Ndugu zangu, poleni na majukumu ya kikazi, nimepatwa na wazo la kulima miwa pale Kilosa kwa ajili ya kuuzia kiwanda cha Mkulazi kwa ajili ya kutengeneza sukari.
Nimepata shamba la heka sitini ambalo nina mpango wa kulinunua, nakuja kwenu kujua kama kuna mtu aliyewahi kulima au kusikia juu ya changamoto ya kilimo hiki?
Naaminishwa kuwa kiwanda kitaanza kazi ndani ya mwaka huu kama kuna ushauri naukaribisha!
Nimepata shamba la heka sitini ambalo nina mpango wa kulinunua, nakuja kwenu kujua kama kuna mtu aliyewahi kulima au kusikia juu ya changamoto ya kilimo hiki?
Naaminishwa kuwa kiwanda kitaanza kazi ndani ya mwaka huu kama kuna ushauri naukaribisha!