Kilimo ndiyo kazi pekee Mungu alituagiza tufanye ili tuishi

Kilimo ndiyo kazi pekee Mungu alituagiza tufanye ili tuishi

Kilimo ni agizo la mwenyezi Mungu hakika nawambia
kilimo ndiyo njia pekee ya kujipatia chakula hatupaswi kukikimbia
Asiyejua kupanda atakula kwa tabu sana na zikizidi atakimbia
Kama hulimi ujue unamkaidi Mungu kweli nawambia

Pamoja na kwamba ww ni mjinga mjinga, lakini kwa hili la kazi ya kilimo uko sahihi. Kazi ya kilimo ndio pekee unaweza kufanya ukiwa na umri wowote ili mradi ni mzima bila kulazimishwa kistaafu.
 
Kilimo ni agizo la mwenyezi Mungu hakika nawambia
kilimo ndiyo njia pekee ya kujipatia chakula hatupaswi kukikimbia
Asiyejua kupanda atakula kwa tabu sana na zikizidi atakimbia
Kama hulimi ujue unamkaidi Mungu kweli nawambia
Ni Kweli Mali inapatikana shambani.

Mkumbuke BWANA Mungu wako, maana Yeye ndiye akupaye nguvu za kuwa TAJIRI. (Kumbuka 18:17.) Hapo inaongelewa Biashara.

Bt usisahau ardhini Mungu Ameweka madini mbalimbali, lazima yachimbwe, nyumba lazima zijengwe watu waishi ndani yake.

Ameweka samaki baharini, lazima wavuliwe nk nk.

All in all KILIMO ndo backbone ya chumi nyingi duniani.
 
Pamoja na kwamba ww ni mjinga mjinga, lakini kwa hili la kazi ya kilimo uko sahihi. Kazi ya kilimo ndio pekee unaweza kufanya ukiwa na umri wowote ili mradi ni mzima bila kulazimishwa kistaafu.
You are either pregnant or not pregnant; you cannot be somehow pregnant. Ila hata siku moja sitoi mawazo yangu kwa kutegemea kuungwa mkono kwa sababu naheshimu sana uhuru wa mtu kutoa mawazo yake
 
Ni Kweli Mali inapatikana shambani.

Mkumbuke BWANA Mungu wako, maana Yeye ndiye akupaye nguvu za kuwa TAJIRI. (Kumbuka 18:17.) Hapo inaongelewa Biashara.

Bt usisahau ardhini Mungu Ameweka madini mbalimbali, lazima yachimbwe, nyumba lazima zijengwe watu waishi ndani yake.

Ameweka samaki baharini, lazima wavuliwe nk nk.

All in all KILIMO ndo backbone ya chumi nyingi duniani.
Mkuu u wapi uhusiano kati ya utajiri na biashara? si uoni
 
Mkuu u wapi uhusiano kati ya utajiri na biashara? si uoni
Ukilima mazao mengi, ukatunza ghalani, ukiyatoa yaende sokoni wakati wa njaa BIASHARA itahusika, ukipata pesa mingi na kuwekeza UTAJIRI u mlangoni.

Vinahusiana.
 
You are either pregnant or not pregnant; you cannot be somehow pregnant. Ila hata siku moja sitoi mawazo yangu kwa kutegemea kuungwa mkono kwa sababu naheshimu sana uhuru wa mtu kutoa mawazo yake

Ni kweli maana ww ni khanithi fulani.
 
Ukilima mazao mengi, ukatunza ghalani, ukiyatoa yaende sokoni wakati wa njaa BIASHARA itahusika, ukipata pesa mingi na kuwekeza UTAJIRI u mlangoni.

Vinahusiana.
Mungu hakusema hivyo
 
MITHALI 4:13.

Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;
Mshike, maana yeye ni uzima wako.
Elimu ni jambo zuri sana. Yeyote aikataae au aipingae elimu basi ni sawa na mfu. Hata kilimo ili uweze kukimudu na kiwe na tija, basi ni lazima uwe na elimu. Mkulima aipingae elimu basi ni aidha mjinga au ni mpumbavu. Kilimo ndio msingi wa kwanza wa maendeleo wa mtu au jamii yeyote ile duniani. Historia inatuambia watu wa kwanza kuendelea ni wale walioanza kulima kwanza. Hata leo walioendelea ni wale waliobobea kwenye kilimo na kujitosheleza kwenye chakula. Katika dunia ya leo ambayo kilimo ni biashara, wenye afya njema ni wale wenye uhuru wa kilimo.
#Proudlyfarmers #Wakulimatujivuniao
 
Kilimo ni agizo la mwenyezi Mungu hakika nawambia kilimo ndiyo njia pekee ya kujipatia chakula hatupaswi kukikimbia

Asiyejua kupanda atakula kwa tabu sana na zikizidi atakimbia. Kama hulimi ujue unamkaidi Mungu kweli nawambia
kilimo (farming) ni model/kielelezo cha shughuli yoyote halali impasayo mwanadamu. Ukitumia kielelezo cha kilimo unaweza kuelezea muundo msingi wa shughuli yoyote ya kibinadamu; mfano kilimo kina hatua hizi: kuandaa shamba, kupanda, kupalizi, kumwagilia, kulinda mazao, kuvuna na mwisho kuuza au kutumia ukichopanda. Shughuli zote za kibinadamu zina muundo msingi huo.

Wewe ungevaa nini kama pasingekuwepo mshonaji wa mavazi?!
 
kilimo (farming) ni model/kielelezo cha shughuli yoyote halali impasayo mwanadamu. Ukitumia kielelezo cha kilimo unaweza kuelezea muundo msingi wa shughuli yoyote ya kibinadamu; mfano kilimo kina hatua hizi: kuandaa shamba, kupanda, kupalizi, kumwagilia, kulinda mazao, kuvuna na mwisho kuuza au kutumia ukichopanda. Shughuli zote za kibinadamu zina muundo msingi huo.

Wewe ungevaa nini kama pasingekuwepo mshonaji wa mavazi?!
Mkuu kuuza mazao siyo mpango wa Mungu HAYO NI YENU TU. Unalima unamuuzi a nani wakati kila mtu amejilimia kila anachohitaji?
 
Mkuu kuuza mazao siyo mpango wa Mungu HAYO NI YENU TU. Unalima unamuuzi a nani wakati kila mtu amejilimia kila anachohitaji?
Hii ndo siasa kwenye KILIMO sasa.

Una shamba la kulima Kila unachohitaji?
 
Hii ndo siasa kwenye KILIMO sasa.

Una shamba la kulima Kila unachohitaji?
Sijui una umri gani ila napenda nikwambie una kula kile mazingira yako yanaweza zalisha ndiyo maana kwa mhaya ugali wanafaka siyo chakula kama ilivyo kwa msukuma na mkerewe hawezi kula samaki wabaharini. kwa muktadha huo mtu hawezi kutamani ndizi ikiwa mazingira yake hayaruhusu kulima ndizi
 
Sijui una umri gani ila napenda nikwambie una kula kile mazingira yako yanaweza zalisha ndiyo maana kwa mhaya ugali wanafaka siyo chakula kama ilivyo kwa msukuma na mkerewe hawezi kula samaki wabaharini. kwa muktadha huo mtu hawezi kutamani ndizi ikiwa mazingira yake hayaruhusu kulima ndizi
Hapo ndo biashara inapoanzia kwenye KILIMO.

Unauza kdg ulichonacho Ili upate pesa ya kununua usichonacho.
 
Hapo ndo biashara inapoanzia kwenye KILIMO.

Unauza kdg ulichonacho Ili upate pesa ya kununua usichonacho.
Kama ni hitaji la lazima- tunabadirishana
 
Back
Top Bottom