Kilimo cha Vanilla nchini Tanzania

Kilimo cha Vanilla nchini Tanzania

Mi nalima hii kitu. Miche yangu imefikia hapa
39058b6c3d79bbcf98203e54e6bc118c.jpg
d9de447eca2b1642c10c4b56d57404b6.jpg
2c8877373dcb30d4a77ab5f8844cf9b1.jpg


Hate me at your own risk
Safi sana Boss
 
kuna biashara sio za kujaribu kama izo maaana sijawahi sikia mahala imebandikwa bango tunanunua vanilla
 
Nashukuru mkuu, labla kwa kuwa sikuweka sawa swali ni kwamba tuondoe gharama za kununua shamba kwani tayari ninalo na pia kwa hekari moja mavuno yanaweza fikia kilo ngapi?
usifikiri hekari moja fikiri hadi muda unaokaa shambani miaka mingap hali ya hewa hata mvua vinyumba vya kujengea
 
kuna biashara sio za kujaribu kama izo maaana sijawahi sikia mahala imebandikwa bango tunanunua vanilla
Huku tz ndiyo mnafanya mambo kificho
Wenzetu Uganda wanunuzi wako open
Madascar na comoro ndiyo usiseme
Tanzania shida linapokuja suala la soko wanapenda kufanya kificho ......

Ova
 
Habari ya mida hii wanafursa wenzangu. Nadhani vanilla sio zao geni hapa jukwaa letu wana kilimo. Nadhani kwa sasa na siku za usoni vanilla ndio zao lenye bei kubwa zaidi kwa mazao yanayolimwa hapa Tanzania. Kwa sasa vanilla mbichi iliyokomaa vizuri kilo 1inanunuliwa kati ya sh 150,000/= hadi 180,000/= kwa vanilla kavu imefikia U$D 600 zaidi ya sh 1,200,000/ kwa kilo.

Unaweza kupitia huu hmuzi uliowahi kuwekwa na mdau mmoja

Vanilla; yafika $600 kwa kg 1 ikiyapiku madini ya silver yanayouzwa $550 kwa kilo - JamiiForums

Kwa wale wenye mashamba/ ardhi ya kwao katika mikoa ya Kagera, Kilimanjaro, Mbeya, Iringa, Morogoro vijijini na baadhi ya maeneo yanayopata mvua ya kutosha zao hili linaweza kulimwa na kustawi vizuri sana.

Tunauza miche/marando marefu (kuanzia mita 2) kwa bei nzuri ukilinganisha na bei za miche yenyewe. Tunatoa elimu ya kupanda, kuhudumia shanba hadi kuvuna. Tupo Bukoba na tunatuma mkoa wowote ulipo kwa gaharama za mnunuaji. Pia tunamhakikishia soko la vanilla mkulima. Atakayenunua miche tutanunua vanilla yake yote kwa bei itakayokuwa sokoni wakati husika.

Tunaweza kuwasiliana via whatsapp au kwa kupiga via 0712016405. Usitume sms tafadhali.

Sharing is caring. Asanteni
 
Mimi nahitaji kununua Vanilla ambayo imeshaandaliwa tayari. Kama unayo tuwasiliane PM
 
Ina maana huu uzi hamjauona. Hebu mleta uzi jaribu kuongezea nyama kidogo labda unaweza kupata wateja zaidi.
Tuambie lando moja silingi ngapi na mche pia ni kiasi gani? bila kusahau idadi inayotosha kupanda heka moja
 
Back
Top Bottom