Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Nyanya Lima off season hapo unapiga pesaNi kweli kabisa mkuu, tumekuwa tunalima kwa mazoea sana. Yaani kila mmoja mahindi au mbaazi. Mimi kuanzia msimu ujao nitaanza kufocus na kilimo cha high valuable crops kama maharage, vitunguu na nyanya. Najua yana changamoto nyingi sana lakini nitapambanazo.
Ah ah apo kwenye kulinda unakuwa na bati au dumi akiwa anakuja kwenye shamba unapiga maana Tembo apendi kelele lkn inabidi muwe kuanzia watu watutu na kuendelea maana ukiwa mmoja unakuwa mfu mtalajiwaHii nayo point. Ishhu nayo kulinda ni utata
Nipo hapaWadau kama kichwa cha topic kinavyosema, shauku kubwa la mim kuja hapa ni kutaka kupeana uzoefu wa kilimo cha vitunguu maji kw misimu ya hiv karbun kutokana na nyuz zlzomo jukwaani kuwa za miaka mingi iliyopta mfn 2010! Mambo yamebadlika Sana kipind kile unakuta mtu anazungumzia kuuza gunia kwa elfu 60;
Karibuni kwa michango
1. Aina ya mbegu inayotoa vitunguu vizur vya saiz ya Kati
2. Gharama ya mbegu za kutosha hekari moja
3.Gharama ya uendeshaji
4.Changamoto.
5.Makadrio ya mapato yazingatie misimu ya mauzo ya wastan tustamanishane kwa kutajiana Bei kubwa kumbe uhalisia haupo vile.
N:B Niko sehemu inamito isyokauka na mashamba na miliki mwenyewe ispokuwa wenyeji wamebweteka hakuna aliyeiona hii fursa! Kusini kumenoga.
Karibuni kwa mawazo.
Tembo wa kule wameshindikana mpaka wanatumia askari kwenda kuwafukuza Kwa bunduki. Hapo ndio una fika unatamani bwana AK arudie tu kufanya kazi yake 😂😂 ili wapungueAh ah apo kwenye kulinda unakuwa na bati au dumi akiwa anakuja kwenye shamba unapiga maana Tembo apendi kelele lkn inabidi muwe kuanzia watu watutu na kuendelea maana ukiwa mmoja unakuwa mfu mtalajiwa
Nyuki wanafaa hata kwa kuzuia ngedere? Kuna sehem nmelima wananitesaDawa ya Tembo ni mizinga ya nyuki tu
Yanauzwaje mkuuSongea mashamba meng Kaka hata ukihtaj leo unapata
70 kukodi kununua kias ganHayajafwekwa Bei kuanzia 70 kwa hekari
70 ni kununua70 kukodi kununua kias gan
Kununua kias gan mkuu nyangabo70 ni kununua
Wastan wa elf 70 mkuuKununua kias gan mkuu nyangabo
KUNUNUA AU?Wastan wa elf 70 mkuu
Ndio shamba kununua elf Sabin kwa heka ambalo halijafyekwa na lllofyekwa hata kw laki na nusu wanakuuziaKUNUNUA AU?
Kijiji gani hiko? Nitakuja kununua heka 15 kama bei ndio hioNdio shamba kununua elf Sabin kwa heka ambalo halijafyekwa na lllofyekwa hata kw laki na nusu wanakuuzia
Nimependa Kuna. Rafiki yangu alilima hekaa 4 alitumia 12mil kaja kuvuna 60mil1. Mbegu nzuri: red bombay
2. Gharama ya mbegu heka 1: 300k
3. Gharama ya uendeshaji kwa heka: 1.5
million ikiwa shamba la kukodi, kulima,
mbolea, madawa kumwagilia, kuotesha
n.k)
4. Changamoto
●Wadudu,
●ukungu,
●uhaba wa mvua (kwa wanaotegemea mvua)
●Magonjwa
●Sio kila eneo unaweza kusitawisha
vitunguu ukapata mazao mazuri
5. Wastani wa bei kwa gunia la debe 6: 70k mpaka 400k (inategemea na msimu
mfano mwaka huu e gunia hadi
400k)
Heka 1 inaweza kutoa hadi magunia 100 ikitunzwa vizuri
Njoo kijijini kwetu makongamkuu kusini upo sehemu gan me npo newala ila nmeishi sana kilosa morogoro sehemu ambayo wanalima sana vitunguu
Duh! Kumbe kulima vitunguu ni gharama sana kiasi hicho? Yaani ni kama milioni 3 kwa heka! Au hapa namba zimeongezwa?Nimependa Kuna. Rafiki yangu alilima hekaa 4 alitumia 12mil kaja kuvuna 60mil
Nami nasubiria jibu ya hiliDuh! Kumbe kulima vitunguu ni gharama sana kiasi hicho? Yaani ni kama milioni 3 kwa heka! Au hapa namba zimeongezwa?
Watu wanapenda sana kuwakatisha tamaa wakulima wapya. Yaani kivipi utumie milioni tatu kwa heka?Nami nasubiria jibu ya hili
Ys kilimo Cha horticulture ni extensive sanaWatu wanapenda sana kuwakatisha tamaa wakulima wapya. Yaani kivipi utumie milioni tatu kwa heka?