula ila nimetumia mbegu za wenyeji tu hapa morogoro. Naomba mnijuze mbegu bora (tamu na yenye kuzaa sana) inaitwaje na naweza kupata wapi jirani na mkoa wa morogoro.
 
Jamani nimesikia kuwa mihogo ina demand kubwa ndani na nje ya nchi yetu naomba kujuzwa kwa anae fahamu

nawasilisha.
 
Ya mkuu Muhogo huenda ukawa ndo zao lenye Demand kubwa kuliko zao lolote lile kwa sasa, sema watu hawajajua, ila inatakiwa kama mtu anawekeza basi ni kuwekeza kiukweli sio kulima heka 3, Mihogo ni dhahaby nyeupe, na niliwahi soma mahali kuna utafiti ulifanyika Italy na kugundua kwamba muhogo unaweza tumika kutengeneza bidhaa zaidi ya 300.

Hapa nchini wanaagiza unga na baadhi ya bidhaa zake kutoka nje, Na hata nchi kama China kuna demand ya kufa mtu ya muhogo ila sasa kumeet ndo kazi.

MIHOGO INATENGENEZA BIDHAA ZA CHAKULA NA ZISIZO ZA CHAKULA, Na kumbuka kwamba muhogo hauna tofauti na unga wa nganio ingawa muhogo unazidi unga wa ngano kwa sababu unamatumizi mengi.
- Kuni
-Majani yake ni mboga ni dawa na ni chakula cha mifugo
- Unatumika kwenye viwanda vya bia, bya madawa na kazalika
-
 
Mh. Chacha hebu nijaze hapo majani ya mhogo yanatumika kama chakula cha mifugo??? & kama dawa??. Ntafurahi kama utanipa ufafanuzi zaidi nami nikaelimika.
 
Chacha nami naomba kujuzwa zaidi na sanasana ni utafiti uliofanywa Italy na pia kama kunamtu anajua matumizi ya Starch itokanayo na mihogo.
 
Mh. Chacha hebu nijaze hapo majani ya mhogo yanatumika kama chakula cha mifugo??? & kama dawa??. Ntafurahi kama utanipa ufafanuzi zaidi nami nikaelimika

Mkuu majani ya mihogo unayachuma, unayakausha then unasaga, na unaweza changanya na na faka zingine ukwapatia kuku, inafaa sana kwa kuku na mifugo mingine na mara nyingi ynatakiwa yachumwe wakati bado mihogo ikiwa michanga miezi mitatu hadi minne ,mihogo ikisha komaa basi kiwango cha protein kwenye hayo majani huwa ni kidogo sana. Huwa inaconatin 20-27% crude protein.
 
Chacha nami naomba kujuzwa zaidi na sanasana ni utafiti uliofanywa Italy na pia kama kunamtu anajua matumizi ya Starch itokanayo na mihogo.

mkuu starch inatumika kunyoshea nguo na inatumika kutengeneza kinywaji kinacho itwa tapioca, hii ni kama juice
 
Mkuu majani ya mihogo unayachuma, unayakausha then unasaga, na unaweza changanya na na faka zingine ukwapatia kuku, inafaa sana kwa kuku na mifugo mingine na mara nyingi ynatakiwa yachumwe wakati bado mihogo ikiwa michanga miezi mitatu hadi minne ,mihogo ikisha komaa basi kiwango cha protein kwenye hayo majani huwa ni kidogo sana. Huwa inaconatin 20-27% crude protein.

Mkuu nasikia ukichuma majani ya mhogo ikiwa michanga, huwa haiweki kiazi chini.
 
Heshima kwenu wadau wa kilimo hapa J.f nina swali moja rahisi tuu. "Eti kweli muhogo ipo mbegu ya muda mfupi ya miezi 6
 
kuna mbegu inaitwa kiroba ni nzuri sana sina uhakika na muda wa kukomaa lakini mavuno yake ni mengi sana
 
Mtaalamu wa kilimo anishauri kuusu soko la mhogo. Soko zuri wap? Nataka kujua zaidi nimesikia lakini nahitaji kujua zaidi.vip kilimo cha umwagiliaji-mhogo? na cha masika kipi bora kwa mavuno?

Mhogo unatiwa mbolea? Kama ndiyo. Mda gani? Na aina gani?

Nategemea kulima Tanga.
 
Unpossible Dream. Nimegundua kwamba ni bora iulime mwenyewe. Oparation cost is cheaper and profit margin it pays better than Rufiji thing.
Gharama za kulima Tonne 18,000 za mhogo.

1heka=15 tonne
X = 18,000

Iit become 1200hekas needed.

Gharama za kuzalisha 1 heka= 200,000
So 1200hekas * 200,000= 240,000,000/=

1 tonne wanalipa $75 iko to 123,500
123,500 * 18,000= 2,227,500,000/= (2bil)

Swali. Kama wanaela za kulipa watu kiasi iko cha pesa kwann wasilime wenyewe.

SASA UKILIMA MWENYEWE MHOGO WA KULA IKO HIVI
1heka inatoa viloba 35 vya mhogo @ 50000/= bei ya shambani so
35*50000=1,750,000

So taking same 100hekas its
1,750,000*100= 175,000,000/=

Kule juu unapata 123,750,000/= ndio utakayolipwa. Sorry hamjanipa. Huu ni utapeli wa kimataifa.
 
Unpossible Dream. Nimegundua kwamba ni bora iulime mwenyewe. Oparation cost is cheaper and profit margin it pays better than Rufiji thing.
Gharama za kulima Tonne 18,000 za mhogo.

1heka=15 tonne
X = 18,000

Iit become 1200hekas needed.

Gharama za kuzalisha 1 heka= 200,000
So 1200hekas * 200,000= 240,000,000/=

1 tonne wanalipa $75 iko to 123,500
123,500 * 18,000= 2,227,500,000/= (2bil)

Swali. Kama wanaela za kulipa watu kiasi iko cha pesa kwann wasilime wenyewe.

SASA UKILIMA MWENYEWE MHOGO WA KULA IKO HIVI
1heka inatoa viloba 35 vya mhogo @ 50000/= bei ya shambani so
35*50000=1,750,000

So taking same 100hekas its
1,750,000*100= 175,000,000/=

Kule juu unapata 123,750,000/= ndio utakayolipwa. Sorry hamjanipa. Huu ni utapeli wa kimataifa.

Kwanini usilime mwenyewe ukauze

Jibu: Mkuu hivyo viloba 35 X 100 = viloba 3500 uta muuzia nani? Hilo soko la kuuza kiasi chote hicho kwa muda mfupi unalipata wapi?

Umeuliza kwanini Wasifanye wenyewe badala yake walipe gharama kubwa zaidi ukilinganisha na kama wange fanya wenyewe
Jibu: Tatizo hujaweka "Muda/Time" katika listi ya gharama zako,lakini pia management ya shamba ina gharamu fedha za ziada on top of the expenses which u have already mentioned above.They want to put much effort into processing na mpaka wameamua kuwapa watu dili la kulima ni kwasababu wamepiga hesabu zao kwa kuangalia kila factor necessary to them not to you

Though hoja ni ya msingi,nafikiri mkuu mzuzu atafafanua zaidi
 
Kwanini usilime mwenyewe ukauze

Jibu: Mkuu hivyo viloba 35 X 100 = viloba 3500 uta muuzia nani? Hilo soko la kuuza kiasi chote hicho kwa muda mfupi unalipata wapi?

Umeuliza kwanini Wasifanye wenyewe badala yake walipe gharama kubwa zaidi ukilinganisha na kama wange fanya wenyewe
Jibu: Tatizo hujaweka "Muda/Time" katika listi ya gharama zako,lakini pia management ya shamba ina gharamu fedha za ziada on top of the expenses which u have already mentioned above.They want to put much effort into processing na mpaka wameamua kuwapa watu dili la kulima ni kwasababu wamepiga hesabu zao kwa kuangalia kila factor necessary to them not to you

Though hoja ni ya msingi,nafikiri mkuu mzuzu atafafanua zaidi
Nashukuru kwa uelewa wako. any feedback please, hii project iliendaje, watu walifaidika?
 
Vipofu wa kilimo. Ndio watakae ingia huo mtego🙄 lakini kwa mm iyo siyo investment. Bali ajira yenye marupurupu. Kwa mm taking that deal its wasting time effort and money. Nawashauri wakulima dont take that "game" lima mwenyewe uza mwenyewe. Kama wewe mkulima kwann uajiriwe? Asiyejua soko la mhogo hapa Tanzania ani p.m nitamsaidia.

Asiyejua wap pa kuuza starch ani p.m nimpe elimu bure.Kampuni izi za nje zinazokuja na uongo uongo mwingi zinanikera sana.tena wakishirikiana na wazawa kuwanyonya watanzania wenzao. Na kuwasaidia kila kitu. Kutaka kuwaibia watu sababu hawajui. Lima mwenyewe uza mwenyewe. inakulipa.mara 10.

Zaidi ya hao wanyonyaji. Kama una huo mtaji lima mwenyewe process starch inakulipa faida yako mara 2 tena zaidi. Acheni utapeli. Hakuna kitu hapo.
 
Habarini ndugu wana JF napenda kujua je kwa wale wanaofaham kijiji Lusako kule fukayosi je ardhi yake inafaa kwa kilimo cha mihogo / mahindi? Maana nina heka zangu mbili kule nimenunua last month February.
 
Back
Top Bottom