chief muswati
Senior Member
- Apr 27, 2019
- 128
- 84
Mfumo upi ni mzur wakumwagilia shamba lilopo sehem yenye mwinuko kutoka kwenye chanzo Cha maji either mto au ziwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeeeHizi ni nyavu zile zinazotumika kama shade zinawekwa juu ya nguzo mbili zinanasa umande na kuupeleka chini mfano wa matone yanakusanywa kisha upelekwa kwenye storage tank. Ni technology toka israel, wao wanamwagilia kwa umande.
Wanavuna ukungu
Engine no ya kichina, ni 20hp, na water pump ni zaidi ya hp 15. Inavuta maji inch nne na kuyasukuma kwa inchi 2 ndiyo maana yaweza kwenda juu zaidi. Angalia icha hiziPampu unayotumia hp ngapi uwezi kuvuta direct majitoka kwenye chanzo Cha maji mpka shamban bila kutumia tank?
Ni sawa mkuu, ila miaka mitatu iliyopita maji yalijaa sana. Kuna mahali nilikuwa nmeweka mbao za kusimika mashine (maboriti makubwa ya inchi4 kwa 6) Yote yalifuknikwa na maji. Ni bahati kuwa mashine ilikuwa haijasimikwa kwenye zege, ningepata hasara kubwa. Wenyeji wananiambia hiyo inaweza kutokea baada ya miaka 50 Huo mpira unaouona kweney video ni aina ya koromeo inchi 4 ndio umeenda kwenye maji (ziwani) na umefungwa kwenye water pump (unaiona kwenye picha), Hiyo pump ndiyo inavuta maji 4 inchi na kuyapunguza hadi inchi 2 kuyasukuma kwenda juu Kama unavyoona total head 50m na suction ni 5 to8 metersHongera kwa hatua hio. Ila laiti ungejua mwanzoni ingetakiwa hio foundation ungeiweka chini kusingekuwa na 7bu ya kuiweka juu. Kwa uzoef wangu hio water pump inlet inatakiwa isiwe mbali na maji pia isiwe juu...
Pandisha maji kwenye huo mwinuko then jaza kwenye tank zilizo juu ya huo mwinuko. Kutoka kwenye hizo tanks waweza kutumia drip irrigation kama unataka kusave maji pia kutegemea aina ya mazao, au fanya furrow irrigation japo hii inatumia maji mengi laki ni ni rahisi kutengeneza majaruba.Mfumo upi ni mzur wakumwagilia shamba lilopo sehem yenye mwinuko kutoka kwenye chanzo Cha maji either mto au ziwa?
Engine no ya kichina, ni 20hp, na water pump ni zaidi ya hp 15. Inavuta maji inch nne na kuyasukuma kwa inchi 2 ndiyo maana yaweza kwenda juu zaidi. Angalia icha hizi