Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄🙄Nipo ngoja niipush faster nikastoryAlikuwa anatunga yamkin contents zikagota mwisho
Na ya kilimo ni HASARA tuu mpaka kilimo cha watoto ukikaa vibaya huko mbeleni umaweza waza na kusema hivi kwanini nili lima watoto wengi hivi, boora wangekuwa wawili tuu. Inshort maisha magumu sana."Mwomba Mungu hachoki akichoka keshapata"nikauli iliyonipa tumaini moyoni huku nikiamini kuwa lazima nitoboe,niliwaza hili na lile kutokana na ugumu wa kazi ngumu iliyokuwa inatukabili Mimi na mfanyakazi wangu, kwani ilifika sehemu hata ikamfanya Sasa kukata tamaa, kijana huyu wa kazi alianza kupata washauri ambao walianza kumwelezea shuruba za zao hili dhahiri nilianza kuona nyendo zake kuwa huyu anacho kitu si bure, kwakuwa niliishi naye vizuri alianza kuelezea kuhusu ushauri aliokuwa akipewa na rafiki yangu wa karibu ambaye tulikuwa tukifanya wote shughuli za kilimo Cha umwagiliaji,ni mwanafunzi wangu katika kilimo Cha nyanya aliyegeuka kuwa adui baada ya kugundua nyendo zake kuwa si nzuri sana kiukweli, tulikuwa watu tunatembeleana bahati mbaya sana huyu rafiki yangu alizidisha ushauri kwa mfanyakazi wangu Kwa kumwelezea shuruba na heka heka kuhusu kilimo Cha zao hili, labda nikumegee kidogo kuhusu kile kilichokuwa kinahadithiwa, kwa maelezo ya mfanyakazi wangu ni kuwa jamaa huyu alishawahi kulima kitunguu akaangukia pua katika majaribio kadhaa juu ya kilimo hiki na Kwa maelekezo yaliyokuwa yakitolewa nidhahiri kuwa yalikuwa ya kukatisha tamaa si tu kwa mfanyakazi wangu Bali hata kwangu Mimi,kama umefuatilia tangu mwanzo wa mazungumzo nilielezea kuhusu ujuzi mkubwa niliokuwa nao kuhusu zao la nyanya basi huyu bwana yeye alikuwa akipiga makofi na shangwe kuwa ataenda kutoboa katika shughuli za uzalishaji nyanya kwani angekuwa yeye tu eneo lile alishawahi kufeli katika kitunguu na katika hekari Moja alivyokuwa amelima aliambulia gunia 6 za chenga,na akauza kwa kuzitembeza mtaani kwenye baiskeli,"kikulacho kinguoni mwako"niling'o na baada ya kuambiwa taarifa hizi nikajisemea huyu mtu pamoja na kumpa Elimu kubwa hakuwa anajua 🔤 ya kilimo nikaelekeza hatua zote Toka kusia mbegu, kutunza kitalu, namna ya kuandaa shamba bora, hakuwa anajua thamani ya kilimo hiki , alikuwa akiishia kupata laki 6 au 3 kwenye kilimo Leo anatengeneza mamilioni, kumbe alishawahi kulima? Kwanini hakusema? Inamaana alikuwa anataka nipate hasara? Nimaswali ambayo nilitegemea anijibu lakini sijafanikiwa kujibiwa nayeye mpaka Leo,niliamua kujitenga naye maana niligundua si mtu mzuri kwangu niliubeba msalaba wangu pamoja na machungu niliyokuwa nikipata niliapa kuifikisha safari hii ambayo bado niliamini kuwa ilikuwa na mafanikio ambayo mpaka muda huo nilikuwa nimeyapa 30%,nahapa nazungumzia kurudisha angalau mtaji na faida kiasi Cha asilimia hizo,"mchuma janga hula na wa kwao" kutokana na maneno aliyokuwa ameshindiliwa huyu mfanyakazi wangu akiiona kazi ngumu na kudai kuongezewa mtu na mshahara wake upande , vinginevyo asingeweza kuendelea na kazi ,nilimuongezea kiasi Cha mshahara na kumuuliza kuhusu historia ya watu wenye uzoefu wa kazi hii alinitajia baadhi ya watu nikampa uhuru wa kuwaita watu hao lengo likiwa nikufanisha lengo,aliwaita baadhi yao wawili tukaendelea na mapambano, lakini Cha kushangaza alianza kulalamika kuhusu kwenda nyumbani kuwaona ndugu zake .nilimruhusu kwakuwa nilijua angeweza kuondoka asingeweza kuacha mshahara ambao ametumikia zaidi ya miezi 6,,ENDAPO MTUMISHI/MFANYAKAZI ATAAMUA KUACHA KAZI ATATOA TAARIFA KWA MUDA USIOPUNGUA MIEZI MIWILI,NA ATALAZIMIKA KUTAFUTA MTU WA KUZIBA PENGO LAKE ILI KUWEZA KUKAMILISHA STAHIKI ZAKE ALIZOTUMIKIA ,na HAKUTAKUWA NA MALIPO YA AINA YOYOTE YATAKAYOTOLEWA KAMA MKATABA HAUJAMALIZIKA .Nisehemu ya kifungu Cha mkataba ambacho kilikuwa kikisainiwa na kutiwa Saini na uongozi wa serikali ya Kijiji pamoja na mfanyakazi mwenyewe,huku kikiishia kwa watafsiri washeria huku mkataba huu ukiwa na picha kubwa upande wa mkono wa Julia juu, nilipata nafasi ya kumruhusu huku nikijua kuwa kafungwa na Sheri,alikwenda kwao akarejea na mfanyakazi mmoja aliyekuja kuongezea nguvu , nataka nifupishe habari hii kwa kukuambia kuwa , kilimo ni timing elewa unalima kwa muda gani,na utaivisha muda gani, kilimo ni watu unaweza kuwa na vitendea kazi ukawa na mtaji lakini ukafeli wajue watu wako unaotegemea kufanya nao kazi ni watu wa namna gani ukumbuke watu wanaweza kukukwamisha inawezekana ikawa ni wakati wakuzalisha au wakati wa kuuza, kilimo ni ubora (quality) uzalishaji wa bidhaa unayoizalisha ustahimili ushindani wa wazalishaji wenzio siyo ikifika sehemu ya kuuza bidhaa unayoizalisha inakuwa ndo ya mwisho kwamba wewe unauza wa mwisho Kila unapopeleka sokoni, kilimo ni soko,lijue soko lako kwa wakati huo linahitaji Nini unauzia wapi na kwa nani je unazalisha kumuuzia mlaji wa mwisho au mteja wa jumla,? Endelea kufuatilia ukurasa huu Ili tupeane Elimu isiyo na malipo kabisa just kutenga muda na bando lako tu kumbuka tunapeana ujuzi wa kile tulichokipitia ni wewe kuamua kusoma au kutokusoma , maana kunawatu wanatamani sana kuingia kwenye kilimo hiki ni vyema ukaingia kwa tahadhali kubwa huenda Mimi naamini uzoefu huu ninao utoa utasaidia kuokoa mamilioni ambayo huenda yangeweza kupotea kwa kasoro ambazo ungezisoma hapa ,tusiwe wepesi wa kutukana mwendelezo unapochelewa ujue watu tuko Poli tunasaka noti ITAENDELEA.
"Mwomba Mungu hachoki akichoka keshapata"nikauli iliyonipa tumaini moyoni huku nikiamini kuwa lazima nitoboe,niliwaza hili na lile kutokana na ugumu wa kazi ngumu iliyokuwa inatukabili Mimi na mfanyakazi wangu, kwani ilifika sehemu hata ikamfanya Sasa kukata tamaa, kijana huyu wa kazi alianza kupata washauri ambao walianza kumwelezea shuruba za zao hili dhahiri nilianza kuona nyendo zake kuwa huyu anacho kitu si bure, kwakuwa niliishi naye vizuri alianza kuelezea kuhusu ushauri aliokuwa akipewa na rafiki yangu wa karibu ambaye tulikuwa tukifanya wote shughuli za kilimo Cha umwagiliaji,ni mwanafunzi wangu katika kilimo Cha nyanya aliyegeuka kuwa adui baada ya kugundua nyendo zake kuwa si nzuri sana kiukweli, tulikuwa watu tunatembeleana bahati mbaya sana huyu rafiki yangu alizidisha ushauri kwa mfanyakazi wangu Kwa kumwelezea shuruba na heka heka kuhusu kilimo Cha zao hili, labda nikumegee kidogo kuhusu kile kilichokuwa kinahadithiwa, kwa maelezo ya mfanyakazi wangu ni kuwa jamaa huyu alishawahi kulima kitunguu akaangukia pua katika majaribio kadhaa juu ya kilimo hiki na Kwa maelekezo yaliyokuwa yakitolewa nidhahiri kuwa yalikuwa ya kukatisha tamaa si tu kwa mfanyakazi wangu Bali hata kwangu Mimi,kama umefuatilia tangu mwanzo wa mazungumzo nilielezea kuhusu ujuzi mkubwa niliokuwa nao kuhusu zao la nyanya basi huyu bwana yeye alikuwa akipiga makofi na shangwe kuwa ataenda kutoboa katika shughuli za uzalishaji nyanya kwani angekuwa yeye tu eneo lile alishawahi kufeli katika kitunguu na katika hekari Moja alivyokuwa amelima aliambulia gunia 6 za chenga,na akauza kwa kuzitembeza mtaani kwenye baiskeli,"kikulacho kinguoni mwako"niling'o na baada ya kuambiwa taarifa hizi nikajisemea huyu mtu pamoja na kumpa Elimu kubwa hakuwa anajua 🔤 ya kilimo nikaelekeza hatua zote Toka kusia mbegu, kutunza kitalu, namna ya kuandaa shamba bora, hakuwa anajua thamani ya kilimo hiki , alikuwa akiishia kupata laki 6 au 3 kwenye kilimo Leo anatengeneza mamilioni, kumbe alishawahi kulima? Kwanini hakusema? Inamaana alikuwa anataka nipate hasara? Nimaswali ambayo nilitegemea anijibu lakini sijafanikiwa kujibiwa nayeye mpaka Leo,niliamua kujitenga naye maana niligundua si mtu mzuri kwangu niliubeba msalaba wangu pamoja na machungu niliyokuwa nikipata niliapa kuifikisha safari hii ambayo bado niliamini kuwa ilikuwa na mafanikio ambayo mpaka muda huo nilikuwa nimeyapa 30%,nahapa nazungumzia kurudisha angalau mtaji na faida kiasi Cha asilimia hizo,"mchuma janga hula na wa kwao" kutokana na maneno aliyokuwa ameshindiliwa huyu mfanyakazi wangu akiiona kazi ngumu na kudai kuongezewa mtu na mshahara wake upande , vinginevyo asingeweza kuendelea na kazi ,nilimuongezea kiasi Cha mshahara na kumuuliza kuhusu historia ya watu wenye uzoefu wa kazi hii alinitajia baadhi ya watu nikampa uhuru wa kuwaita watu hao lengo likiwa nikufanisha lengo,aliwaita baadhi yao wawili tukaendelea na mapambano, lakini Cha kushangaza alianza kulalamika kuhusu kwenda nyumbani kuwaona ndugu zake .nilimruhusu kwakuwa nilijua angeweza kuondoka asingeweza kuacha mshahara ambao ametumikia zaidi ya miezi 6,,ENDAPO MTUMISHI/MFANYAKAZI ATAAMUA KUACHA KAZI ATATOA TAARIFA KWA MUDA USIOPUNGUA MIEZI MIWILI,NA ATALAZIMIKA KUTAFUTA MTU WA KUZIBA PENGO LAKE ILI KUWEZA KUKAMILISHA STAHIKI ZAKE ALIZOTUMIKIA ,na HAKUTAKUWA NA MALIPO YA AINA YOYOTE YATAKAYOTOLEWA KAMA MKATABA HAUJAMALIZIKA .Nisehemu ya kifungu Cha mkataba ambacho kilikuwa kikisainiwa na kutiwa Saini na uongozi wa serikali ya Kijiji pamoja na mfanyakazi mwenyewe,huku kikiishia kwa watafsiri washeria huku mkataba huu ukiwa na picha kubwa upande wa mkono wa Julia juu, nilipata nafasi ya kumruhusu huku nikijua kuwa kafungwa na Sheri,alikwenda kwao akarejea na mfanyakazi mmoja aliyekuja kuongezea nguvu , nataka nifupishe habari hii kwa kukuambia kuwa , kilimo ni timing elewa unalima kwa muda gani,na utaivisha muda gani, kilimo ni watu unaweza kuwa na vitendea kazi ukawa na mtaji lakini ukafeli wajue watu wako unaotegemea kufanya nao kazi ni watu wa namna gani ukumbuke watu wanaweza kukukwamisha inawezekana ikawa ni wakati wakuzalisha au wakati wa kuuza, kilimo ni ubora (quality) uzalishaji wa bidhaa unayoizalisha ustahimili ushindani wa wazalishaji wenzio siyo ikifika sehemu ya kuuza bidhaa unayoizalisha inakuwa ndo ya mwisho kwamba wewe unauza wa mwisho Kila unapopeleka sokoni, kilimo ni soko,lijue soko lako kwa wakati huo linahitaji Nini unauzia wapi na kwa nani je unazalisha kumuuzia mlaji wa mwisho au mteja wa jumla,? Endelea kufuatilia ukurasa huu Ili tupeane Elimu isiyo na malipo kabisa just kutenga muda na bando lako tu kumbuka tunapeana ujuzi wa kile tulichokipitia ni wewe kuamua kusoma au kutokusoma , maana kunawatu wanatamani sana kuingia kwenye kilimo hiki ni vyema ukaingia kwa tahadhali kubwa huenda Mimi naamini uzoefu huu ninao utoa utasaidia kuokoa mamilioni ambayo huenda yangeweza kupotea kwa kasoro ambazo ungezisoma hapa ,tusiwe wepesi wa kutukana mwendelezo unapochelewa ujue watu tuko Poli tunasaka noti ITAENDELEA.
Asante sana kwakukosa shukuraniKwa huu mwandiko lazima upate hasara..!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa mkuu ndio utunyime mwandiko wenye Aya....
Asante sana kwakukosa shukraKwa huu mwandiko lazima upate hasara..!!
Nitajitahidi next timeKila ai
Na ya kilimo ni HASARA tuu mpaka kilimo cha watoto ukikaa vibaya huko mbeleni umaweza waza na kusema hivi kwanini nili lima watoto wengi hivi, boora wangekuwa wawili tuu. Inshort maisha magumu sana.
😄😄Sukuma moja hiyo,huyu ni msukuma kabisa.
Nimekoma maana nimetukanwa mpaka nimejiziraUna hoja, unafaa kusikilizwa..
Ila naomba uandike Kwa summary..!
Maana maneno Mengi...utasema hauongelei kitunguu hiki ninachokijua!
Ushawahi kulimaKilimo cha kitunguu kinaweza kukufanya tajiri ndani ya miezi 3 tu au kurudi 0 kwa miezi 3.
Kitunguu kikubwa (grade 1 huwa inafika inachezea 230k, 240k, 250k, 270k & 300k kwa gunia za Samia au magufuli
Grade 2 (Chenga) huwa ni 150k hadi 170k
Grade C (Utumbo) ni 60k mpk 70k
Grade D (Ngadala) ni 20k mpk 30k kwa gunia ya samia au magufuli.
Bei hizi ni za mwaka 2024 (Singida). Kuanzia mwaka 2023 mpk 2024 waliobahatika kuvuna vizuri vitunguu, wamepiga hela
Njoo tukalime,wakulima tupo 😄Chaliifrancisco kajaribu alizeti Simanjiro pofu na digidigi wakabakia kuyala akabakia kuwaua na kula nyama badala angekomaa tu kuchunga mbusiii longido.
Wapi huko? Morogoro?Njoo tukalime,wakulima tupo 😄
Ova