Wadau nimejaribu kufuatilia taarifa mbalimbali za kilimo cha zao tajwa hapo juu. Kwa sasa nahitaji kupata maarifa kadha wa kadha kuhusu kilimo cha zao hili. Maswali yanayogonga kichwani mwangu ni;
1. Kwa uptodate data, wapi naweza kupata mbegu kwa uraahisi
2. Mbegu kiasi gani (kilo ngapi, au gunia ngapi zinatosha kwa ekari moja
3. Mbegu hizo zinapatikana kwa bei gani kwa sasa.
Nimejaribu kufuatilia mtandaoni, lakini posts zingine ni za miaka ya nyuma ambayo inaweza isiwe realistic kwa sasa hivi 2018 TZ ya Magufuli
Karibuni wazoefu.