Nilifanya kilimo eneo la wilaya ya masasi mtwara . Nw changamoto kubwa ua mwaka huu ni kutokanama na kwamba watu wengi sana walilima na hii ni kutokama na bei nzuri ya mwala jana. Changamoto ni kuwepo kwa gharama nyingi za maandalizi mpaka siku ya mwisho ya kuuza unatumia pesa. Mfano unahitaji kuwa na shamba kufyeka 60,000 kwa ekari kung'os visiki 30,000 kwa eka kulima 60,000 kwa eka kupanda 15,000 kwa eka kupalilia 20,000 kwa eka upuliziaji dawa 15,000 kwa ekari dawa ya kuua wadudu, dawa ya kukuzia 20,000 kwa ekari dawa ya kuua magugu kabla ya kulima 15,000*2 kwa eka na gharama nyingine za upepetaji ufuta nk. Na mwisho ni changamoto ya bei pis inabidi kuwa mwangalifu katika kuacha nafasi kati ya shina na shina na mwisho ni bei ya kuuzia ambayo inayumba sana kutegemeana na soko.