Kilimo kinalipa? au niwaze mambo mengine!

Kilimo kinalipa? au niwaze mambo mengine!

Dogo mawazo yko mazuri kilimo kinalipa kahawa na ndiz ni mazao yatakayochukua mda mrefu na utunzaji wahitajika...
Hakikisha unatumia kilimo cha kisasa

ubarikiwe.
 
wana jf salam.
mimi ni kijana ambaye nategemea kuingia mtaani siku chache zijazo(nipo kdt cha 6)

kati ya sekta ambazo nafikiria kuwekeza ni katika kilimo kwani baba alipoondoka ardhi ndo rasmali kubwa aliyoiacha.

kutokana na kwamba nililelewa dar nina ufaham mdogo sana kuhusu kilimo ndo maana imenibidi kuwauliza ndugu zangu ili nijue la kufanya mara tu ninapomaliza elimu yangu ya sekondari na nitakapokuwa naendelea na elimu ya juu.

mashamba hayo yapo mkoani kagera wilaya ya ngara hivyo anayefahamu kuhusu kilimo hasa kwa maeneo husika naomba unifahamishe ili nijue la kufanya,

natanguliza shukurani.

Kiujumla Kilimanjaro kinalipa kikifanyika kitaalamu. Lakini ngara na dar es salaam, ni sawa na ahera na dunia, ni full majanga!
 
Kilimo kinalipa sana hakuna biashara yenye ROI kubwa Kama Kilimo mkuu.Fanya utafiti utanambia kwa hili,hulipi kodi,pembejeo unauziwa bei Sawa na bure sasa si super profit hiyo Mungu akupe nini

Are you serious pembejeo ni bei sawa na bure?!!
 
Kilimo kinataka full participation na uwe na kipato kingine nje ya kilimo ili kukabili up and downs za kilimo. Kwenu Ngara kuna tatizo la manpower, migomba ndio hiyo inaliwa na ugonjwa, kahawa inayumba yumba ktk soko, sina hakika na kasheshe za Vanilla. Mazao mengine balaa liko ktk masoko huko kwenu. Sijui ardhi yenu ni kubwa kiasi gani, unaweza jaribu kufuga kienyeji wakati huu unaposoma.

Kama ungekuwa unaishi kule kule Ngara ningekushauri ukomae na kilimo, lakini kama utalima kwa njia ya simu, unaweza pata ugonjwa.

Uko wapi Malila
Nije kula shule ya kilimo na ufugaji kuku
 
Uko wapi Malila
Nije kula shule ya kilimo na ufugaji kuku

Niko mkoani Lindi naangalia fursa za huku. Unajua kila siku lazima kujifunza. Huku kuku wa kienyeji wanauzwa bei ndogo, na hata mbuzi wanauzwa bei ndogo.
 
Niko mkoani Lindi naangalia fursa za huku. Unajua kila siku lazima kujifunza. Huku kuku wa kienyeji wanauzwa bei ndogo, na hata mbuzi wanauzwa bei ndogo.

Unatisha mkuu!
Sikupatii picha miaka 10ijayo utakuwaje kiuchumi!
Utarudi lini dar nakuhitaji sana
 
Hongera kwa mawazo ya kimapinduzi amini usiamini kilimo kinalipa sana alimradi tu usimamie kwa ukaribu sana ndio maana sasa wawekezaji wanakamata ardhi. Jaribu kuzalisha avocado pears grafted siku hizi zina soko kubwa sana hata nje kwani zinatumika pia kutengeneza product nyingi mbali na kuliwa kama tunda, kikubwa ni uzalishe kwa wingi

Sasa mda wa kuvuna ufike c yupo mwaka wa mwisho chuo?
Mpe kijana ushaur cha kufanya akisubir matokeo
 
Ha ha ha

Tukaribishane kwenye hiyo chai

Sio utani dada,

Kila mwaka sisi tunaootesha miti huwa tunakutana mara moja,kisha tunapeana taarifa za maendeleo, sasa huwa tunaita chai day kwa sababu siku hiyo huwa tunakunywa chai tu ili tuweze kusikilizana vizuri. Kuna watu wakinywa maji ya Ilala, huwa wanahama tune. Kwa hiyo kwa masaa manne ni chai,kahawa,maji,soda basi. Karibu.
 
Ngoja nitafute hela nilime na kuanzisha biashara ili iwe back up ya kupata hela za kuendesha shamba
 
Back
Top Bottom