Hao wapuuzi wamesababisha vifo vya Baba zetu kwa pressure tokana na madeni na kutokuweka miundombinu ya umwagiliaji kwa wakati hivyo Miwa kufa kwa kukosa maji huku kiwanda kikiwa bado kufanya kazi na wakiwa wanadaiwa na Azania bank kwa pesa walizowakopesha pitia AMCOS ile ya kizushi ya akina God, Zungu na yule Mstaafu wa TARI Dakawa.
Wazee walishtaki sana kwa viongozi wa kitaifa akiwemo PM ila hakuna kilichofanyika. Kiwanda na project hiyo inapigwa vita na viwanda vya Mtibwa Sugar na Kagera Sugar kwani Industry ya Sukari imehodhiwa na kale kajamaa kaarabu koko ka Mtibwa na Kagera Sugar. R.IP wazee wetu akina Mzee Mbuji, Mzee Makonyora, Mzee Nderingo, Mzee Msoma, Mzee Mtimkavu n.k hadi leo wanenu tunadaiwa na Azania Banki, hakuna maji kwenye mashamba, Miwa mingi imekufa na miwa tunauza kwa hasara pale Mtibwa Sugar.