Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui tulikosea wapi, last week nikienda Tanga na Boss wangu mpya alishangaa sana hali ya ubichi wa nchi yetu.Ardhi ya kufanya kilimo cha biashara tunayo. Wakati wa Ukoloni Tanganyika lilikua ni eneo la commercial farming kuanzia chai, mkonge, nk
Acha kabisa hapo zaidi ya Shamba hata mazao yanakuja kwa kasi maana shamba ni safi na uangalizi ni wahali wa juu sana
Tanga wanategemea sana mazao ya kudumu, machungwa na minazi. Ukishapanda una fyekea tu kila mwaka. Kilimo cha chakula kama mpunga, mahindi, maharage na mihogo ni kidogo tu kwa mahitaji ya familia.Sijui tulikosea wapi, last week nikienda Tanga na Boss wangu mpya alishangaa sana hali ya ubichi wa nchi yetu.
Hiyo mifereji inamwagilia maji, siri kubwa ya migomba ni maji. Tuliwahi kupanda ndizi malindi ilikua kando ya karo la kuoshea vyombo. Ilitoa mkungu mkubwa sana.Acha kabisa hapo zaidi ya Shamba hata mazao yanakuja kwa kasi maana shamba ni safi na uangalizi ni wahali wa juu sana
Mitaro hiyo ya nini pembeni ya migomba
Utetee na za Mshare basi nipate elimu nikalime kule kishumunduHili ni shamba moja tu
Ukoloni wa CCM haijali kituArdhi ya kufanya kilimo cha biashara tunayo. Wakati wa Ukoloni Tanganyika lilikua ni eneo la commercial farming kuanzia chai, mkonge, nk
KabisaaHiyo mifereji inamwagilia maji, siri kubwa ya migomba ni maji. Tuliwahi kupanda ndizi malindi ilikua kando ya karo la kuoshea vyombo. Ilitoa mkungu mkubwa sana.
Haya maneno diamond anaweza kuyatungia wimbo wa matusiMaji hupita mtaroni na kustawisha migomba bila kutumia nguvu
Inapendeza Ni Aina gani ya ndizi mkuu nimevutiwa ma mbegu Kisha zilivyo pangwa