Mkuu ulifanikiwa kutoa kitunguu January? Vipi Bei yake ilisimamaje? Nataka nianze mkulima ili nije kutoa hiyo miezi ila natamani kujua bei uwa kwa kipindi hiko zinakuwajeNina mzigo utatoka January kama gunia 200 ntakucheki wakati ukifika
Bei ya vitunguu hsifanani, msimu wa mvua bei iko juu sana na miezi kuanzia April hadi June.Mkuu ulifanikiwa kutoa kitunguu January? Vipi Bei yake ilisimamaje? Nataka nianze mkulima ili nije kutoa hiyo miezi ila natamani kujua bei uwa kwa kipindi hiko zinakuwaje
umeshapewa direction unataka upewe nn ,funga safari nendaMalila unaweza kunipa mwanga kidogo kuhusu bei za hayo maeneo ya Ruaha na hayo mengine kama unafahamu. Nataka nikasurvey na angalau kabla sijaenda huko nijue bei ya kununua kwa eka au ya kukodi kwa eka.
Kilimo Kwanza!
Realtor
Jaribu Mang'ola kaka, Iringa kuna maeneo wanalima sana vitunguu pia-nimesahau ni kijiji gani along BY road.
Kilimo Kinalipa.
Mkuu unachosema kinaweza kuwa kweli mimi nikijana wa 20+ ila nimelima misimu mitatu katika Mkoa wa Dodoma nachoweza kusema Jambo lolote la kuleta mafanikio lazima ulilinde maana husda ya binadamu katika maisha yetu ni KUBWANililima mang'ola kijiji cha kisiriri mwaka 2010 mzee mmoja akaniambia mwanangu umetoka chuo huku hatulimagi kwa kufuata elimu njoo nyumbani nikupe dawa uwekee uzio shamba lako na kwa vile shamba lako liko njiani watu wenye macho mabaya watahamisha mazao hutopata kitu, basi nikamshirikisha jamaa yangu tuliyekua tunafanya naye hiyo project akaniambia nimesomea kilimo Mimi ni mtaalamu hapo tuzingatie madawa, mbolea maji hachana na mambo ya kishirikina basi mzee nikamtolea nje akaniambia hili shamba mkilikinga mtatoa scania mbili na nusu ila mkipuuza hamtopata kitu, ebwana we kuja kuvuna tulipata gunia kumi, next year nikasema sikubali nikaenda kwa mzee mmoja milimani huko akanipa dawa nililima mahindi sio vitunguu manake kule ilikua ukikodisha shamba la kulima vitunguu unapovuna unaweka mahindi, nilfuata vigezo na masharti aisee alikuja jamaa na fuso nikamuuzia mahindi mabichi ekari sits, nilivyokunja pesa nilisepa nimevaa pensi na vesti niliacha begi na kila kitu, manake kule walikua na msemo kua mgeni hata aje na mil 500 tutamfirisi hadi akose nauli ya kurudi alikotoka so nilisepa kama nipo around vile sikubeba chochote zaidi ya mapene, mang'ola wale wambulu, mang'ati na wanyiramba Wa kitongoji cha kisiriri niliwavulia kofia kwa uchawi, na historian ya hicho kitongoji cha kisirri ni kijiji kipo iramba huko so wale wachawi waliofukuzwa iramba ndo wakaja kukaa hapo mang'ola na kuliita hill eneo kisiriri.
Pamoja na maeneo yote yaliyotajwa hapo juu, jaribu Kiloosa maeneo ya Mzaganza hadi Mpwapwa Dodoma. Kila la kheri!
Dodoma vitakubali ni mvua tuu mkuu!NIMEJARIBU KILIMA VITUNGUU SUMU DODOMA!?
HEKARI 49 SIJUI KAMA TUTAFANIKIWA....
JAPOKUWA TUNAFANYA MAJARIBIO
Dodoma ni kame,nipo Dodoma pia Ardhi yake Ina rutuba ni maji tuu ndio shida kila zao linakubali!HAPO WALAU AKALIME NA SISI TUNAENDA KULIMA