Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 688
Mkuu somo litatusaidia wengi. Mungu akupe busara ya kuliweka hilo somo hapa jukwaaniNunua mbegu zako nitakuambia jinsi ya kufanya ziote na ni rahisi.
Je utaniruhusu kutoa somo japokuwa si mtaalam kwa faida ya wengine