Nitakupa tips chache ninazozifahamu mkuu
Kitunguu kinahitaji maji mengi wakati wa kustawi but kinapoanza kukomaa hakihitaji maji mengi. Wakati wa kuvuna kitunguu hakitakiwi kigusane na maji kikigusana kitaoza
Sasa bas sijui mkoa ulipo na mvua za masika zinaanza mwez gani
Ila ukivivusha mkuu vitakutoa maana bei yake kati sh 120000 ~180000 kulingana na eneo uliko
Mimi nategemea kupanda next week
Bei imeshashuka saiv kila mtu analima.Nitakupa tips chache ninazozifahamu mkuu
Kitunguu kinahitaji maji mengi wakati wa kustawi but kinapoanza kukomaa hakihitaji maji mengi. Wakati wa kuvuna kitunguu hakitakiwi kigusane na maji kikigusana kitaoza
Sasa bas sijui mkoa ulipo na mvua za masika zinaanza mwez gani
Ila ukivivusha mkuu vitakutoa maana bei yake kati sh 120000 ~180000 kulingana na eneo uliko
Mimi nategemea kupanda next week
Bei imeshashuka saiv kila mtu analima.
Gunia elf 40 now full hasara.
Mkuu byakuzana
Mi niko tabora
Vp ww uko mkoa gan
Ni risk zipi unazipata uanzapo kulima miezi ya September hadi february? Je unafanyaje kukabiliana na hizo riskMisimu inatofautiana kutokana na maeneo.
Mfano kwa Ruaha msimu unaanza March hadi july. Sasa wewe anza kulima kuanzia september hadi february japo ni risky.
Ni risk zipi unazipata uanzapo kulima miezi ya September hadi february? Je unafanyaje kukabiliana na hizo risk
Ni risk zipi unazipata uanzapo kulima miezi ya September hadi february? Je unafanyaje kukabiliana na hizo risk