superdove
New Member
- Mar 3, 2019
- 1
- 0
Habari za mida wana JF,
Kuna baadhi ya makabila wao kwao ni mwiko wanawake kuchuma mboga, kuingia bustanini, au mashambani wanapokuwa katika Ada ya mwezi(hedhi). Wengi hudai kuwa mazao yanaharibika ama yatavamiwa na wadudu waharibifu au kunyauka kabisa na wakati mwingine kupunguza mavuno.
Huko kwenu Jambo hili linaeleweka vipi? Hali kwenu ikoje? Je Kuna ukweli wowote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna baadhi ya makabila wao kwao ni mwiko wanawake kuchuma mboga, kuingia bustanini, au mashambani wanapokuwa katika Ada ya mwezi(hedhi). Wengi hudai kuwa mazao yanaharibika ama yatavamiwa na wadudu waharibifu au kunyauka kabisa na wakati mwingine kupunguza mavuno.
Huko kwenu Jambo hili linaeleweka vipi? Hali kwenu ikoje? Je Kuna ukweli wowote?
Sent using Jamii Forums mobile app