Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

hivi kwanini nyie wakulima huwa mnapoleta mafanikio yenu mnapenda sana kuwataja kwa kebehi vijana wanaotafuta ajira...?

na kwa nini uamini sehemu pekee ya kupata faida ni kilimo pekee, na wala sio shughuli zingine,mfano uchimbaji wa madini, uvuvi, biashara n.k...

kingine jarbu kufikilia kila mwaka kuna waitumu zaidi ya laki moja hao ni graduate, bado kuna vijana wa diploma na form six leaver wale wanaoshindwa kuendelea na masomo, Wote hao waende kwenye kilimo kama unavyoelekeza...!wewe unadhani utapata hyo faida ya m3., au utamuuzia nani??
Kuambia wakalime ni kebehi? Huko kuchimba madini watatumia meno, na biashara watafanya bila kuwa na mitaji inayoeleweka au hujui kuwa hata kilimo ni biashara, tatizo lenu mnaona kilimo ni kazi duni hamjui kuwa enzi zinabadilika.
 
Mtanzania akifanikiwa huwa anakaa kimya ili aendelee kupiga hela mwenyewe na baadaye aonekane wa maana kuliko wengine. Ukimsikia m'bongo analeta ngonjera za hivi ujue anafanya utafiti, nia na madhumuni anataka asikie wengine wanasema nini kuhusu wazo lake.
Hayo sio mafanikio, hata mimi nilijaribu tu nikapata mafanikio hayo.
 
Mtanzania akifanikiwa huwa anakaa kimya ili aendelee kupiga hela mwenyewe na baadaye aonekane wa maana kuliko wengine. Ukimsikia m'bongo analeta ngonjera za hivi ujue anafanya utafiti, nia na madhumuni anataka asikie wengine wanasema nini kuhusu wazo lake.
Hayo sio mafanikio, hata mimi nilijaribu tu nikapata mafanikio hayo nikaamua kushare hapa.
 
Kikubwa huduma na kufahamu unafanya nini ,unatoka ila kuotea otea hufiki sehemu

Na hapo ndipo watu wanafika wanachemka.
Wanafanya kilimo kwa kuiga, wakisikia mtu fulani amelima nyanya akatoka, basi kila mtu anakumbilia kulima nyanya.
 
hivi kwanini nyie wakulima huwa mnapoleta mafanikio yenu mnapenda sana kuwataja kwa kebehi vijana wanaotafuta ajira...?

na kwa nini uamini sehemu pekee ya kupata faida ni kilimo pekee, na wala sio shughuli zingine,mfano uchimbaji wa madini, uvuvi, biashara n.k...

kingine jarbu kufikilia kila mwaka kuna waitumu zaidi ya laki moja hao ni graduate, bado kuna vijana wa diploma na form six leaver wale wanaoshindwa kuendelea na masomo, Wote hao waende kwenye kilimo kama unavyoelekeza...!wewe unadhani utapata hyo faida ya m3., au utamuuzia nani??

Umeongea kwa hasira sana, lakini wakulima tumekupeni ushauri mjini. Rudini vijijini mkalime mtafute mtaji.
 
Kilimo hakitabiriki ingawa kweli ukkibahatisha unatoka, lakini pia ujiandae kutoka mrisi! Niliingiwa tamaa ya kulima matikiti maji, nikazamisha kama 2.5m (ikijumuisha na ununuzi wa shamba ekari 32). Nikakata kipande kama ekari moja nikalima hayo matikiti maji nikawa napiga hesabu ya kupiga hela si chini ya 5m, kwani niliambulia kitu? Kumbe timing yangu ilikuwa mbovu sokoni kukawa na matikiti kibao na pia timing ya kulima kumbe ilikuwa mbaya mengi yakabaki shambani maana hayakufikia mwisho wa kukomaa! !!

Nashindwa kuelewa kwanini unabisha juu ya hii mada wakati maelezo yako yanaonesha wazi kuwa ulikurupuka kulima tikiti. hukujua ni mda gani ulime na soko lake liko vipi.

Acheni kulima kwa kufuata mkumbo.
 
Nashindwa kuelewa kwanini unabisha juu ya hii mada wakati maelezo yako yanaonesha wazi kuwa ulikurupuka kulima tikiti. hukujua ni mda gani ulime na soko lake liko vipi.

Acheni kulima kwa kufuata mkumbo.
Nenda tu ukalime mkuu na Mungu akurehemu katika mikakati yako!!
 
Korosho.... Bora ulime choroko na mbaazi mkuu.
Mkuu kwasababu korosho inapandwa kwa distance kidogo, nadhani hata choroko naweza kulima wakati korosho inaendelea kukua...
Nimepata miche ya kisasa inayozaa ndani ya miaka mitatu..
 
Mkuu kwasababu korosho inapandwa kwa distance kidogo, nadhani hata choroko naweza kulima wakati korosho inaendelea kukua...
Nimepata miche ya kisasa inayozaa ndani ya miaka mitatu..
Mkuu korosho si rafiki kwa mixed farming... Kwani mti wake hata majani ni asili ya mafuta ambayo yanapoteza rutuba na kuua mimea. So may be kama una ekar tatu gawa nusu panda mbaaz na choroko. then korosho ipige yenyewe.
 
Mkuu korosho si rafiki kwa mixed farming... Kwani mti wake hata majani ni asili ya mafuta ambayo yanapoteza rutuba na kuua mimea. So may be kama una ekar tatu gawa nusu panda mbaaz na choroko. then korosho ipige yenyewe.
Nashukuru kwa ushauri mkuu, eneo lipo itabidi nifanye hivyo..
 
Wat u say s ver true mm nmemaliza chuo mwaka juz mwaka jana may nikabahatika kupata ajira mbeya serikalin lkn baada ya muda tulisimamishwa kupisha ukaguz wa wafanyakazi hewa na sasa ni mwaka unaenda hatujarudishwa kazin lkn kule mm nilikutana na fursa ya kilimo cha vitunguu huwez amin nilichangamkia fursa sasa hiv ninavyoongea nakaribia kuvuna na nahisi kilimo ndo kazi yang sitaaka tena ajira
66c7cfb2deb91f6380a540df5095b90c.jpg
 
Back
Top Bottom