Kweli kabisa nilikuwa shamba, nimeona vitu vizuri ktk safari ya shamba niliyokwenda,
Nirudi ktk topic, mbegu zimeshatajwa hapo juu. Kimanzichana panaweza kuwa pazuri sana kwa sasa kwa ajili ya kufungua mashamba makubwa ya mhogo, kule nyuma ya mji kuna eneo kubwa lililotupu. Na mkuu Ngeleja anapeleka moto pale,siku si nyingi moto utawaka. Kididimo ni pazuri, bado mafisadi hawajafika na kuharibu bei. Maeneo ya Hoyoyo Mkuranga ni mazuri,tatizo wakubwa wameshalamba mapande makubwa,unaweza ukauziwa kipande cha mtu.