Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Hivi ni vikao vipi tualikane na tuambizane mkuu!
 
kwenye website ya kenyan seed wameweka hizi taarifa. inawezekana watu mavuno yanatofautiana sababu ya aina ya kitunguu unacholima. pia mtu anaweza sema kalima eka kumbe nusu. eka hauwezi kuipima kwa macho hata siku moja. nina 2.2 acres nataka nijaribu hiki kilimo mwezi wa saba.
[TABLE="width: 550, align: left"]
[TR]
[TD]
Variety
[/TD]
[TD]
Planting spacing (cm)
[/TD]
[TD]
Maturity in days
[/TD]
[TD]
Average yield/acre in kg
[/TD]
[TD]
Ideal climate
[/TD]
[TD] Special attributes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Red Passion F1​
[/TD]
[TD]
30 x 10/ 30 x 5​
[/TD]
[TD]
120​
[/TD]
[TD]
25,000​
[/TD]
[TD]
Cool and wet​
[/TD]
[TD]
  • Deep red hybrid onion
  • Very good drying and keeping quality
  • Tolerant to pink rot diseases
  • Produce good onions
  • Uniform maturity
  • Easy manage
  • Can store for upto 6 months
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Red Creole​
[/TD]
[TD]
30 x 10/ 30 x 5​
[/TD]
[TD]
150-180​
[/TD]
[TD]
10,000​
[/TD]
[TD]
Warm and hot​
[/TD]
[TD]
  • Attractive shaped red onion
  • Good storage qualities
  • Tolerant to Pink rot disease
  • Easy to manage
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Bombay Red​
[/TD]
[TD]
30 x 10/30 x 5​
[/TD]
[TD]
120-150​
[/TD]
[TD]
6,000-7,000​
[/TD]
[TD]
Warm and hot​
[/TD]
[TD]
  • Globular shaped deep red onion
  • Provides good grade onions
  • Dries well
  • Widely grown
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Texas Grano​
[/TD]
[TD]
30 x 10/30 x 5​
[/TD]
[TD]
150​
[/TD]
[TD]
12,000​
[/TD]
[TD]
Cool and warm​
[/TD]
[TD]
  • The ideal ‘grano’ type onion
  • Straw coloured outer skin and white inner flesh
  • Mild tasting. Ideal for salads
  • Easy to grow and widely adapted
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
hiyo red passion f1 inaonekana ni noma. wanasema average kwa acre ni kilo 25,000! wakati red bombay ni kilo 7,000 na creole 10,000.
 
jamaa wamekadiria 10,000kg kwa ekari na si hekta. utaona kwa gunia za 100kg gunia 100 zinafika. kumbuka hiyo ni average.
 
Viongozi nataka nimwage mbolea ya samadi shambani kwa ajili ya vitunguu, vipi inafaa?
 

unapanga kulimia wapi mkuu?
 
Aisee hongera sana mossad007.
Mimi binafsi nalima kitunguu ndo nimeanza mwaka huu 2015 maeneo ya mtandika ndani huko kuna kijiji kinaitwa nyanzwa.

Evaluation uliyoitoa ipo sahihi kabisa. binafsi nimekutana na changamoto kama. umbali maana kutoka barabarani mpaka huko kijijini ni kama 45km. na hamna usafiri reliable. lipo tuu gari la kijiji ambalo huondoka saa 11 asubuhi kijijini na hurudi saa 11 jioni.

pia ni sehem ambayo hamna network wala umeme wa tanesco.
pia nafanya remote monitoring ivyo kwa huo umbali usimamizi sio mkubwa sana ila nashukuru MUNGU nina watu wa kuaminika katika hili. cha muhimu tuu ni umakini wa kitunguu mwanzo mpaka mwisho.

Plan yangu ni kusogea barabarani msim ujao maana maeneo kama ruaha mbuyuni mashamba hayapo mbali na barabara kiasi ambacho inakuwa rahisi kufanya usimamizi.
ndugu yangu massod007 naomba uni PM nipate namba yako kwa msaada zaidi.

pia mwenye kufaham wapi kinalimwa kitunguu swaumu anitaarifu.
thanks much
 
Nimesoma views na mimi nimefaidika sana. shukrani wote.

Mimi pia nipo dar heb malila naomba uni PM nijue mnakutana wapi na lini.
Vile vile natafuta sehemu wanazolima vitunguu swaumu nikafanye survey. mimi binafsi pia nalima vitunguu maji maeneo ya mtandika mbele ya Aljazeera. kijiji kinaitwa NYANZWA.

tatizo sema ni mbali na barabarani ila kitunguu kinatoka vizuri tuu na kule.
 
wakuu najua mada ni vitunguu, ila nahitaji msaada kuhusu kilimo cha matango, mwenye experience ama ushauri naomba tuongee nambari 0717584992, nataka kulima Mlandizi, Pwani.
 
Kama wewe ni mkulima na unafanya kilimo jiunge nasi wakulima wenzako 0717269137 whatsapp
 
Ungekua uko dar ingekua rahisi kwangu kukuelekeza, ila hakuna shida nenda hata SIDO hapo mbeya watakusaidia. Unawaambia unataka pump ya inch nne na inayotumia diesel. Manake kama wananchi wanaweza isuka basi kwa sido sio tatizo kabisa.
Mkuu niko DSM nazipata wapi pump za kusukwa
 
Wakuu habarini! nipo Dar kwa yeyote mwenye kufahamu wanapouza pembejeo za kilimo kama vile madawa,mbolea n.k kwa bei ya jumla.
 
Naomba kujuzwa gharama za kilimo cha vitunguu kwa heka moja wadau, kwa Iringa na Kilimanjaro

Nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…