digalangosha
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 1,572
- 2,286
Mie huwa naona fahari sana mtu akiongea ukweli lakini sio kuja kuongea ujinga ujinga eti "msikimbilie ajira fanyeni kilimo" nadhani labda huwa mnaongelea kilimo cha bangi hicho ndio kinalipa fasta.
Semeni ukweli tu kilimo hata nchi zilizoendelea kinafanywa na matajiri na wala sio watu wa kawaida, unapoongelea kilimo ukasema unalima eka 3 hiyo ni bustani sio kilimo. Mimi ninalima na ninajua kilimo lakini husijekusema kijana unakomalia ajira kwa nini, wengine mara oooh hauna pesa unamilikije iphone x au samsung s8 sidhani kama hiyo inahusiana....
Unapoongelea kilimo kuna vitu hivi la, ima uviweke kichwani na vitahitaji fedha
1. Ardhi
2. Mbilea
3. Maji
4. Usimamizi
5. Mafanyakazi
6. Matunzo
7. Mbegu
8. Madawa
9. Uvunaji
10.uhifadhi wa mazao
11.ushindani wa bei sokoni
12.kuoza au kuharibika
Hiyo ni kwa kilimo cha kizamani, hapo ukisema ulime kisasa kuna kuweka drip irrigation system kwa eka 1 tu unatumia zaidi ya 1,450,000/= haya fanya unalima ekari 5 utatumia bei gani...!!!!
Mie nadhani ni vema tusikichukulie poa kilimo, na tusifananishe kilimo na bustani....atanzania wakulima ni wachache ndio maana masikini wengi wanapatikana huko.
Masoko yenyewe miyeyusho unalima nyanya unakuta bei ni 2000 kwa kile kindoo cha lita 5 si mtu utakufa na mawazo....
Unapokuja kusema uongo eti umewekeza 500,000 baada ya miezi minne ukavuna mahindi ya 3,000,000/= huu ni uwongo mweupeeee pee......ukiambiwa leta cost zote sidhani kama utaweza zaidi ya kujiuma uma.
Semeni ukweli tu kilimo hata nchi zilizoendelea kinafanywa na matajiri na wala sio watu wa kawaida, unapoongelea kilimo ukasema unalima eka 3 hiyo ni bustani sio kilimo. Mimi ninalima na ninajua kilimo lakini husijekusema kijana unakomalia ajira kwa nini, wengine mara oooh hauna pesa unamilikije iphone x au samsung s8 sidhani kama hiyo inahusiana....
Unapoongelea kilimo kuna vitu hivi la, ima uviweke kichwani na vitahitaji fedha
1. Ardhi
2. Mbilea
3. Maji
4. Usimamizi
5. Mafanyakazi
6. Matunzo
7. Mbegu
8. Madawa
9. Uvunaji
10.uhifadhi wa mazao
11.ushindani wa bei sokoni
12.kuoza au kuharibika
Hiyo ni kwa kilimo cha kizamani, hapo ukisema ulime kisasa kuna kuweka drip irrigation system kwa eka 1 tu unatumia zaidi ya 1,450,000/= haya fanya unalima ekari 5 utatumia bei gani...!!!!
Mie nadhani ni vema tusikichukulie poa kilimo, na tusifananishe kilimo na bustani....atanzania wakulima ni wachache ndio maana masikini wengi wanapatikana huko.
Masoko yenyewe miyeyusho unalima nyanya unakuta bei ni 2000 kwa kile kindoo cha lita 5 si mtu utakufa na mawazo....
Unapokuja kusema uongo eti umewekeza 500,000 baada ya miezi minne ukavuna mahindi ya 3,000,000/= huu ni uwongo mweupeeee pee......ukiambiwa leta cost zote sidhani kama utaweza zaidi ya kujiuma uma.