Kilimo cha ndizi Brazil

Kilimo cha ndizi Brazil

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1627054155796.png

1627473738230.jpeg
 
Sijui tulikosea wapi, last week nikienda Tanga na Boss wangu mpya alishangaa sana hali ya ubichi wa nchi yetu.
Tanga wanategemea sana mazao ya kudumu, machungwa na minazi. Ukishapanda una fyekea tu kila mwaka. Kilimo cha chakula kama mpunga, mahindi, maharage na mihogo ni kidogo tu kwa mahitaji ya familia.
 
Acha kabisa hapo zaidi ya Shamba hata mazao yanakuja kwa kasi maana shamba ni safi na uangalizi ni wahali wa juu sana
Hiyo mifereji inamwagilia maji, siri kubwa ya migomba ni maji. Tuliwahi kupanda ndizi malindi ilikua kando ya karo la kuoshea vyombo. Ilitoa mkungu mkubwa sana.
 
Hakuna ndizi mchare "mshale" huko?
Naona za kutengenezea mbege tuu hapo
 
Back
Top Bottom