Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,262
- 1,773
Mkuu,
Mie simu yangu na email huwa ipo hapa maana ni moja ya kazi zangu kuunga wafanya biashara wa Poland na Tanzania.
Hivyo jisikie huru kuniandikia kuangalia kama utaweza kuifanya biashara hiyo pamoja na nyingine nyingi.
EMAIL: Ssambali@hotmail.com
Tel: +48503535735
Jamani nauliza bei ya ufuta kwa kilo ikoje? Samahani kwa usumbufu