hivi kwanini nyie wakulima huwa mnapoleta mafanikio yenu mnapenda sana kuwataja kwa kebehi vijana wanaotafuta ajira...?
na kwa nini uamini sehemu pekee ya kupata faida ni kilimo pekee, na wala sio shughuli zingine,mfano uchimbaji wa madini, uvuvi, biashara n.k...
kingine jarbu kufikilia kila mwaka kuna waitumu zaidi ya laki moja hao ni graduate, bado kuna vijana wa diploma na form six leaver wale wanaoshindwa kuendelea na masomo, Wote hao waende kwenye kilimo kama unavyoelekeza...!wewe unadhani utapata hyo faida ya m3., au utamuuzia nani??