Masokwe
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 454
- 682
Naomba kuuliza mwenye uzoefu,
1-Heka moja inaweza gharimu kiasi kuanzia mbegu mpaka kuvuna!?
2-Ubora ikizingatiwa makadirio ya chini kabisa unaweza pata tenga ngapi!?
-Nina heka kadhaa maeneo ya Kilimanjaro (maeneo ya Tpc kiwanda cha sukari), Pia nina hela kadhaa Bagamoyo (naomba ushauri eneo zuri kuweza kuweka project hii.
Kwa uzoefu mimi ni mkulima wa mpunga, hivo nahitaji ABC za kilimo cha nyanya, nimesoma humo juu ila bado sijapata mwongozi kamili
Asanteni
1-Heka moja inaweza gharimu kiasi kuanzia mbegu mpaka kuvuna!?
2-Ubora ikizingatiwa makadirio ya chini kabisa unaweza pata tenga ngapi!?
-Nina heka kadhaa maeneo ya Kilimanjaro (maeneo ya Tpc kiwanda cha sukari), Pia nina hela kadhaa Bagamoyo (naomba ushauri eneo zuri kuweza kuweka project hii.
Kwa uzoefu mimi ni mkulima wa mpunga, hivo nahitaji ABC za kilimo cha nyanya, nimesoma humo juu ila bado sijapata mwongozi kamili
Asanteni