Man Kicheko
Member
- Jan 16, 2024
- 28
- 38
Kilimo cha kutegemea mvua ni changamoto sana lolote linaweza kutokea ila kwenye umwagiliaji kuvuna ni uhakika.Muhimu kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilimo cha kutegemea mvua ni changamoto sana lolote linaweza kutokea ila kwenye umwagiliaji kuvuna ni uhakika.Muhimu kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji
Uko sahihiNimejaribu kufanya kilimo cha mahindi msimu huu wa kilimo and let me tell you something maina, kilimo is not for the weak[emoji1430][emoji1430].
Hamna rangi sija acha ona lakini as they say maji ukisha ya vulia nguo sharti uyaoge so we move [emoji817].
Kilimo si maji tuKilimo cha kutegemea mvua ni changamoto sana lolote linaweza kutokea ila kwenye umwagiliaji kuvuna ni uhakika.
Upo sahihi. Ukiachana na pembejeo, taarifa sahihi, soko pamoja na commitment bila maji kuPunch ni ngumu.Kilimo si maji tu
Huo ndio Ukweli mkuu.Mimi mwenyewe nalima aisee kilimo kinanihenyesha si mchezo.Mkuu acha kunitisha tafadhali[emoji848][emoji848]
Mo Dewji is typing,Sumry is viewing the thread,Kapunga estate is about to send his reply,Bakhresa is nearer to view the thread,and others many without forgetting William Ruto and his Companion.Ukiondoa waalimu,
Hamna watu wanaishi kwa stress nchi hii Kama wakulima[emoji4]
Nakubaliana na wewe,nimeshawahi Kufanya Kazi Kampuni za Tumbaku Kwenye vyama vya ushirika vya Wakulima(AMCOS),km Bwana Shamba.Aisee kilimo kile ni balaa.Kaka unalima mahindi unasema kilimo sio kwa wanyonge.
Tafuta mahali ulime tumbaku ata heka mbili tuu..
Na usiombe kuwe na mvua nyingi kama msimu huu.
Pamoja na mkopo wa chama cha ushirika ila cash iliyokatika mpaka muda huu ni mil 8. Na hapo bado tumbaku haijachumwa, haijakaushwa, haujagrade, mabelo n.k.
Hapo sijaweka gharama ya kuandaa mabani. Kwa eka 8-9 mabani makubwa ni kuanzia matatu.
Hakuna kilimo kigumu Tanzania hii kama tumbaku.
Huko nako kuna moto wake,nothing easy under the sun.Kilimo ni kigumu bora ufugaji [emoji1787]
Nothing is easy that's true 👍, but choose wisely what's worthy suffering for!Huko nako kuna moto wake,nothing easy under the sun.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Wenyewe wanakwambia kulima kwa simu.Wewe kosa lako ushalijua, ulikuwa unataka kulima kwa pdf
Ushakikatia tamaa mapema kabisaWenyewe wanakwambia kulima kwa simu.
Mi kilimo kwa upande wangu basi tena
Nina phobia yakukaa mazingira yenye majani majani,naogopa wadudu,nakua napaniki kila saa na kilimo kinataka uwe front line.Ushakikatia tamaa mapema kabisa
Majani/nyasi zinakuletea allergies au?Nina phobia yakukaa mazingira yenye majani majani,naogopa wadudu,nakua napaniki kila saa na kilimo kinataka uwe front line.
Kule Ruaha mbuyuni kuna wasambaa na wapare walikua wanahamia kabisa kule mpaka wavune ndo wanarudi makwao na wanarudi na faida nzuri ila mi siwezi hayo maisha.
Sio hizo nahisi ,Kuna kunde mbegu inatoka msumbiji aisee! ukijasliwa kupata umewin,punje zake kubwa zinakaribia kama maharage halafu zinaiva sanaa,Si hizi hizi madukani zimejaa
Na amekuambia yeye kazi ya kulala na mijoka hawezi,Sasa unadhani MTOTO wa mwenye shamba afanyeje?Wewe kosa lako ushalijua, ulikuwa unataka kulima kwa pdf
Pole Sana aisee.. Mbona Hadi nimeogopaHuo ndio Ukweli mkuu.Mimi mwenyewe nalima aisee kilimo kinanihenyesha si mchezo.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Check na watu wa kusini au chuo Cha kilimo naliendele kusiniSio hizo nahisi ,Kuna kunde mbegu inatoka msumbiji aisee! ukijasliwa kupata umewin,punje zake kubwa zinakaribia kama maharage halafu zinaiva sanaa,
Yaap!!Nothing is easy that's true [emoji106], but choose wisely what's worthy suffering for!