Ukitumia mbegu nzuri vinauwezo wa kukaa mpaka mwezi wa nne. Inamaana ivo unavoviona miezi ya nne ni stock ya kuanzia mwezi wa 10 na 11. Kwahiyo siri kubwa ya ukaaji wa kitunguu store ni mbegu nzuri kwani kitunguu kinakua na layer nyingi hivo kuweza kustahimili muda wote huo.
Vitunguu vinakubali maeneo mengi tu hapa nchini kwetu, kikubwa ni kuhakikisha udongo sio ule wa kuhifadhi maji kwa muda mrefu kwani ikiwa utakua unahifadhi maji mengi basi utakuta kitunguu kinanawili majani tu ila tunda lenyewe haliongezeki kitu. Kwahiyo kujibu swali lako "kitunguu kinahitaji udongo wenye rutuba, eneo linalopata jua zuri na maji ya uhakika yawepo"
mapinga kitunguu kinastawi?
Mkubwa nina maswali mengi?....Tokea uanze kushughulika na kilimo cha vitunguu ni changamoto gani umekua ukipata katika biashara hiyo???
Aisee! Kumbe! Jamaa mwezi wa nne wamelamba pesa nzuri sana Dar, 160,000/= Kwa gunia. Ukiwa na magunia 300 Kwa ekari 4 hapo unakuwa milionea ghafla.
Ndio kuna bwawa lina maji mengi tu karibu na shamba. Je una interest ya kulima na wewe?
Sina ufahamu na eneo hilo.
kwahiyo bwana Joseph hicho kilimo unafanyia dar au mikoan? nitakupm
Hii ndo gold ya mkulima, ila niko na maswali machache. Umeelezea vizuri ila hukufafanua/hukutoa mchepuo wote, yaani garama ya mbegu, garama za kutayalisha shamba na utunzaji wa shamba hadi kufikia kuvuna
sasa naomba utupe ufafanuzi ukizingatia point nilizoweka hapo juu
Shukrani
mkoani ndo nalima acre nyingi kidogo kama 12 ivi ila bagamoyo nililima only acre 4.
bagamoyo ulichmba kisima?au unatumia nn kumwagilia?