Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu kisicho na changamoto? Hata kuomba pesa ni changamoto, hata kumtegemea mtu ni changamoto maana inabidi umnyenyekeee na kujipendekeza.Msidanye watu KILIMO kina changamoto nyingi kuanzia kulima hadi kuuza baada ya kuvuna
Ni kweli aisee..
Mwaka Jana nimelima heka moja ya vitunguu na jumla gharama nilitumia 1,700,000/= nikafanikiwa kupata gunia 72 ambayo kila gunia niliuza kwa 90,000/= sawa na tsh 6,480,000/= ukitoa gharama zangu unapata baki ya tsh 4,780,000/= Nilipotoa gharama zangu zote nyingine kama usafiri na chakula nilipokuwa shamba nikabakiwa na 4,300,000/= Nilitumia miezi minne mpaka kuvuna na approximation ni kama kila mwez niliingiza 1 million. Ni kiasi kidogo na ni kikubwa pia.
Tujifunze kuwekeza shambani
Kuweni makini kuna watu sio wa kweli hata Kama Ni rafiki yako. Ekari moja ya kitunguu itoe gunia 113?!! Na bei ya shambani 90,000!! Usije kuja kuwa disappointed. Mwambie aseme ukweli maana kuna watu hawataki kuonekana kuwa wamepata hasara
UmenikunaKujifanya mnajua research sana ndo kunawafanya muwe maskini. Watu wanaongelea ushuhuda bado unataka afanye research tena theoretically??? Ili approve nini wakati tayari ameshafaya pratically??
Tatizo letu vijana tunakuwa sio risk takers! Na lazima tujue the mkre risk you take the more reward you are likely to get!
Sasa mkikutana na waoga kama jawa wanaoogopa kuthubutu na mkawasikiliza mtajikuta mnazeeka maskini na sio katika kulima tu, katika kila biashara watu wa namna hii wapo. Mtu anakwambia mimi nina boda boda yangu na napiga hela kiasi flan kwa mwezi, badalaya kumuuliza unafanye upate hela kama hiyo unaanza kumwambia pikipiki nikinunua itapata ajali! Hawa watu wa type hii ni wa kupuuzwa kabisa!
Mimi nawahakikishia hela ipo kwenye kilimo na ni uhakika sana. Ukichemka msimu wa kwanza msimu ujao unatusua. Cha msingi ni kuwauliza wanaofanikiwa wanapitia njia zipi na sio kuwaambia ukilima mazao yatakauka mvuahaitanyesha.
Achamaneno andaa shamba alafu uvune tuone yakikosa soko sasa!
Wat u say s ver true mm nmemaliza chuo mwaka juz mwaka jana may nikabahatika kupata ajira mbeya serikalin lkn baada ya muda tulisimamishwa kupisha ukaguz wa wafanyakazi hewa na sasa ni mwaka unaenda hatujarudishwa kazin lkn kule mm nilikutana na fursa ya kilimo cha vitunguu huwez amin nilichangamkia fursa sasa hiv ninavyoongea nakaribia kuvuna na nahisi kilimo ndo kazi yang sitaaka tena ajira![]()
Okay. Naona unamawazo madogo sana na unafikiria kwamba mpka upate makubwa ndio ujihesabie umejipanga hii itakusumbua sana.WAJINGA NDIO WALIWAO NANI KAKUAMBIA BOOM LINATOKA KILA BAADA YA MWEZI KAFANYE TAFITI URUDI UPYA
Uko wapi mkuu! Mana nami Niko MBEYA pia!Wat u say s ver true mm nmemaliza chuo mwaka juz mwaka jana may nikabahatika kupata ajira mbeya serikalin lkn baada ya muda tulisimamishwa kupisha ukaguz wa wafanyakazi hewa na sasa ni mwaka unaenda hatujarudishwa kazin lkn kule mm nilikutana na fursa ya kilimo cha vitunguu huwez amin nilichangamkia fursa sasa hiv ninavyoongea nakaribia kuvuna na nahisi kilimo ndo kazi yang sitaaka tena ajira![]()
Mm nmelima Mbeya sehemu inaitwa ilongo mashamba yapo muda wowote especially kipindi hiki watu wanakaribia kumaliza kuvuna mahindi yaoUko wapi mkuu! Mana nami Niko MBEYA pia!
Mwaka jana nimelima kitunguu USANGU ila hakikufanya vizuri kabisa, ila sijakata. We umelimia sehemu gani....vp ninaweza pata shamba wakati gani!??
OK....ilongo ninapafahamu vzr sana....nitaku PM kwa maelekezo zaidi..Mm nmelima Mbeya sehemu inaitwa ilongo mashamba yapo muda wowote especially kipindi hiki watu wanakaribia kumaliza kuvuna mahindi yao
nUKujifanya mnajua research sana ndo kunawafanya muwe maskini. Watu wanaongelea ushuhuda bado unataka afanye research tena theoretically??? Ili approve nini wakati tayari ameshafaya pratically??
Tatizo letu vijana tunakuwa sio risk takers! Na lazima tujue the mkre risk you take the more reward you are likely to get!
Sasa mkikutana na waoga kama jawa wanaoogopa kuthubutu na mkawasikiliza mtajikuta mnazeeka maskini na sio katika kulima tu, katika kila biashara watu wa namna hii wapo. Mtu anakwambia mimi nina boda boda yangu na napiga hela kiasi flan kwa mwezi, badalaya kumuuliza unafanye upate hela kama hiyo unaanza kumwambia pikipiki nikinunua itapata ajali! Hawa watu wa type hii ni wa kupuuzwa kabisa!
Mimi nawahakikishia hela ipo kwenye kilimo na ni uhakika sana. Ukichemka msimu wa kwanza msimu ujao unatusua. Cha msingi ni kuwauliza wanaofanikiwa wanapitia njia zipi na sio kuwaambia ukilima mazao yatakauka mvuahaitanyesha.
Achamaneno andaa shamba alafu uvune tuone yakikosa soko sasa!
Du we kiboko mbegu ton 1?Kilimo ndo mpango mzima
Sasa mi nataka kulima ila mbegu sina waweza kuniazima kama tani moja hivi